Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


ELIMU YA AWALI YAENDESHWA BILA VITABU TUNDURU‏

Wanafunzi wa darasa la awali Shule ya Msingi Nakayaya wakiwa darasani. Hata hivyo shule hii haina chumba cha darasa la awali chumba hiki kimejengwa kwa matumizi mengine na kwa sasa kinatumika kwa muda kwa kuwa kipo katika ujenzi. Mwalimu Christina Komba (kulia) wa darasa la awali Shule ya Msingi Tunduru Mchanganyiko akiwa darasani. Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Majengo, Madina Mkali akizungumza na mwandishi wa habari hizi...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

ELIMU YA AWALI YAENDESHWA BILA VITABU TUNDURU‏

Wanafunzi wa darasa la awali Shule ya Msingi Nakayaya wakiwa darasani. Hata hivyo shule hii haina chumba cha darasa la awali chumba hiki kimejengwa kwa matumizi mengine na kwa sasa kinatumika kwa muda kwa kuwa kipo katika ujenzi.  Wanafunzi wa darasa la awali Shule ya Msingi Nakayaya wakiwa darasani. Hata hivyo shule hii haina chumba cha darasa la awali chumba hiki kimejengwa kwa matumizi mengine na kwa sasa kinatumika kwa muda kwa kuwa kipo katika ujenzi.Mwalimu Christina Komba (kulia) wa darasa la awali Shule ya Msingi Tunduru Mchanganyiko akiwa darasani. Mwalimu Christina Komba (kulia) wa darasa la awali Shule ya Msingi Tunduru Mchanganyiko akiwa darasani.Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Majengo, Madina Mkali.Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Majengo, Madina Mkali akizungumza na mwandishi wa habari hizi (hayupo pichani) ofisini kwake.Mwalimu wa muda wa darasa la awali, Shule ya Msingi Nakayaya, Teckla Milanzi akionesha baadhi ya nakala za vitabu walivyonavyo. Mwalimu wa muda wa darasa la awali,...

 

10 years ago

Vijimambo

Elimu ya awali Tunduru na changamoto zake

Mwalimu wa darasa la awali wa Shule ya Msingi Nakayaya, Teckla Milanzi (kulia) akiwa na wanafunzi wake eneo ambalo hutumika kama darasa la wanafunzi hao.Mwalimu wa darasa la awali wa Shule ya Msingi Nakayaya, Teckla Milanzi (kulia) akiwa na wanafunzi wake eneo ambalo hutumika kama darasa la wanafunzi hao.
WADAU wa elimu nchini Tanzania wanaamini kwa kiasi kikubwa kwamba endapo elimu ya awali (chekechea) nchini Tanzania itatolewa katika misingi inayostahiki itakuwa ni njia moja wapo madhubuti ya kuimarisha ubora wa elimu. Hii ndiyo maana wanaendelea kupaza sauti wakiitaka serikali kupitia vyombo husika kuboresha kwanza elimu ya awali kabla...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Elimu ya awali Tunduru na changamoto lukuki

WADAU wa elimu Tanzania wanaamini kwa kiasi kikubwa kwamba endapo elimu ya awali (chekechea) itatolewa katika misingi inayostahiki, itakuwa ni njia mojawapo madhubuti ya kuimarisha ubora wa elimu. Hii ndiyo...

 

11 years ago

GPL

MAFUNZO YA MPIRA WA RUGBY YAENDESHWA SHULE ZA MSINGI DAR‏

Mapambano Primary school pupils in action  as they train rugby  at playgrounds of  Tanganyika International School, Masaki in Dar es Salaam yesterday.  The program is sponsored by G4S Tanzania and is run in ten African countries as strategies to promote and unite African children through rugby. According to organizers, the countries are Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Ethiopia, Malawi, Zambia, Botswana,Namibia and...

 

11 years ago

GPL

ASKARI 96 WA TANAPA WAMALIZA MAFUNZO YA AWALI WAAHIDI KUPAMBANA NA MAJANGIRI‏‏

Mkurugenzi mkuu wa TANAPA Allan kijazi akiwahutubia wahitimu wa mafunzo ya kuhifadhi maliasili katika chuo cha wanyama pori cha Mlele mkoani katavi ambao hawapo pichani hapo juzi katika chuo cha wanyama pori cha mlele ambapo wahitimu 96 walihitimu mafunzo ya awali ya wahifadhi wa rasilimali za nchi na aliwataka wafanye kazi kwa uadilifu mkubwa iliwaweze kupambana na kutokomeza ujangiri na kuvunja mitandao ya majangiriya ndani ya...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Elimu ya awali msingi wa elimu Tanzania

WARIOBA IGOMBE

NYUMBA imara inahitaji msingi uliokamilika katika ujenzi, ikiwa yatatumika mawe, zege au udongo basi fundi asifikirie kulipua ili amalize.

Ikiwa utaratibu hautafuatwa katika kujenga msingi imara nyumba itaanguka wakati wowote, inawezekana ikaanguka wakati ujenzi ukiendelea au miaka michache baada ya kukamilika.

Katika mtiririko huo huo mwanafunzi anaandaliwa kwa kujengewa msingi mzuri, anapoanza elimu ya awali na baadaye shule ya msingi kabla ya kwenda sekondari...

 

11 years ago

BBCSwahili

Elimu ya awali TZ,nani anawajibika?

Wiki hii katika Haba na Haba tunaangalia elimu ya awali nchini Tanzania. Je nani anawajibika?

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yashauriwa kuwekeza elimu ya awali

Walimu wa Elimu ya Awali (Chekechea), Mkoa wa Tanga wamezidua tawi la chama chao, huku wakielekeza lawama kwa jamii na Serikali kwa kushindwa kuwapa kipaumbele.

 

11 years ago

Mwananchi

Je, tumewekeza ipasavyo katika elimu ya awali?

Rasimu ya Sera ya Elimu inaweka bayana kuwa moja ya malengo ya elimu ya awali, ni kuhimiza na kukuza maendeleo yanayojumuisha ukuaji, haiba na uwezo wa mtoto kimwili, kiakili, kimaadili, kiroho na kumwandaa mtoto kwa ajili ya elimu ya msingi.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani