Raza: Naishangaa SMZ kutonishtaki
Mwenyekiti wa Kampuni ya huduma za viwanja vya ndege Zanzibar (ZAT) Mohamed Raza Dharamsi amesema ameshangazwa na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar kumhusisha na kutolipa kodi ya gawio la Serikali kwa muda wa miaka 16 bila ya kumchukulia hatua za kisheria.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
AllAfrica.Com18 May
Escrow Has Let Down Isles, Says Raza
AllAfrica.com
PROMINENT Zanzibar politician and businessman Mr Mohamed Raza said in Dar es Salaam that he plans to move a motion in the House of Representatives to have the Isles compensated following the infamous Tegeta Escrow Account in which about ...
11 years ago
TheCitizen28 Jul
Raza wants CA shelved to save money
11 years ago
TheCitizen08 Feb
Raza named in airport saga
11 years ago
Mwananchi17 Jan
Raza aingia matatani CCM
10 years ago
Mtanzania18 May
Raza aibukia suala la Escrow
Na Patricia Kimelemeta
MJUMBE wa Baraza la Wawakilishi na Mbunge wa Uzini, Zanzibar, Mohamed Raza, amesema ataishauri Serikali ya Umoja wa Kitaifa Zanzibar (SUKI), kuwaandikia barua wahisani ili kuwaeleza namna sakata la Tegeta Escrow lisivyowahusu Wazanzibari.
Alisema amefikia uamuzi huo ili kushawishi wahisani waendelee kutoa misaada yao kama kawaida.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Raza alisema sakata hilo limewaathiri wananchi wa Zanzibar kutokana na...
11 years ago
Mwananchi31 Mar
Raza: Tuache utoto tujadili Katiba
9 years ago
IPPmedia08 Dec
Raza appeals for Zanzibaris to remain calm
IPPmedia
IPPmedia
Renowned businessman in Zanzibar Mohamed Raza has appealed to Zanzibaris to remain calm while leaders of the two parties namely, CUF and CCM are working on the current political standoff so that the matter be resolved amicably. The People of Isles ...
10 years ago
GPLRAZA AWAONYA WAGOMBEA URAIS KUTOTUMIA RUSHWA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-XOYCWbmFPs4/VVhwygVSnZI/AAAAAAABZl4/TSdaOQNSSYQ/s72-c/raza1.jpg)
RAZA AWAPONDA WANAOTUMIA FEDHA KUWANIA MADARAKA
![](http://4.bp.blogspot.com/-XOYCWbmFPs4/VVhwygVSnZI/AAAAAAABZl4/TSdaOQNSSYQ/s640/raza1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-F46LzFnzyW4/VVhw3n40_sI/AAAAAAABZmE/2vhV7zb7reY/s640/raza6.jpg)
KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mohammed Raza, ameshtushwa na baadhi ya wagombea wa nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano kumwaga mabilioni yafedha chafu Zanzibar ili kuwashawishi baadhi Wajumbe wa chama hicho kuwaunga...