Faida za soko la kukuza ujasiriamali na kampuni
KUNA faida nyingi zitakazopatikana kwa kutumia fursa ya kuanzishwa Soko la Kukuza Kampuni na Ujasiriamali (EGM) katika Soko la Hisa la Dar es Salaam. Ili kujiunga na soko hilo, kuna masharti...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-GRY5tshj75k/VkoUDwBLHUI/AAAAAAAIGP8/rlZL2MRr4zg/s72-c/stanbic%2Bwinner.jpg)
Stanbic yafanikisha shindano la kukuza ujasiriamali nchini la SeedStars.
9 years ago
BBCSwahili09 Sep
Soko la hisa la Japan limepata faida kubwa
10 years ago
Tanzania Daima26 Sep
Faida umoja wa forodha, soko la pamoja EAC bado ndoto
UTAFITI uliofanywa na Shirika la Muungano wa Mashirika yasiyo ya kiserikali (Tango), umebaini kuwa asasi za kiraia, wakulima na wafanyabiashara wadogo katika Umoja wa Afrika Mashariki (EAC), unaonyesha kuwa upatikanaji...
9 years ago
Michuzi26 Oct
10 years ago
BBCSwahili08 Jul
Faida ya kampuni ya Samsung kupungua
10 years ago
Bongo Movies26 May
Mzee Majuto Afungua Kampuni Yake, Azungumzia Miradi ya Ujasiriamali Aliyoianzisha Tanga
Muigizaji mkongwe wa Mzee Majuto amejidhatiti zaidi kwa kufungua kampuni yake mwenyewe ya filamu.
Mzee Majuto ameiambia Bongo5 kuwa huo ni mwanzo wa mipango yake mikubwa.
“Sasa hivi na mimi nina camera zangu, nina watu wangu karibu 75 nimewafundisha vijana ili kuwapa ajira na kweli wamejiajiri, tunatengeneza mikanda, tunauza wenyewe, tunakaa mezani tunagawana. Kwahiyo tuna nguvu,” amesema Majuto.
“Halafu mimi mwenye pia nimejiweka vizuri, nimenunua shamba, nikalitengeneza vizuri, nikaweza...
10 years ago
Dewji Blog21 Sep
Kampuni ya vifaa vya kielektroniki Samsung yalenga kukuza uchumi wa jiji la Arusha
Kampuni ya Samsung inazindua rasmi duka kubwa na kituo chake cha huduma kwa wateja lililopo barabara ya Sokoine mjini Arusha siku ya leo. Uzinduzi huo utawawezesha wateja wake wote mkoani Arusha kupata huduma stahiki na bidhaa halisi za Samsung. Kituo hiki ni cha kwanza kuzinduliwa mkoani Arusha na kampuni hii yenye idadi kubwa ya watumiaji na vifaa bora vya kielektroniki ulimwenguni.
“Mtazamo wa maisha ya wateja hubadilika kwa kasi kubwa na kuwafanya kuongeza mahitaji ya bidhaa na huduma...
9 years ago
Habarileo01 Nov
JK azindua kampuni ya soko la bidhaa
RAIS Jakaya Kikwete amezindua rasmi kampuni ya soko la bidhaa nchini (TMX), ambayo itawezesha wakulima kupata soko la uhakika, uwazi wa bei na kuziba mianya ya kuwanufaisha zaidi walanguzi.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-RH4nIYtTnK0/VXs3hAE928I/AAAAAAAHfHs/5WiRMfL_lG8/s72-c/unnamed%2B%252840%2529.jpg)
SERIKALI YAPATA GAWIO LA FAIDA LA SHILINGI BILIONI 3 KUTOKA KAMPUNI YA PUMA ENERGY TANZANIA LIMITED
![](http://2.bp.blogspot.com/-RH4nIYtTnK0/VXs3hAE928I/AAAAAAAHfHs/5WiRMfL_lG8/s640/unnamed%2B%252840%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-0geuo0JyMb4/VXs3hPzFcwI/AAAAAAAHfHo/3fPBGrq8s9U/s640/unnamed%2B%252841%2529.jpg)