Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Escrow Has Let Down Isles, Says Raza


Escrow Has Let Down Isles, Says Raza
AllAfrica.com
PROMINENT Zanzibar politician and businessman Mr Mohamed Raza said in Dar es Salaam that he plans to move a motion in the House of Representatives to have the Isles compensated following the infamous Tegeta Escrow Account in which about ...

AllAfrica.com

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mtanzania

Raza aibukia suala la Escrow

Na Patricia Kimelemeta

MJUMBE wa Baraza la Wawakilishi na Mbunge wa Uzini, Zanzibar, Mohamed Raza, amesema ataishauri Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar (SUKI), kuwaandikia barua wahisani ili kuwaeleza namna sakata la Tegeta Escrow lisivyowahusu Wazanzibari.
Alisema amefikia uamuzi huo ili kushawishi wahisani waendelee kutoa misaada yao kama kawaida.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Raza alisema sakata hilo limewaathiri wananchi wa Zanzibar kutokana na...

 

11 years ago

TheCitizen

Raza named in airport saga

>The Zanzibar Aviation Services and Travel Trade (ZAT) has operated for 18 years without a concession agreement contrary to the law, the House of Representatives has been told.

 

11 years ago

Mwananchi

Raza aingia matatani CCM

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeanza kumhoji Mwakilishi wa Uzini, Mohamed Raza, kwa tuhuma za kugombanisha viongozi na wananchi na kushindwa kutetea misingi ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

 

11 years ago

TheCitizen

Raza wants CA shelved to save money

>Constituent Assembly (CA) member from Zanzibar Mohammed Raza yesterday termed the scheduled resumption of sittings next month a waste of money that will not result in a new mother law.

 

11 years ago

Mwananchi

Raza: Naishangaa SMZ kutonishtaki

Mwenyekiti wa Kampuni ya huduma za viwanja vya ndege Zanzibar (ZAT) Mohamed Raza Dharamsi amesema ameshangazwa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kumhusisha na kutolipa kodi ya gawio la Serikali kwa muda wa miaka 16 bila ya kumchukulia hatua za kisheria.

 

11 years ago

Mwananchi

Raza: Tuache utoto tujadili Katiba

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Mohamed Raza ametaka wajumbe wenzake kuheshimiana bila kujali wingi au uchache wa wajumbe kwenye makundi yao, kama kweli wana dhamira ya dhati ya kutunga Katiba.

 

9 years ago

IPPmedia

Raza appeals for Zanzibaris to remain calm


IPPmedia
Raza appeals for Zanzibaris to remain calm
IPPmedia
Renowned businessman in Zanzibar Mohamed Raza has appealed to Zanzibaris to remain calm while leaders of the two parties namely, CUF and CCM are working on the current political standoff so that the matter be resolved amicably. The People of Isles ...

 

11 years ago

Michuzi

KUTOKA MAKTABA: ANKAL, LIONGO, NGAHYOMA NA RAZA

Mwaka 1997: Ankal (enzi hizo akiwa Daily News) na wenzie Aboubakar Liongo (enzi hizo akiwa RTD) Marehemu John Ngahyoma (akiwa The Express) na Mhe. Mohamed Raza, enzi hizo akiwa mfadhili wa michezo, alipowakaribisha nyumbani kwake mjini Zanzibar.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali ya Mapinduzi yamng’ang’ania Raza

>Waziri wa Fedha wa Zanzibar, Omar Yussuf Mzee amesema kazi ya kupitia madeni ya kodi ya gawio la Serikali ya Mapinduzi Zanzibar (SMZ) anayodaiwa Mfanyabiasha Mohamed Raza kwa muda wa miaka 16 itachukua miezi mitatu ili kubaini kiwango halisi anachodaiwa kupitia Kampuni ya Huduma katika Viwanja vya Ndege (ZAT).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani