Magufuli: Elimu ya bure itapatikana Tanzania
Rais wa Tanzania John Pombe Magufuli amewahakikishia Watanzania kwamba elimu ya bure itapatikana kama alivyoahidi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi01 Dec
Elimu bure ya Nyerere vs elimu bure ya Magufuli
10 years ago
BBCSwahili11 Jun
9 years ago
Dewji Blog16 Dec
Uturuki kuisaidia Tanzania kufanikisha elimu bure
Balozi wa Uturuki nchini Bi.Yasemin Eralp kisalimia na Naibu Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Tulia Ackson Mwansasu alipomtembelea ofisini kwake jana.
Balozi wa Uturuki nchini Bi.Yasemin Eralp akisaini kitabu cha wageni alipotemblea ofisi za Bunge jijini Dar es salaam jana. Kulia ni Naibu Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Ackson Mwansasu .
Naibu Spika wa Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Tulia Ackson Mwansasu akizungumza na...
10 years ago
Mwananchi03 Feb
Kampeni za elimu bure zitasaidia kuboresha elimu yetu?
9 years ago
Habarileo14 Dec
Shule 11 kutohusika elimu bure
WIZARA ya Elimu, Sayansi na Ufundi imetoa waraka wa elimu kuhusu elimumsingi bila malipo na kutoa orodha ya shule za msingi 11 za Serikali ambazo hazihusiki na utoaji wa elimu bure uliotangazwa na Rais John Magufuli. Elimumsingi inajumuisha elimu ya awali, ya msingi na sekondari ambayo itaanza Januari mwakani.
9 years ago
Habarileo25 Nov
Muongozo elimu bure waandaliwa
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Sifuni Mchome, amesema wizara yake inaandaa mwongozo utakaotoa maelekezo juu ya muundo, mfumo na utaratibu nyumbufu utakaohakikisha kuwa ifikapo Januari mwakani, elimu ya msingi inatolewa bila malipo.
9 years ago
Habarileo28 Dec
Askofu aguswa na elimu bure
ASKOFU wa Kanisa Katoliki, Jimbo la Morogoro, Telesphor Mkude ameeleza kuguswa na uamuzi wa Serikali ya Awamu ya Tano wa kutoa elimu bure kuanzia awali hadi Kidato cha Nne jambo ambalo amehimiza Rais John Magufuli aungwe mkono katika hilo.
10 years ago
Habarileo13 Jan
SMZ kutoa elimu bure
SERIKALI ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) imefuta ada ya wanafunzi wa shule za msingi, ikiwa ni utekelezaji wa dhamira ya mapinduzi ya kuwapatia wanafunzi wote elimu bure, kama ilivyoasisiwa na Rais wa Kwanza wa Zanzibar, Abeid Amaan Karume.
10 years ago
StarTV11 Oct
CHADEMAÂ ya ahidi kutoa elimu bure
Mgombea Ubunge Jimbo la Songea kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Joseph Fuime amesema chama chake kikiingia madarakani kitahakikisha elimu inatolewa bure kutoka Shule ya Msingi hadi Chuo kikuu.
Fuime amesema Tanzania ni nchi yenye rasilimali nyingi hasa za Madini lakini hazitumiki ipasavyo kuwasaidia wananchi badala yake yananufaisha watu wachache.
Mgombea Ubunge Jimbo la Songea kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA Joseph Fuime amesema imefika wakati sasa...