Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


El Maamry hakupenda Tenga ang’atuke

Mwenyekiti wa zamani wa Chama cha Soka Tanzania (FAT) Said El Maamry amesema alipenda rais aliyemaliza muda wake TFF, Leodegar Tenga kuendelea kuongoza shirikisho hilo kwa vile alilifikisha mbali.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

SAID EL MAAMRY: Awachambua Tenga, Malinzi

Unapotaja historia ya soka katika Tanzania, yatatajwa majina mbalimbali likiwamo la Said Hamad El Maamry, mmoja wa watu wenye historia ndefu katika soka ya Tanzania.

 

11 years ago

Michuzi

El-Maamry afunga ARS ngazi ya taifa

 Mkurungenzi wa Mawasiliano wa Airtel Tanzania Beatrice Singano akitoa hutuba yake wakati wa ufunguzi wa Airtel Rising Stars ngazi ya taifa uwanja wa Karume jana.  Mjumbe wa heshima wa Shirikisho la Soka barani Afrika (CAF) Said El-Maamry akisalimiana na wachezaji wakati wa ufunguzi wa Airtel Rising Stars ngazi ya taifa uwanja wa Karume jana. 
 Mshambuliaji wa timu ya wasichana ya Amina Ally (jezi nyekundi) akichuana vikali na mlinzi wa Zanzibar Sarah Hashimi katika mchezo wa mashindano ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mbunge CCM ang’ang’ania mil. 100/-

MBUNGE wa Viti Maalumu, Devotha Likokola, (CCM) anadaiwa kung’ang’ania sh milioni 100 zilizoingizwa katika akaunti yake kwa ajili ya kuwasaidia walemavu. Fedha hizo zilitolewa na Mwenyekiti wa Kampuni za IPP,...

 

9 years ago

Habarileo

Muhongo ang'ang'ania bei ya umeme ishuke

 WAZIRI wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter M u h o n g o , ameendelea kung’ang’ania bei ya umeme ishuke, ambapo jana ameagiza taasisi zilizo chini ya wizara hiyo, ifikapo Januari mwakani wawe wamempelekea mapendekezo ya kushuka kwa bei ya nishati hiyo.

 

10 years ago

Habarileo

Kafulila ang’ang’ana mabehewa feki

Mbunge wa Kigoma Kusini, David Kafulila.MBUNGE wa Kigoma Kusini, David Kafulila (NCCR Mageuzi) ameitaka Serikali kuwasilisha bungeni taarifa ya kashfa ya ununuzi wa mabehewa feki katika Kampuni ya Reli Tanzania (TRL) na kusababisha hasara ya Sh bilioni 230.

 

11 years ago

Habarileo

Lipumba ang’ang’ania hoja ya Ukawa

Mwenyekiti wa CUF, Prof. Ibrahim LipumbaPAMOJA na mwito wa Rais Jakaya Kikwete, wasomi na wanasiasa wakongwe na mashuhuri nchini, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba ameweka bayana kuwa chama chake na washirika wengine wanaounda kinachoitwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), hawatorejea kwenye Bunge Maalum la Katiba.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Meya Bukoba ang’ang’ania kiti

LICHA ya kutangaza kujiuzulu kwa agizo la serikali baada ya ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Ludovick Uttouh, kumtia hatiani aliyekuwa Meya wa Manispaa ya...

 

11 years ago

Habarileo

Padri Mkatoliki ang’ang’aniwa kortini

KESI inayomkabili Padri Deogratius Makuri wa Kanisa Katoliki Jimbo la Singida kushindwa kutoa matunzo kwa mwanawe, juzi iliahirishwa tena kwa mara ya tatu baada ya mlalamikiwa kushindwa kufika mahakamani.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Viwavijeshi ang’ang’aniwa Uganda

MSANII wa muziki wa kizazi kipya na miondoko ya ngoma za asili, Shaban Maganga ‘Viwavijeshi’ ameng’ang’aniwa nchini Uganda baada ya wenyeji wake kumzuia asirudi Tanzania mpaka amalize kucheza shoo alizopangiwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani