Tishio la ebola laikumba Tanzania
Tanzania ni miongoni mwa nchi 15 zilizoko katika hatari ya kupata mlipuko wa ugonjwa wa ebola kwa mujibu wa maelezo ya wanasayansi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili24 Dec
Ebola bado tishio
10 years ago
Mtanzania20 Oct
Ebola tishio nchini
Na Waandishi wetu,Mwanza,Dar
MTU aliyesadikiwa kuwa na ugonjwa wa Ebola Wilaya Sengerema mkoani Mwanza, amezikwa kwa hadhari kubwa na wataalamu wa afya.
Wakati mtu huyo akizikwa jana, hofu kubwa imetanda mikoa ya Kanda ya ziwa, huku watu wakiogopa kugusana katika vyombo vya usafiri na kutumiana ujumbe mfupi wa simu za mikononi (SMS) juu ya kuchukua hadhari ya ugonjwa huo.
Mgonjwa anayedaiwa kufariki dunia kwa ugonjwa huo, ametajwa kuwa ni Salome Richad (17), mkazi wa Kahunda Wilaya ya...
10 years ago
Uhuru Newspaper14 Aug
TISHIO UGONJWA WA EBOLA
Kikosi kazi chaanza mafunzo maalumu
NA WAANDISHI WETUMIKAKATI ya kudhibiti ugonjwa wa Ebola inazidi kushika kasi, ambapo serikali imetoa mafunzo kwa mamia ya watumishi wa afya watakaokwenda kuhudumia abiria wanaoingia na kutoka nje ya nchi.Pia vifaa ya kudhibiti ugonjwa huo vinatarajiwa kuingia nchini muda wowote, ikiwemo mashine maalumu za kutambua virusi vya Ebola ndani ya mwili, hata kama aliyeambukizwa bado hajaanza kuonyesha dalili.Kwa upande wa mafunzo, ambayo yameanza kutolewa...
10 years ago
BBCSwahili21 Aug
Ebola bado ni Tishio
10 years ago
Tanzania Daima07 Oct
Tanga wajizatiti tishio la ebola
WAKATI Taifa likiwa katika mikakati ya kuzuia ugonjwa hatari wa Ebola, jopo la wataalamu wa afya kutoka Wilaya nane za Mkoa wa Tanga limekutana ili kupeana elimu dhidi ya ugonjwa...
11 years ago
BBCSwahili29 Jul
Ebola yawa tishio Liberia
10 years ago
BBCSwahili23 Sep
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-M_q6ofY7PrU/VBvo5EdLLBI/AAAAAAAGkag/ZS2dVAKnWoY/s72-c/unnamed.jpg)
EBOLA : TISHIO LA AMANI NA USALAMA WA KIMATAIFA
![](http://1.bp.blogspot.com/-M_q6ofY7PrU/VBvo5EdLLBI/AAAAAAAGkag/ZS2dVAKnWoY/s1600/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-f1vf6g7vLPY/VBvo4-wfQKI/AAAAAAAGkac/Blu8NnC1gcI/s1600/unnamed%2B(17).jpg)
10 years ago
Habarileo19 Sep
Ebola wadaiwa tishio kwa uchumi
MKUU wa Benki ya Dunia, Jim Kim amehadharisha kuwa kuenea kwa ugonjwa wa ebola kunaweza kusababisha janga la kiuchumi katika nchi za Guinea, Liberia na Sierra Leone na ametaka hatua zichukuliwe haraka ili kuzuia kuenea zaidi ugonjwa huo.