Elimu ya msingi kutolewa bure Tanzania
Sera ya elimu ya msingi inasema Wanafunzi watasoma bure
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Uhuru Newspaper29 Jan
Elimu ya msingi kuendelea kutolewa bure
SERIKALI imesema elimu ya msingi inaendelea kutolewa bure kwenye shule za serikali licha ya kwamba wazazi wanachangia kwa kiasi kidogo.
Hayo yalielezwa bungeni mjini hapa jana, na Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi, Adam Malima, wakati akijibu swali la Dk, Hamisi Kigwangwala (Nzega-CCM), aliyetaka kujua kwa nini serikali inakusanya kodi kwa wananchi na kisha kuchangiwa huduma za afya, elimu na maji badala ya kutoa huduma hizi bure.
Malima, alisema chanzo kikuu cha mapato ya serikali yoyote ni...
10 years ago
Raia Tanzania20 Jul
Elimu ya awali msingi wa elimu Tanzania
WARIOBA IGOMBE
NYUMBA imara inahitaji msingi uliokamilika katika ujenzi, ikiwa yatatumika mawe, zege au udongo basi fundi asifikirie kulipua ili amalize.
Ikiwa utaratibu hautafuatwa katika kujenga msingi imara nyumba itaanguka wakati wowote, inawezekana ikaanguka wakati ujenzi ukiendelea au miaka michache baada ya kukamilika.
Katika mtiririko huo huo mwanafunzi anaandaliwa kwa kujengewa msingi mzuri, anapoanza elimu ya awali na baadaye shule ya msingi kabla ya kwenda sekondari...
9 years ago
Mwananchi01 Dec
Elimu bure ya Nyerere vs elimu bure ya Magufuli
9 years ago
BBCSwahili17 Dec
Magufuli: Elimu ya bure itapatikana Tanzania
9 years ago
Dewji Blog16 Dec
Uturuki kuisaidia Tanzania kufanikisha elimu bure
Balozi wa Uturuki nchini Bi.Yasemin Eralp kisalimia na Naibu Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Tulia Ackson Mwansasu alipomtembelea ofisini kwake jana.
Balozi wa Uturuki nchini Bi.Yasemin Eralp akisaini kitabu cha wageni alipotemblea ofisi za Bunge jijini Dar es salaam jana. Kulia ni Naibu Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Ackson Mwansasu .
Naibu Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Tulia Ackson Mwansasu akizungumza na...
10 years ago
Michuzi12 Apr
10 years ago
Mwananchi03 Feb
Kampeni za elimu bure zitasaidia kuboresha elimu yetu?
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-bBmz2bJgF-g/U_XUQ7JAP7I/AAAAAAAGBKE/F3Xkq_odWzU/s72-c/unnamed%2B(80).jpg)
Mamlaka ya Elimu Tanzania inatarajia kukabidhi madawati 2000 kwa shule za Msingi 10
![](http://2.bp.blogspot.com/-bBmz2bJgF-g/U_XUQ7JAP7I/AAAAAAAGBKE/F3Xkq_odWzU/s1600/unnamed%2B(80).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-qPFqQEZKfG0/U_XUQhg7WBI/AAAAAAAGBKM/DrMZCM79aSA/s1600/unnamed%2B(81).jpg)
10 years ago
Habarileo09 May
Elimu sheria ya mtandao kutolewa
WAZIRI wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa amesema kuanzia wiki ijayo wataalamu wake wataanza kutoa elimu kwa umma kuhusu sheria ya makosa ya mtandao ya mwaka 2015, ili ianze kutumika rasmi.