Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ebola yawa tishio Liberia

Nchi ya Liberia imefunga mipaka yake iliyomingi ya kuingia nchini humo ili kudhibiti kuenea kwa maambukizi mapya ya ugonjwa Ebola.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Ykileo

TEKNOLOJIA YA MIWANI YA KISASA YAWA TISHIO

Kumekua na wimbi la ukuaji wa teknolojia kila kukicha, Ukuaji huu wa teknolojia umepelekea matumizi makubwa ya mitandao maeneo mengi na hili linaenda sambamba na ukuaji wa kasi wa uhalifu mtandao hivi sasa. Mbali na "MIWANI" pamoja na "MAGARI YASIYO NA DEREVA" kutoka Google, pia kumekua na aina nyingine ya miwani maarufu kama “Spy glasses” ambayo awali iliaminika inatumiwa zaidi na wahalifu ( wadukuzi) wa taarifa za watu.
Miongoni mwa maswala yaliyo umiza vichwa wataalam wa maswala ya usalama...

 

10 years ago

Dewji Blog

Ebola: World Bank Group Provides New Financing to Help Guinea, Liberia and Sierra Leone Recover from Ebola Emergency

World Bank President Jim Yong Kim speaks during a news conference in New Delhi March 13, 2013. REUTERS/B Mathur (INDIA - Tags: BUSINESS)

New GDP Estimates Show International Support Vital to Speed Recovery

The World Bank Group (WBG) announced today that it would provide at least US$650 million during the next 12 to 18 months to help Guinea, Liberia and Sierra Leone recover from the devastating social and economic impact of the Ebola crisis and advance their longer-term development needs. The new WBG pledge brings the organization’s total financing for Ebola response and recovery efforts to date to US$1.62 billion.

The...

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

TISHIO UGONJWA WA EBOLA


Kikosi kazi chaanza  mafunzo maalumu
NA WAANDISHI WETUMIKAKATI ya kudhibiti ugonjwa wa Ebola inazidi kushika kasi, ambapo serikali imetoa mafunzo kwa mamia ya watumishi wa afya watakaokwenda kuhudumia abiria wanaoingia na kutoka nje ya nchi.Pia vifaa ya kudhibiti ugonjwa huo vinatarajiwa kuingia nchini muda wowote, ikiwemo mashine maalumu za kutambua virusi vya Ebola ndani ya mwili, hata kama aliyeambukizwa bado hajaanza kuonyesha dalili.Kwa upande wa mafunzo, ambayo yameanza kutolewa...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola bado ni Tishio

wakati ugonjwa wa Ebola ukiwa hauna tiba wala chanjo,wadau wa afya wamwagiana lawama.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola bado tishio

Shirika la Afya Duniani limesema ugonjwa wa Ebola hautaweza kudhibitiwa kikamilifu katika kipindi cha mwaka mmoja unaokuja.

 

10 years ago

Mtanzania

Ebola tishio nchini

mtanzania201014Na Waandishi wetu,Mwanza,Dar

MTU aliyesadikiwa kuwa na ugonjwa wa Ebola Wilaya Sengerema mkoani Mwanza, amezikwa kwa hadhari kubwa na wataalamu wa afya.

Wakati mtu huyo akizikwa jana, hofu kubwa imetanda  mikoa ya Kanda ya ziwa, huku watu wakiogopa kugusana katika vyombo vya usafiri na kutumiana ujumbe mfupi wa simu za mikononi (SMS) juu ya kuchukua hadhari ya ugonjwa huo.

Mgonjwa anayedaiwa kufariki dunia kwa ugonjwa huo, ametajwa kuwa ni Salome Richad (17), mkazi wa Kahunda Wilaya ya...

 

10 years ago

BBCSwahili

Ebola bado tishio Nigeria

Shule zafunguliwa nchini Nigeria baada ya tishio la maambukizi ya Ebola

 

10 years ago

Mwananchi

Tishio la ebola laikumba Tanzania

Tanzania ni miongoni mwa nchi 15 zilizoko katika hatari ya kupata mlipuko wa ugonjwa wa ebola kwa mujibu wa maelezo ya wanasayansi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tanga wajizatiti tishio la ebola

WAKATI Taifa likiwa katika mikakati ya kuzuia ugonjwa hatari wa Ebola, jopo la wataalamu wa afya kutoka Wilaya nane za Mkoa wa Tanga limekutana ili kupeana elimu dhidi ya ugonjwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani