EU yatarajia uchaguzi huru Zanzibar
JUMUIYA ya Ulaya (EU) imesema ina matarajio makubwa kuona uchaguzi mkuu wa Zanzibar unafanyika katika misingi ya haki na demokrasia.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima05 Feb
Zanzibar bado kuelekea uchaguzi huru
MARA nyingi nimeeleza kupitia gazeti hili na vyombo vingine vya habari kuwa licha ya kutolewa ahadi nyingi za kuwa na uchaguzi huru na wa haki, bado Zanzibar inayo safari ndefu...
10 years ago
Dewji Blog28 Oct
Breaking News: Matokeo ya uchaguzi Zanzibar yamefutwa na Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC na uchaguzi utarudiwa baada ya siku 90
Hii ni kutokana na takwimu za kisiwa cha Pemba zimekuwa ni tofauti na watu waliojiandikisha katika daftari la wapiga kura ndio kitu kilichopelekea mashaka na kuahirisha uchaguzi.
Taarifa hiyo imedhibitishwa na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC), Jecha Salim Jecha (Pichani) katika mkutano wake na waandishi wa habari hivi punde.
10 years ago
Michuzi
TUME YA UCHAGUZI ZANZIBAR YATANGAZA MAJIMBO YA UCHAGUZI ZANZIBAR

10 years ago
Vijimambo
TUME YA UCHAGUZI YA ZANZIBAR YAFUTA UCHAGUZI WA ZANZIBAR



10 years ago
Habarileo25 Oct
Shein aahidi uchaguzi huru na wa haki
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein amesisitiza kuwa uchaguzi unaofanyika leo utakuwa huru, haki na wenye utulivu na kuwahakikishia washirika wa maendeleo, likiwemo Shirika la Misaada la Uingereza (DFID) kuwa Zanzibar itaendelea kuwa na amani kwani ndio msingi wa maendeleo.
11 years ago
BBCSwahili23 Jan
Iran: Uchaguzi huru utaokoa Syria
11 years ago
Tanzania Daima04 Oct
Wanazuoni wataka tume huru uchaguzi
WASOMI kutoka vyuo vikuu nchini, wamesema wanataka mfumo wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), uwe huru. Rai hiyo waliitoa jijini Dar es Salaam jana, wakati wa kongamano la ushiriki...
10 years ago
Habarileo23 Jun
‘Uchaguzi Mkuu kuwa huru, haki’
SERIKALI imewahakikishia Watanzania kuwa, Uchaguzi Mkuu wa Oktoba utakuwa huru na wa haki, kwa sababu imejipanga kuhakikisha sheria, kanuni na taratibu za kupiga kura zinawekwa wazi na kufuatwa na kila mtu.
5 years ago
CHADEMA Blog