Ebola yawa tishio Liberia
Nchi ya Liberia imefunga mipaka yake iliyomingi ya kuingia nchini humo ili kudhibiti kuenea kwa maambukizi mapya ya ugonjwa Ebola.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Ykileo![](http://4.bp.blogspot.com/-S7sxPX077Eo/U-KzPHb6ZBI/AAAAAAAAA3A/G8tmyKmJLFQ/s72-c/spy-glasses.jpg)
TEKNOLOJIA YA MIWANI YA KISASA YAWA TISHIO
![](http://4.bp.blogspot.com/-S7sxPX077Eo/U-KzPHb6ZBI/AAAAAAAAA3A/G8tmyKmJLFQ/s1600/spy-glasses.jpg)
Miongoni mwa maswala yaliyo umiza vichwa wataalam wa maswala ya usalama...
10 years ago
Dewji Blog18 Apr
Ebola: World Bank Group Provides New Financing to Help Guinea, Liberia and Sierra Leone Recover from Ebola Emergency
New GDP Estimates Show International Support Vital to Speed Recovery
The World Bank Group (WBG) announced today that it would provide at least US$650 million during the next 12 to 18 months to help Guinea, Liberia and Sierra Leone recover from the devastating social and economic impact of the Ebola crisis and advance their longer-term development needs. The new WBG pledge brings the organization’s total financing for Ebola response and recovery efforts to date to US$1.62 billion.
The...
10 years ago
Uhuru Newspaper14 Aug
TISHIO UGONJWA WA EBOLA
Kikosi kazi chaanza mafunzo maalumu
NA WAANDISHI WETUMIKAKATI ya kudhibiti ugonjwa wa Ebola inazidi kushika kasi, ambapo serikali imetoa mafunzo kwa mamia ya watumishi wa afya watakaokwenda kuhudumia abiria wanaoingia na kutoka nje ya nchi.Pia vifaa ya kudhibiti ugonjwa huo vinatarajiwa kuingia nchini muda wowote, ikiwemo mashine maalumu za kutambua virusi vya Ebola ndani ya mwili, hata kama aliyeambukizwa bado hajaanza kuonyesha dalili.Kwa upande wa mafunzo, ambayo yameanza kutolewa...
10 years ago
BBCSwahili21 Aug
Ebola bado ni Tishio
10 years ago
BBCSwahili24 Dec
Ebola bado tishio
10 years ago
Mtanzania20 Oct
Ebola tishio nchini
Na Waandishi wetu,Mwanza,Dar
MTU aliyesadikiwa kuwa na ugonjwa wa Ebola Wilaya Sengerema mkoani Mwanza, amezikwa kwa hadhari kubwa na wataalamu wa afya.
Wakati mtu huyo akizikwa jana, hofu kubwa imetanda mikoa ya Kanda ya ziwa, huku watu wakiogopa kugusana katika vyombo vya usafiri na kutumiana ujumbe mfupi wa simu za mikononi (SMS) juu ya kuchukua hadhari ya ugonjwa huo.
Mgonjwa anayedaiwa kufariki dunia kwa ugonjwa huo, ametajwa kuwa ni Salome Richad (17), mkazi wa Kahunda Wilaya ya...
10 years ago
BBCSwahili23 Sep
10 years ago
Mwananchi15 Sep
Tishio la ebola laikumba Tanzania
10 years ago
Tanzania Daima07 Oct
Tanga wajizatiti tishio la ebola
WAKATI Taifa likiwa katika mikakati ya kuzuia ugonjwa hatari wa Ebola, jopo la wataalamu wa afya kutoka Wilaya nane za Mkoa wa Tanga limekutana ili kupeana elimu dhidi ya ugonjwa...