EFM yakabidhi gari, Kajala awapoza walioshindwa
NA ASIFIWE GEORGE
MKAZI wa Ilala, Stela Robert (26) na Gabriel Geoffrey (36) wa Temeke wameibuka washindi wa gari katika shindano la Shika Ndinga lililoandaliwa na Kituo cha Redio cha EFM cha jijini Dar es Salaam.
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Meck Sadick ndiye aliyewakabidhi funguo za magari yao maarufu kwa jina la Kirikuu lililofanyika katika viwanja vya Tanganyika Pekas Kawe huku akiwataka wasiofanikiwa kupata zawadi waendelee kujaribu bahati zao katika mashindano mengine...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies29 Apr
Kajala Awapoza Walioshindwa, Shindano la EFM
Staa wa Bongo Movies, Kajala Masanja hivi majuzi aliwapoza washiriki walioshindwa kwenye shindano la Shika Ndinga lililoandaliwa na Kituo cha Redio cha EFM cha jijini Dar es Salaam.
Ambapo mkazi wa Ilala, Stela Robert (26) na Gabriel Geoffrey (36) wa Temeke wameibuka washindi wa gari na kukabidhiwa funguo za magari yao katika viwanja vya Tanganyika Pekas Kawe ambapo lilifanyikia shindano hilo.
Kwa mujibu wa ofisa Uhusiano wa EFM, Lydia Moyo alisema shindano hilo lilikuwa na raundi nne...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NnMed0rJC6bqEy3QUuqvZLgtDNIYqO42DFASFfxUwizYVk4Bc9uPZ3cT0oqq4Lw-DEn9DqouwPRhSBV3dQmYXzLP7aOZbVZz/kigogo.jpg?width=650)
KIGOGO IKULU AMHONGA KAJALA GARI
9 years ago
MichuziEFM YAKABIDHI KITITA CHA SH. MILIONI MOJA KWA SHINDI WA SHINDANO LA KUBUNI MANENO YA KANGA
10 years ago
Vijimambo01 Jul
Sadolin Yakabidhi Gari Kwa Mshindi wa Bahati Nasibu
![Ofisa Mauzo wa Kampuni ya Sadolin, Flora Mapunda (kushoto) akimkabidhi funguo ya gari aliloshinda, Bi. Monica Benedict Haule mfanyabiashara ndogondogo za uuzaji wa nguo mkazi wa Temeke jijini Dar es Salaam.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0348.jpg)
![Mshindi wa gari aina ya TATA Pic-UP, Bi. Monica Benedict Haule (kulia) akifungua mlango kuingia katika gari aliloshinda mara baada ya kukabidhiwa. Pembeni yake ni Ofisa Mauzo wa Kampuni ya Sadolin, Flora Mapunda.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2015/07/IMG_0350.jpg)
11 years ago
MichuziNBC yakabidhi zawadi ya Gari kwa mshindi wa promosheni ya Weka Upewe
10 years ago
Dewji Blog02 Apr
93.7 Efm Radio yatimiza mwaka mmoja leo kutoa gari kwa mwananchi wa Dar es Salaam
Baadhi ya vijana wa kazi wa Efm Radio wakiwa kwenye pozi ambapo leo watapita mitaani kwa shangwe huku wakitarajia kutoa gari kwa shabiki atakayeshinda katika jiji la Dar es Salaam, Kinondoni, Ilala na Temeke kazi kwako ndio wakati wa kujitokeza kitaa leo kusheherekea na 93.7 efm Dar es Salaam.
“HAPPY BIRTHDAY 93.7 Efm RADIO!
Kwa moyo mkunjufu kabisa
, nina penda kuwapongeza sana 93.7 Efm Radio kwa kutimiza mwaka mmoja tangu...
9 years ago
MichuziBenki ya Exim yakabidhi gari kwa mshindi wa kampeni yake ya akaunti ya malengo
Benki ya Exim Tanzania imekabidhi zawadi kuu kwa...
11 years ago
MichuziBenki ya NBC yakabidhi zawadi ya gari kwa mshindi wa kampeni ya Weka Upewe
9 years ago
Dewji Blog14 Dec
Enhance Auto yakabidhi Gari kwa mshindi wa shindano la matumizi bora ya mitandao ya kijamii
![](http://3.bp.blogspot.com/-5oem3JbZvjc/Vm1Za8s6ZtI/AAAAAAAAm8U/SeddYaogem0/s640/3.jpg)
Kamanda wa Kikosi Usalama barabarani, Mohamed Mpinga (kulia) akimkabidhi zawadi ya gari aina ya Toyota Surf, mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Jackson Kapongo aliyeshinda kupitia mchezo wa Matumizi bora ya Mitandao ya Kijamii iliyoendeshwa na Kampuni ya Enhance Auto ya Jijini Dar es Salaam. Wanaoshuhudia ni Mkurugenzi wa Enhance Auto, Aatif Farooq Butt.(Picha na Father Kidevu Blog).
![](http://1.bp.blogspot.com/-ZN1_LDWV9UQ/Vm1q-91-1eI/AAAAAAAAm8k/KXsCJRATPfA/s640/2A.jpg)
Mkurugenzi wa Enhance Auto, Aatif Farooq Butt akionesha stika za kuhamasisha usalama barabarani...