Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


England yashuka daraja hadi 20- Fifa

Timu ya England imeshuka ngazi ya orodha ya Fifa kutoka nambari 10 hadi 20,nafasi ya chini zaidi tangu miaka ya 90.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Tanzania yashuka tena viwango Fifa

>Shirikisho la Soka la Kimataifa (Fifa) limetoa viwango vipya vya ubora, huku Tanzania ikiporomoka kwa nafasi 12, kiasi cha kuwaumiza wadau wa soka nchini.

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Mechi za Ligi ya soka ya England kuahirishwa hadi tarehe 3 Aprili

Mechi za Ligi kuu ya soka ya England zitaahirishwa hadi tarehe 4 Aprili kufuatia baadhi ya wachezaji wa ligi hio kupatikana na maambukizi ya virusi vya Corona.

 

10 years ago

Vijimambo

DARAJA LA KISASA KUJENGWA BAHARINI ENEO LA AGHA KHAN HADI BARABARA YA KENYATA

Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akionesha sehemu ambazo daraja hilo jipya litakapojengwa pembezoni mwa daraja la Selander kuanzia hospitali ya Aghakan hadi barabara Kenyata. Sehemu ya Daraja hilo pekee litakuwa na urefu wa km 1.03Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt.Servacius Likwelile akiwa na ujumbe kutoka Serikali ya Korea Kusini pamoja na Wizara ya Ujenzi mara baada ya kusaini Mkataba wa Muhtasari wa Majadiliano leo jijini Dar es Salaam.Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt.Servacius...

 

10 years ago

BBCSwahili

FIFA:Nigeria yapewa hadi ijumaa kuamua

Nigeria yapewa hadi ijumaa kubadili msimamo wake kuhusu uamuzi wa mahakama kuhusu uchaguzi wa maafisa wa maafisa soka nchini

 

9 years ago

Africanjam.Com

SUPPORTERS NAME ENGLAND CAPTAIN WAYNE ROONEY ENGLAND PLAYER OF THE YEAR

Wayne Rooney has been named England Player of the Year for 2015, retaining the title he won in 2014.The Manchester United forward earned 37% of the votes cast by members of the England Supporters Club and has now won it four times.England captain Rooney, 30, scored five goals last year, overtaking Sir Bobby Charlton as England's record goalscorer during Euro 2016 qualification.Stoke City goalkeeper Jack Butland was voted Under-21 Player of the Year.In the vote for the senior player of the...

 

10 years ago

Michuzi

WIZARA YA UJENZI KUJENGA DARAJA JIPYA LITAKALOPITA BAHARINI PEMBEZONI MWA DARAJA SELANDER

Waziri wa Ujenzi Dkt. John Magufuli akionesha sehemu ambazo daraja hilo jipya litakapojengwa pembezoni mwa daraja Selander kuanzia hospitali ya Aghakan hadi barabara Kenyata. Sehemu ya Daraja hilo pekee litakuwa na urefu wa km 1.03 Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt.Servacius Likwelile akiwa na ujumbe kutoka Serikali ya Korea Kusini pamoja na Wizara ya Ujenzi mara baada ya kusaini Mkataba wa Muhtasari wa Majadiliano leo jijini Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha Dkt.Servacius...

 

10 years ago

Mtanzania

Bei ya umeme yashuka

Pg 3Jonas Mushi na Adam Mkwepu, Dar es Salaam

MAMLAKA ya Udhibiti wa Nishati na Maji (EWURA) imetangaza kushusha bei ya nishati ya umeme kwa watumiaji wakubwa wa majumbani wanaotumia zaidi ya uniti 75 kwa mwezi pamoja na viwanda vikubwa na vya kati.
Tangazo la kushushwa kwa bei ya nishati ya umeme limetolewa na Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Felex Ngamlagosi, katika mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyikia jana ofisini kwake, Dar es Salaam.
Alisema punguzo hilo limezingatia gharama za...

 

10 years ago

Mtanzania

Kodi ya mishahara yashuka

mkuyaNa Waandishi wetu, Dodoma/Dar

WAZIRI wa Fedha, Saada Mkuya Salum, amesema Serikali imeendelea na uboreshaji wa masilahi ya wafanyakazi ambapo kwa mwaka huu wa fedha imepunguza tozo la kodi ya mapato ya ajira kutoka asilimia 12 ya sasa hadi asilimia 11.

Akiwasilisha Bajeti ya Serikali ya mwaka 2015/16 mjini Dodoma jana, Waziri Saada alisema hali hiyo inakwenda na dhamira ya Serikali kuwapunguzia mzigo wa kodi wafanyakazi.

Alisema mshahara wa kima cha chini umeongezeka kutoka Sh 65,000 mwaka...

 

11 years ago

Michuzi

ULIPO TUPO NA BENKI YA CRDB HADI HADI VIWANJA VYA SABASABA

Wateja wa Benki ya CRDB wakipata huduma za kuweka fedha na kutoa katika Mobile Branch lililopo katika Maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba jijini Dar es Salaam. Ofisa wa Benki ya CRDB akiwahudumia wateja waliofika katika banda la Benki ya CRDB wakati wa Maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa Sabasaba.
 Ofisa Mauzo wa Benki ya CRDB, Moses Wamala akimpiga picha mteja  aliyefungua akaunti ya Benki ya CRDB katika Maonesho ya 38 ya Biashara ya Kimataifa.
 Ofisa wa Benki ya CRDB...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani