Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Escrow yaburuza wawili kizimbani

Mmoja wa watuhumiwa wa kashfa ya uchotaji fedha katika akaunti ya Tegeta Escrow ambao ni watumishi waandamizi wa umma, Theofillo Bwakea akiwa chini ya ulinzi wa Polisi akipanda ngazi kuingia katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam walipofikishwa kusomewa mashtaka yao jana. (Picha na Fadhili Akida).WATUMISHI wawili waandamizi wa Serikali wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakikabiliwa na mashitaka ya kupokea zaidi ya Sh milioni 485 ambazo ni sehemu ya fedha zilizokuwa kwenye akaunti ya Tegeta Escrow.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Kashfa ya Tegeta Escrow: Vigogo wawili Serikalini kizimbani

Miezi michache baada ya kashfa ya Akaunti ya Tegeta Escrow kutikisa nchi, watumishi wawili waandamizi wa Serikali wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, Dar es Salaam wakituhumiwa kupokea rushwa ya mamilioni ya fedha zilizotoka kwenye akaunti hiyo.

 

10 years ago

GPL

WASHTAKIWA WAWILI WA SAKATA LA AKAUNTI YA ESCROW WAPANDISHWA KIZIMBANI

WATU wawili Rugonzibwa Mujunangoma na Theophillo Bwakea wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, wakikabiliwa na mashitaka ya rushwa baada ya kupokea mgao wa Sh. Milioni 485.1 kutoka kwenye akaunti ya Tegeta Escrow walizohamishiwa na James Rugemalira. Katika kesi ya kwanza, aliyekuwa Mwanasheria wa Mamlaka ya Vizazi na Vifo (Rita) Mujunangoma ambaye kwa sasa ni Mkurugenzi wa Sheria Wizara Ardhi,...

 

10 years ago

Mtanzania

Vigogo kizimbani mgawo Escrow

2Na Kulwa Mzee, Dar es Salaam
SAKATA la uchotwaji wa zaidi ya Sh bilioni 300 kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow, limeanza kuchukua sura mpya baada ya Taasisi ya Kupambana na Kuzuia Rushwa (Takukuru), kuwafikisha mahakamani vigogo wawili wa Serikali.
Vigogo hao, waliofikishwa Mahakama ya Kisutu jijini Dar es Salaam jana, ni Mhandisi Mkuu wa Mradi wa Umeme Vijijini (REA), Theophillo Bwakea na Mkurugenzi wa Huduma za Kisheria wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Rugonzibwa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kizimbani kwa kuoa wanafunzi wawili ndugu

JESHI la Polisi Wilaya ya Nkasi, linamshikilia Pius Jacob, mkazi wa Kijiji cha Chala kwa kosa la kuoa mwanafunzi wa darasa la tano katika shule ya msingi Kabwe, wilayani Nkasi....

 

10 years ago

GPL

MZIMU WA ESCROW WAWAFIKISHA WATATU KIZIMBANI

Baadhi ya watuhumiwa wa Escrow wakipandishwa mahakamani. MZIMU wa sakata la akaunti ya Tegeta Escrow, limeendelea kuwatafuna watuhumiwa  wa uchotwaji wa  mabilioni ya fedha za akaunti hiyo baada ya watuhumiwa wengine watatu kupandishwa mchana huu kizimbani katika mahakama ya Kisutu, jijini Dar es Salaam. Waliopandishwa  ni Meneja  wa Misamaha ya Kodi  wa… ...

 

10 years ago

GPL

WATUHUMIWA WATATU WA SAKATA LA ESCROW KIZIMBANI

WATUHUMIWA watatu wa sakata la akaunti ya Tegeta Escrow wasomewa mashitaka leo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu jijini Dar es Salaam. Watuhumiwa hao ni pamoja na Mkurugenzi wa Fedha wa benki ya Mkombozi, Julius Ruta, Ofisa Mwandamizi wa Tanesco, Steve Urasa na Leonard Lutabingwa wa TRA anayeshitakiwa kwa makosa manne.

 

10 years ago

Habarileo

Mtuhumiwa sakata la Escrow kizimbani leo

MAHAKAMA ya Hakimu Mkazi Kisutu, leo inatarajia kumsomea maelezo ya awali Mkurugenzi wa Sheria wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Rugonzibwa Mujunangoma anayekabiliwa na kesi ya kupokea Sh milioni 323.4 ambazo ni sehemu ya fedha zilizokuwa kwenye akaunti ya Tegeta Escrow.

 

10 years ago

StarTV

TAKUKURU yawafikisha mahakamani watuhumiwa wawili wa ESCROW.

Na Lilian Mtono.

Dar es Salaam.

 

Tume ya kupambana na kuzuia rushwa, TAKUKURU kwa mara ya kwanza imewapandisha kizimbani watuhumiwa wawili wanaohusishwa na kashfa ya wizi wa zaidi ya shilingi Bilioni 300 kwenye akaunti ya Tegeta Escrow.

 

Watuhumiwa hao walifikishwa kwenye mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu Jijini Dar es Salaam, ambapo kila mmoja anakabiliwa na shitaka moja la kula rushwa.

 

Mshitakiwa wa kwanza kupandishwa kizimbani alikuwa ni Bwana Theophilo John Bwakea, ambaye inadaiwa kuwa...

 

10 years ago

Michuzi

ajali yaua watu wawili na kujeruhi wawili mkoani lindi

Na Abdulaziz Ahmed, LindiWatu wawili wamekufa na wawili kujeruhiwa baada ya gari waliyokuwa wanasafiria kuacha njia na kupinduka katika kijiji cha Michenga, wilaya ya Ruangwa Ruangwa mkoani Lindi.Kamanda wa polisi wa mkoa wa Lindi, ACP Renatha Mzinga alisema gari hiyo aina ya Toyota Rava4 yenye namba za usaji T574CWC.Iliyokuwa inaendeshwa na Mohamed Mchalaganya(27) iliacha njia na kupinduka katika barabara ya Ruangwa-Nanganga, ilitokea jana saa 11.30 jioni.
Kamanda Mzinga aliwataja waliokufa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani