Trafiki marufuku kuvizia magari
SERIKALI imepiga marufuku tabia ya askari Polisi wa Kikosi cha Usalama Barabarani, kuvizia magari katika barabara kuu wakiwa na kifaa cha kupima mwendo kasi wa magari.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Trafiki agongwa akiongoza magari
10 years ago
Tanzania Daima06 Nov
Trafiki waanza ukaguzi wa magari mabovu
KIKOSI cha Usalama Barabarani Tanzania, kimeanza ukaguzi wa kuyaondoa magari mabovu, ili kupunguza ajali za barabarani. Kamanda wa Kikosi cha Usalama Barabarani Tanzania, Naibu Kamishna (DCP), Mohamed Mpinga, alisema hayi...
10 years ago
Habarileo15 Nov
Mgomo wa magari watikisa Bukoba, kisa rushwa trafiki
WAMILIKI wa magari yanayofanya ruti za Bukoba na wilaya nyingine na madereva, wameendelea kugoma wakishinikiza Serikali ikutane nao.
11 years ago
BBCSwahili28 Jul
Marufuku ya Utumizi wa magari Nigeria
11 years ago
Habarileo14 May
Magari ya vioo vya giza marufuku Kenya
MKUU wa Jeshi la Polisi nchini Kenya, David Kimaiyo, ameagiza kukamatwa kwa magari yote ya abiria yenye vioo vya giza. Lengo la hatua hiyo ni kudhibiti uvamizi na mashambulizi ya mara kwa mara, yanayofanywa na vikundi vya kigaidi kutoka nchi jirani ya Somalia.
10 years ago
Dewji Blog19 Jan
NYALANDU azima marufuku magari ya Tanzania JKIA
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mh. Lazaro Nyalandu.
Na Mwandishi wetu
WAZIRI wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu, amesema serikali ya Kenya imekubali kuyaruhusu magari ya abiria na watalii kutoka Tanzania, kuingia ndani ya Uwanja wa Ndege wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi.
Awali, Serikali ya Kenya iliyazuia magari hayo kuingia uwanjani hapo huku ukiyatoza ushuru kwa yale yanayoingia, jambo ambalo lililalamikiwa na wafanyabiashara wa Tanzania.
Marufuku hiyo ya Kenya kwa magari ya Tanzania,...
5 years ago
MichuziMARUFUKU KUOSHEA MAGARI ENEO LA NDIUKA.-RC HAPI
Mkuu wa mkoa wa Iringa Ally Hapi akiwa katika eneo la Ndiuka ambako ndio chanzo cha maji yanayotumiwa na wakazi wa manispaa ya Iringa kwa kiasi kikubwa yanazalishwa hapo.
Mkuu wa mkoa wa Iringa Ally Hapi akieleza jambo kuhusiana na marufuku aliyoitoa
FREDY MGUNDA,IRINGA.
KUTOKANA na uchafunzi wa Vyanzo vya maji,Afya za wananchi wapatao laki 1.78 wanaoshi katika Halmashauri ya Manispaa ya Iringa na pembezoni mwa mji ziko hatarini kukumbwa na magonjwa mbalimbali.
Hayo yamebainika...
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/ct9EeL1YJLU/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog13 Dec
Trafiki Mwanza atumbukiza Bajaji ya dereva wa Bodaboda mtaroni ….Je unaridhika na utendaji kazi wa Trafiki wapya Mkoani kwako?
![](http://2.bp.blogspot.com/-dUXEP5ngMBY/VmvKAQeYLuI/AAAAAAABUYI/cJroCRIVUG4/s640/TRAFIKI%2BAJALI%2B%25285%2529.jpg)