Faida ya kampuni ya Samsung kupungua
Mauzo katika robo ya pili ya mwaka katika kampuni ya simu ya Samsung huenda yasitimize malengo ya kampuni hiyo.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Tanzania24 Jul
Faida ya kutumia ARV kabla CD4 kupungua
NI kawaida katika nchi
zinazoendelea kwa watu waishio na virusi vya ukimwi (VVU) kutoanzishiwa
matibabu ya dawa za kufubaza virusi (ARV) hadi pale kinga za mwili (CD4) zinapopungua na kufikia seli 350 kwa kila milimita moja ya ujazo.
Nchini Tanzania, watu wenye maambukizi ya VVU na wagonjwa wa ukimwi walikuwa hawaanzishiwi dawa za ARV hadi kinga
zilipokuwa zimepungua kufikia seli 200 kwa milimita moja ya ujazo kwa hofu kuwa, kuanzisha matibabu mapema kunafanya matumizi ya ARV kuwa ya...
10 years ago
Dewji Blog17 Nov
Kampuni ya vifaa vya kielektroniki ya Samsung yazindua Samsung Galaxy Note 4 Tanzania
Bw. Mike Seo, Meneja Mtendaji wa Kampuni ya Kielectroniki ya Samsung Tanzania akiwahutubia wageni waalikwa katika uzinduzi rasmi wa simu ya Samsung Galaxy Note 4 uliofanyika katika ukumbi wa Terrace, Slip way.
Baada ya kusubiriwa miezi kadhaa, Kampuni ya kielektroniki ya Samsung Tanzania imeongeza rasmi mwanafamilia mpya katika simu aina ya Note. Tukio lililofanyika katika Ukumbi wa Terrace , Slipway ni alama ya uzinduzi rasmi na upatikanaji wa Samsung Galaxy Note 4 katika soko...
10 years ago
Dewji Blog17 Jan
Kampuni ya kielectroniki ya SAMSUNG yamtangaza Vanessa Mdee kama balozi wa kampuni hiyo
Kampuni ya kielektroniki ya Samsung kwa mara ya kwanza imehusisha kampuni hiyo na msanii wa muziki kutoka nchini Tanzania. Leo hii, Kampuni namba moja duniani inayoongoza kwa technolojia ya hali ya juu, Samsung wanayo furaha kumtangaza balozi wao mpya mwanamziki nyota, na mtangazaji wa Televisheni na radio Vanessa Mdee.
Katika mkutano na wanahabari ulilofanyika hoteli, ya Hyatt Regency, iliyoko mjini Dar es Salaam iliohusisha kusaini kwa mkataba baina ya Vannesa Mdee na uongozi wa kampuni...
11 years ago
Tanzania Daima26 Dec
Faida za soko la kukuza ujasiriamali na kampuni
KUNA faida nyingi zitakazopatikana kwa kutumia fursa ya kuanzishwa Soko la Kukuza Kampuni na Ujasiriamali (EGM) katika Soko la Hisa la Dar es Salaam. Ili kujiunga na soko hilo, kuna masharti...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-RH4nIYtTnK0/VXs3hAE928I/AAAAAAAHfHs/5WiRMfL_lG8/s72-c/unnamed%2B%252840%2529.jpg)
SERIKALI YAPATA GAWIO LA FAIDA LA SHILINGI BILIONI 3 KUTOKA KAMPUNI YA PUMA ENERGY TANZANIA LIMITED
![](http://2.bp.blogspot.com/-RH4nIYtTnK0/VXs3hAE928I/AAAAAAAHfHs/5WiRMfL_lG8/s640/unnamed%2B%252840%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0geuo0JyMb4/VXs3hPzFcwI/AAAAAAAHfHo/3fPBGrq8s9U/s640/unnamed%2B%252841%2529.jpg)
10 years ago
Dewji Blog21 Sep
Kampuni ya vifaa vya kielektroniki Samsung yalenga kukuza uchumi wa jiji la Arusha
Kampuni ya Samsung inazindua rasmi duka kubwa na kituo chake cha huduma kwa wateja lililopo barabara ya Sokoine mjini Arusha siku ya leo. Uzinduzi huo utawawezesha wateja wake wote mkoani Arusha kupata huduma stahiki na bidhaa halisi za Samsung. Kituo hiki ni cha kwanza kuzinduliwa mkoani Arusha na kampuni hii yenye idadi kubwa ya watumiaji na vifaa bora vya kielektroniki ulimwenguni.
“Mtazamo wa maisha ya wateja hubadilika kwa kasi kubwa na kuwafanya kuongeza mahitaji ya bidhaa na huduma...
5 years ago
XDA Developers04 Mar
aodNotify lets you preview notifications on the Samsung Galaxy S20 and other Samsung devices on Android 10
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rkDlSWtKUUI/XmuedqFgVzI/AAAAAAALi-k/pDTjG9naKxke3S_VbYINWLuSl9XEo-6_ACLcBGAsYHQ/s72-c/Screen%2BShot%2B2020-03-13%2Bat%2B15.04.09.png)
Tigo yaungana na Samsung kuzindua simu janja aina ya Samsung S20 Tanzania
![](https://1.bp.blogspot.com/-rkDlSWtKUUI/XmuedqFgVzI/AAAAAAALi-k/pDTjG9naKxke3S_VbYINWLuSl9XEo-6_ACLcBGAsYHQ/s640/Screen%2BShot%2B2020-03-13%2Bat%2B15.04.09.png)
Wateja watakaonunua simu hiyo watajipatia Gb78 za intaneti kwa mwaka mzima
Dar es Salaam. Machi 13, 2020. Kampuni inayoongza kwa mageuzi ya kidigitali nchini, Tigo kwa kushirikiana na Samsung Electronics wamezindua Simu janja aina ya Samsung S20 nchini Tanzania.Simu hizo tatu ni Galaxy S20, Galaxy S20+ na Galaxy S20...