Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Trafiki waanza ukaguzi wa magari mabovu

KIKOSI cha Usalama Barabarani Tanzania, kimeanza ukaguzi wa kuyaondoa magari mabovu, ili kupunguza ajali za barabarani. Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania, Naibu Kamishna (DCP), Mohamed Mpinga, alisema hayi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Trafiki agongwa akiongoza magari

Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani Kituo cha Mbagala wilayani Temeke, Koplo Riziki Mohamedi amelazwa katika Hospitali ya Rufani ya Muhimbili baada ya kugongwa na gari akiwa kazini.

 

11 years ago

Habarileo

Trafiki marufuku kuvizia magari

SERIKALI imepiga marufuku tabia ya askari Polisi wa Kikosi cha Usalama Barabarani, kuvizia magari katika barabara kuu wakiwa na kifaa cha kupima mwendo kasi wa magari.

 

10 years ago

Habarileo

Mgomo wa magari watikisa Bukoba, kisa rushwa trafiki

WAMILIKI wa magari yanayofanya ruti za Bukoba na wilaya nyingine na madereva, wameendelea kugoma wakishinikiza Serikali ikutane nao.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Ukaguzi wa vyama vya hiari waanza rasmi


NA MWANDISHI WETU
WIZARA ya Mambo ya Ndani ya Nchi imesema inaendelea na ukaguzi wa vyama vya kijamii na kwamba vikibainika kukiuka matakwa ya kisheria,  vitafutwa.
Taarifa iliyotumwa na Msemaji wa Wizara hiyo, Isaac Nantanga, kwa  vyombo vya habari jana ilisema kutokana na orodha waliyo nayo, vyama 10,000 vya kijamii na taasisi za dini, vimesajiliwa katika wizara na kwama vitakavyofutwa ni vile ambavyo haviwasilishi taarifa za kila mwaka za ukaguzi wa hesabu zao.
Taarifa ilisema kama vyama...

 

10 years ago

Mtanzania

Ukaguzi leseni na vyeti vya madereva waanza

Kamanda wa Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani, DCP Mohammed Mpinga

Kamanda wa Polisi, Kikosi cha Usalama Barabarani, DCP Mohammed Mpinga

ADAM MKWEPU NA CHRISANTA CHRISTIAN, DAR ES SALAAM

JESHI la Polisi jana limeanza kufanya ukaguzi wa leseni na vyeti vya madereva kwenye Kituo Kikuu cha Mabasi ya Mikoani na nchi jirani Ubungo (UBT), jijini Dar es Salaam kufuatia ajali za barabarani nchini kuongezeka.

Akizungumza na MTANZANIA jana, Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani, Mohamed Mpinga, alisema kuwa ukaguzi huo una lengo la kuchunguza madereva ambao...

 

10 years ago

Dewji Blog

Petition ya Watanzania UK kupinga vikali utaratibu mpya wa ukaguzi magari

Untitled

WATANZANIA NCHINI UINGEREZA/UK WANAPINGA VIKALI UTARATIBU MPYA WA UKAGUZI WA MAGARI KWA KUTUMIA KAMPUNI BINAFSI ISIYO NA UWEZO WALA VIWANGO KULINGANISHA NA UK STANDARD OF ROAD WORTHNESS (MOT)

-Viwango vya Kukidhi uhalali wa gari kuwa barabarani nchini Uingereza ni vya hali ya juu na havikwepeki kisheria.

-Ni Jambo la kujifunza nyumbani na kuliwekea uratibu wa kisheria kwa kila baada ya muda fulani gari lazima liwe linafanyiwa Road Worthiness test na siyo kuliwekea kampuni binafsi hapa UK...

 

9 years ago

Dewji Blog

Trafiki Mwanza atumbukiza Bajaji ya dereva wa Bodaboda mtaroni ….Je unaridhika na utendaji kazi wa Trafiki wapya Mkoani kwako?

Kupitia kipindi cha KAZI NA NGOMA ya JEMBE FM Mwanza stori ya Traffic aliyetumbukia mtaroni akiendesha bajaji ya mizigo aliyoikamata kutoka kwa dereva wa bodaboda imesikika, nini kisa na mkasa kwa ufupi ni kwamba> Mara baada ya kumkamata mwendeshaji Hamisi Omary kwa kusa la kupakia mzigo mkubwa wa mbao alimwamuru kulipa faini ya shilingi elfu 30, naye Hamisi akamwomba msamaha kwa Traffic huyo kwamba ni fedha nyingi sana ambayo hawezi kuilipa kwa hata kipato anachokipata toka kwa tajiri...

 

11 years ago

Michuzi

Tamasha la Magari Tanzania (Autofest) limerudi na Matoleo Mapya ya Magari

Likirudi kwa mwaka wake wa saba, tamasha la magari Tanzania (autofest) litakua likionyesha magari mapya, matoleo mapya ya pikipiki, burudani za muziki kutoka kwa wasanii mbalimbali wa nchini na burudani nyingine za kusisimua kwa ajili ya familia nzima kuanzia Septemba 19-21, 2014. Tamasha la mwaka huu ambalo linaandaliwa na Vision Investment, litafanyika katika viwanja vya Biafra, Kinondoni. Anayetarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi ni Mhe. Dk Abdallah O. Kigoda, Waziri wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mayai mabovu yasambaa Dar !

Egg-In-Tray

 Na Mwandishi wetu

AFYA za wakazi wa jiji la Dar es Salaam ziko hatarini kutokana na kula mayai ya kuku yaliyooza, ambayo yameingizwa kinyemela nchini na baadhi ya watu wanaodaiwa kuwa ni wawekezaji.

Mtoa taarifa hii anasema mayai hayo yamekuwa yakisambazwa kwa wingi mitaani huku hatua stahiki hazichukuliwi .

 Alisema kama Wizara ya Maendeleo ya Mifugo na Uvuvi itashindwa kuwadhibiti wakezaji hao wasio waminifu wakaingiza mayai hayo kinyume na sharia basi serikali ijiandae kwa fedha nyingi...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani