Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Raza: Naishangaa SMZ kutonishtaki

Mwenyekiti wa Kampuni ya huduma za viwanja vya ndege Zanzibar (ZAT) Mohamed Raza Dharamsi amesema ameshangazwa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kumhusisha na kutolipa kodi ya gawio la Serikali kwa muda wa miaka 16 bila ya kumchukulia hatua za kisheria.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

AllAfrica.Com

Escrow Has Let Down Isles, Says Raza


Escrow Has Let Down Isles, Says Raza
AllAfrica.com
PROMINENT Zanzibar politician and businessman Mr Mohamed Raza said in Dar es Salaam that he plans to move a motion in the House of Representatives to have the Isles compensated following the infamous Tegeta Escrow Account in which about ...

 

11 years ago

TheCitizen

Raza wants CA shelved to save money

>Constituent Assembly (CA) member from Zanzibar Mohammed Raza yesterday termed the scheduled resumption of sittings next month a waste of money that will not result in a new mother law.

 

11 years ago

TheCitizen

Raza named in airport saga

>The Zanzibar Aviation Services and Travel Trade (ZAT) has operated for 18 years without a concession agreement contrary to the law, the House of Representatives has been told.

 

11 years ago

Mwananchi

Raza aingia matatani CCM

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimeanza kumhoji Mwakilishi wa Uzini, Mohamed Raza, kwa tuhuma za kugombanisha viongozi na wananchi na kushindwa kutetea misingi ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.

 

10 years ago

Mtanzania

Raza aibukia suala la Escrow

Na Patricia Kimelemeta

MJUMBE wa Baraza la Wawakilishi na Mbunge wa Uzini, Zanzibar, Mohamed Raza, amesema ataishauri Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar (SUKI), kuwaandikia barua wahisani ili kuwaeleza namna sakata la Tegeta Escrow lisivyowahusu Wazanzibari.
Alisema amefikia uamuzi huo ili kushawishi wahisani waendelee kutoa misaada yao kama kawaida.

Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Raza alisema sakata hilo limewaathiri wananchi wa Zanzibar kutokana na...

 

11 years ago

Mwananchi

Raza: Tuache utoto tujadili Katiba

Mjumbe wa Bunge la Katiba, Mohamed Raza ametaka wajumbe wenzake kuheshimiana bila kujali wingi au uchache wa wajumbe kwenye makundi yao, kama kweli wana dhamira ya dhati ya kutunga Katiba.

 

9 years ago

IPPmedia

Raza appeals for Zanzibaris to remain calm


IPPmedia
Raza appeals for Zanzibaris to remain calm
IPPmedia
Renowned businessman in Zanzibar Mohamed Raza has appealed to Zanzibaris to remain calm while leaders of the two parties namely, CUF and CCM are working on the current political standoff so that the matter be resolved amicably. The People of Isles ...

 

10 years ago

GPL

RAZA AWAONYA WAGOMBEA URAIS KUTOTUMIA RUSHWA

Mjumbe wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar,  Mohamed Raza (kushoto) akizungumza na wanahabari (hawapo pichani),  kulia ni Naibu Mkurugenzi wa Idara ya Habari, Vincent Tiganya. Wanahabari wakifuatilia mkutano huo.…

 

10 years ago

Vijimambo

RAZA AWAPONDA WANAOTUMIA FEDHA KUWANIA MADARAKA

 Mwakilishi wa Baraza la Wawakilishi jimbo la Uzini (CCM), Mohamed Raza ( kushoto) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo juu ya mustakabali wa uchaguzi mkuu wa mwaka 2015. Kulia ni Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Habari (MAELEZO), Vincent Tiganya. 
KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mohammed Raza, ameshtushwa na baadhi ya wagombea wa nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano kumwaga mabilioni yafedha chafu Zanzibar ili kuwashawishi baadhi Wajumbe wa chama hicho kuwaunga...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani