Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ebola:Nigeria yakaa chonjo

Serikali ya Nigeria yaweka hali ya tahadhari katika maeneo yote ya kuingia nchini humo kufuatia kugunduliwa kwa Ebola.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Tishio la EBOLA, wananchi wakae chonjo

ebola_QT1_1433[1]

Pichani ni baadhi ya  Daktari wakiwa wamembeba mgonjwa wa EBOLA picha kwa hisani ya Mtandao.

Na Hannah Mayige,  wa Chuo Kikuu Huria, OUT

TISHIO la ugonjwa wa Ebola unaoendelea kuuwa mamia ya watu Afrika Magharibi, umezua wasiwasi  mkubwa   kwa nchi za Afrika  na  dunia nzima  kwa  ujumla na kutakiwa watanzania kuchukua tahadhari  kubwa kudhibiti ugonjwa huo usiingie nchini.

Lazima  Serikali na wananchi  wazingatie masharti na tahadhari inayotolewa kimataifa kuudhibiti ugonjwa na utayari...

 

10 years ago

Mwananchi

Azam yakaa kileleni

Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Azam wamerudi kileleni mwa ligi hiyo baada ya kuichapa Mbeya City kwa bao 1-0 kwenye Uwanja wa Sokoine, Mbeya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maiti yakaa eneo la ajali saa 21

MWILI wa Idd Shamba aliyefariki dunia kwa ajali ya barabarabi katika Kijiji cha Engaruka wilayani hapa, imekaa barabarani kwa zaidi ya saa 21 ikisubiri polisi na daktari kufika eneo la...

 

11 years ago

GPL

Yanga yakaa kikao na Kaseja kwa saa tatu

Juma Kaseja. Na Lucy Mgina
BAADA ya kutua Yanga KOCHA wa makipa wa Yanga, Razack Siwa, amesema alitumia zaidi ya saa tatu kumweka sawa kisaikolojia kipa Juma Kaseja siku moja baada ya mechi dhidi ya Simba. Kaseja alitupiwa lawama kibao kutoka kwa mashabiki na wanachama wa klabu hiyo kutokana na kuruhusu bao jepesi kwenye mechi dhidi ya watani wao, Simba, Jumamosi iliyopita kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam na...

 

10 years ago

Mwananchi

Azam yainyuka Kagera, yakaa kileleni Ligi Kuu

Azam imejikita kileleni mwa Ligi Kuu kwa kishindo baada ya kuichapa Kagera Sugar ya Bukoba kwa mabao 3-1 jana kwenye Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza.

 

10 years ago

Mwananchi

Maiti yakaa mochwari siku 34, kisa mgogoro wa wazazi

 Mgogoro mwingine mkubwa wa kifamilia wa kugombea maiti, umeibuka mjini Moshi na kusababisha mwili wa Rosemary Marandu (38), kuhifadhiwa mochwari kwa siku 34.

 

10 years ago

BBC

Nigeria and Senegal 'contain' Ebola

Ebola outbreaks in Nigeria and Senegal appear to have been contained, US health authorities say, with no new cases there since August.

 

10 years ago

BBCSwahili

WHO:Ebola yaangamizwa Nigeria

Shirika la afya duniani linatarajiwa kutangaza rasmi kuwa taifa la Nigeria halina ugonjwa wa Ebola baadae hii leo, wiki 6 baada ya kutoripotiwa kwa ugonjwa huo .

 

9 years ago

Mwananchi

Kaa chonjo, saa mbaya

Ni kama alikuwa akisema “kaa chonjo, saa mbaya” wakati Rais Mteule Dk John Magufuli alipohutubia kwa mara ya kwanza tangu atangazwe kuwa mshindi wa mbio za urais.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani