Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Stanbic yafanikisha shindano la kukuza ujasiriamali nchini la SeedStars.

Katika mkakati wake wa kukuza ujasiriamali na ubunifu wa miradi endelevu nchini,Benki ya Stanbic imedhamini shindano la  Seedstars World kwa ajili  ya wajasiriamali wenye mawazo ya miradi endelevu ambalo limefanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.Kwenye shindano hilo kampuni ya Juabar imeibuka na ushindi wa kushiriki kwenye shindano la ngazi ya kimataifa litakalofanyika nchini Uswisi mwezi Februari mwakani ambapo itawania kitita cha Dola za Kimarekani 500,000 kwa ajili ya kufanikisha...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Faida za soko la kukuza ujasiriamali na kampuni

KUNA faida nyingi  zitakazopatikana kwa kutumia fursa ya kuanzishwa Soko la Kukuza Kampuni na Ujasiriamali (EGM) katika Soko la Hisa la Dar es Salaam. Ili kujiunga na soko hilo, kuna masharti...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Tayoa lazindua shindano la ujasiriamali kwa vijana

SHIRIKA la Tanzania Youth Alliance (Tayoa), kupitia mradi wa Vijanatz Microfinance kwa ufadhili wa Benki ya NBC limezindua mfululizo wa mashindano ya kutafuta na kukuza mawazo ya ujasiriamali kwa vijana...

 

10 years ago

Michuzi

MAFUNZO YA ELIMU YA UJASIRIAMALI KWA WASHIRIKI WA SHINDANO LA MASHUJAA WA KESHO MKOANI MTWARA YAMALIZIKA

Mafunzo ya elimu na ujasiriamali kwa washiriki wa shindano la Mashujaa wa  Kesho yanayoratibiwa na kampuni ya Statoil Tanzania, yenye lengo la kumjenga  kijana kuwa mjasiriamali yamekamilika hivi karibuni.
Akibainisha aina ya mafunzo ya ujasiriamali waliyopata vijana hao, ErickMchome Afisa Mahusiano wa Statoil-Tanzania amesema kuwaMafunzo waliyopata vijana hao yamelenga kuwawezesha vijana kuandika mpango wa biashara ikiwa ni hatua ya awali katika harakati za ujasiriamali.
Pamoja na hilo...

 

10 years ago

GPL

E-FM YAPANIA KUKUZA MCHEZO WA NDONDI NCHINI

Dennis Ssebo akipanga mikakati kati ya EFM Redio na Raisi wa WBF Bwana Howard Goldberg pamoja na Francios Botha.
Bondia Wang Xian Hua akiwa na mkalimani wake ndani ya studio za EFMN redio.…

 

11 years ago

Dewji Blog

Tigo yasaidia kukuza vipaji nchini

DSC03123 (FILEminimizer)

Kampuni ya simu ya mikononi ya Tigo imeamua kutoa udhamini kwa watoto wa kitanzania wanaocheza mpira wa kikapu, (basketball) kwenda nchini Canada kwa ajili ya mashindano yanayojulikana kama Basketball tournament.

Msemaji wa kampuni ya Tigo Tanzania John Wanyanja amesema,moja ya sehemu ya sera ya kampuni ni kukabiliana na changamoto mbalimbali katika jamii ikiwa  ni pamoja na kukuza michezo.Hii ni kutokana na watanzania wengi wanapenda michezo kwa hiyo basi tigo inashriki katika kukuza...

 

9 years ago

Mwananchi

Kombe la FA litumike kukuza soka nchini

Ligi yetu ya soka imeanza mwishoni mwa wiki huku tukishuhudia mipango ya kufufuliwa kwa mashindano mengine ambayo miaka ya nyuma yaliibeba soka ya nchi yetu.

 

9 years ago

Dewji Blog

Tanzania na Poland kukuza sekta ya kilimo nchini

01

Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Stephen Wasira akiongea na ujumbe wa wataalam wa kilimo kutoka nchini Poland ulioongozwa na Waziri wa Kilimo na Maendeleo Vjijini wa Poland Bi. Zofia Szalczyk hivi karibuni jijini Dar es salaam wakati wa mkutano uliohusu makubaliano yanalenga kuinua sekta ya kilimo na kurahisisha upatikanaji wa matrekta hapa nchini. Wa kwanza kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika Yamungu Kayandabila.

02

Waziri wa Kilimo na Maendeleo Vjijini...

 

10 years ago

Mwananchi

Nguvu ya ziada inahitajika kukuza elimu nchini

Moyo wangu umejaa huzuni. Ni huzuni inayotokana na kuongezeka kwa watu, hasa watoto wasiokuwa na elimu nchini.

 

9 years ago

Michuzi

RAIS JK APOKEA TUZO YA KUKUZA NA KUTHAMINI UTAFITI NCHINI

Katibu Mkuu Kiongozi, Balozi Ombeni Sefue, kulia akipokea zawadi kwa niaba ya Rais Jakaya Kikwete kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Tasisi ya Utafiti wa Magonjwa ya Binadamu (NIMR), Dk Mwele Malecela kutokana na mchango wake mkubwa katika kukuza na kuthamini utafiti nchini, wakati wa Kongamano la 29 la Kisayansi lililoandaliwa na taasisi hiyo ili kuwasilisha na kujadili matokeo ya tafiti za tiba katika maendeleo ya kijamii na kiuchumi. Kongamano hilo linafanyika jijini Dar es Salam kwa siku tatu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani