Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


El Nino;Wenyeji wakaidi onyo la kuhama TZ

Licha ya onyo kutoka kwa serikali ya Tanzania wakazi wa maeneo ya mabondeni wamekaidi kuhama kutokana na tishio la mvua kubwa ya El Nino

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WATEJA SOKO LA KIHESA WAKAIDI AGIZO LA KUTAKASA MIKONO, JESHI LA AKIBA WAKUKAMATA WAKAIDI

Kaimu Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Joseph Ryata akiwa katika soko la Ipogolo alipofanya Ziara katika masoko ya manispaa ya Iringa kwa lengo la kujua namna gani wafanyabisha wanaelimu ya kupambana na Virusi vya Corona.Kaimu Meya wa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa Joseph Ryata akiwa katika soko la Mlandege alipofanya Ziara katika masoko ya manispaa ya Iringa kwa lengo la kujua namna gani wafanyabisha wanaelimu ya kupambana na Virusi vya Corona.Kaimu Meya wa Halmashauri ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wafugaji wakaidi Kiteto kusakwa

MKUU wa Wilaya ya Kiteto, mkoani Manyara, Martha Umbula, ameliagiza Jeshi la Polisi wilayani humo kuwasaka wafugaji wa jamii ya Kimasai waliogoma kuondoka katika hifadhi ya jamii ya Embolei Omurutangos....

 

11 years ago

Mwananchi

Wachungaji wakaidi sasa kushughulikiwa

Uongozi wa Kanisa la Moravian Tanzania, umetangaza kuwachukulia hatua kali ikiwa ni pamoja na kuwasimamisha wachungaji na wajumbe wote wa halmashauri kuu watakaondelea kukiuka uamuzi wa mkutano mkuu uliofanya mabadiliko ya uongozi.

 

11 years ago

Mwananchi

Wafanyabiashara wakaidi mwisho wao Januari

Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imesema ifikapo Januari Mosi mwakani, mfanyabiashara yeyote ambaye hatakuwa na mashine ya elektroniki ya kutolea stakabadhi (EFDS) afunge biashara yake.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wizara ya Afya wakaidi amri ya mahakama

WATENDAJI wa Wizara ya Afya wameingia katika mgogoro na mhimili wa mahakama baada ya kukaidi amri ya kukifungulia kituo cha tiba za asili na mbadala cha Foreplan Herbal Clinic. Kituo...

 

9 years ago

BBCSwahili

Walimu wakaidi amri ya mahakama Kenya

Vyama vya walimu nchini Kenya vimesema havitatekeleza amri ya mahakama iliyowataka kusitisha mgomo huo kwa siku tisini kuanzia leo.

 

11 years ago

Mwananchi

Kampeni Tokomeza Mnyauko kuwafunga wakulima wakaidi

Kyerwa. Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Kanali Mstaafu Fabian Massawe ametangaza kuanzisha jitihada za kudhibiti ugonjwa wa mnyauko unaoathiri migomba unaoenea kwa kasi Wilaya ya Kyerwa, Mkoa wa Kagera.

 

11 years ago

Mwananchi

Wasaliti na wakaidi CCM sasa basi, asema Kanali Kinana

Chama Cha Mapiduzi (CCM), kimetishia kuwatimua mara moja, wanachama wasaliti na wasiokubali kushindwa wakati wa kura za maoni za kuwania kuteuliwa ili kugombea urais, ubunge na udiwani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Wenyeji wa Kalahari hatarini

Wenyeji wanaoishi katika mapori ya jangwa la Kalahari wapo hatarini kupoteza utamaduni wao.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani