Stanbic yafanikisha shindano la kukuza ujasiriamali nchini la SeedStars.
![](http://3.bp.blogspot.com/-GRY5tshj75k/VkoUDwBLHUI/AAAAAAAIGP8/rlZL2MRr4zg/s72-c/stanbic%2Bwinner.jpg)
Katika mkakati wake wa kukuza ujasiriamali na ubunifu wa miradi endelevu nchini,Benki ya Stanbic imedhamini shindano la Seedstars World kwa ajili ya wajasiriamali wenye mawazo ya miradi endelevu ambalo limefanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.Kwenye shindano hilo kampuni ya Juabar imeibuka na ushindi wa kushiriki kwenye shindano la ngazi ya kimataifa litakalofanyika nchini Uswisi mwezi Februari mwakani ambapo itawania kitita cha Dola za Kimarekani 500,000 kwa ajili ya kufanikisha...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima26 Dec
Faida za soko la kukuza ujasiriamali na kampuni
KUNA faida nyingi zitakazopatikana kwa kutumia fursa ya kuanzishwa Soko la Kukuza Kampuni na Ujasiriamali (EGM) katika Soko la Hisa la Dar es Salaam. Ili kujiunga na soko hilo, kuna masharti...
10 years ago
Tanzania Daima02 Oct
Tayoa lazindua shindano la ujasiriamali kwa vijana
SHIRIKA la Tanzania Youth Alliance (Tayoa), kupitia mradi wa Vijanatz Microfinance kwa ufadhili wa Benki ya NBC limezindua mfululizo wa mashindano ya kutafuta na kukuza mawazo ya ujasiriamali kwa vijana...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-qcoq3A20VdE/VFc7-cUr-UI/AAAAAAACuOk/EJYG_cWRsA0/s72-c/group%2Bpicture%2BHOT.jpg)
MAFUNZO YA ELIMU YA UJASIRIAMALI KWA WASHIRIKI WA SHINDANO LA MASHUJAA WA KESHO MKOANI MTWARA YAMALIZIKA
![](http://4.bp.blogspot.com/-qcoq3A20VdE/VFc7-cUr-UI/AAAAAAACuOk/EJYG_cWRsA0/s1600/group%2Bpicture%2BHOT.jpg)
Akibainisha aina ya mafunzo ya ujasiriamali waliyopata vijana hao, ErickMchome Afisa Mahusiano wa Statoil-Tanzania amesema kuwaMafunzo waliyopata vijana hao yamelenga kuwawezesha vijana kuandika mpango wa biashara ikiwa ni hatua ya awali katika harakati za ujasiriamali.
Pamoja na hilo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JcikeZL6OiLFI0TNpJKqyTE8dEJzqA7UDeKChoHei6FK5GZLlg1-8JssE4dCS8R1FSfQ9lvaOZ9K9ubqRk9IP*yIEpA5vhAs/1.jpg?width=650)
E-FM YAPANIA KUKUZA MCHEZO WA NDONDI NCHINI
11 years ago
Dewji Blog06 Apr
Tigo yasaidia kukuza vipaji nchini
Kampuni ya simu ya mikononi ya Tigo imeamua kutoa udhamini kwa watoto wa kitanzania wanaocheza mpira wa kikapu, (basketball) kwenda nchini Canada kwa ajili ya mashindano yanayojulikana kama Basketball tournament.
Msemaji wa kampuni ya Tigo Tanzania John Wanyanja amesema,moja ya sehemu ya sera ya kampuni ni kukabiliana na changamoto mbalimbali katika jamii ikiwa ni pamoja na kukuza michezo.Hii ni kutokana na watanzania wengi wanapenda michezo kwa hiyo basi tigo inashriki katika kukuza...
9 years ago
Mwananchi14 Sep
Kombe la FA litumike kukuza soka nchini
9 years ago
Dewji Blog02 Oct
Tanzania na Poland kukuza sekta ya kilimo nchini
Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika, Stephen Wasira akiongea na ujumbe wa wataalam wa kilimo kutoka nchini Poland ulioongozwa na Waziri wa Kilimo na Maendeleo Vjijini wa Poland Bi. Zofia Szalczyk hivi karibuni jijini Dar es salaam wakati wa mkutano uliohusu makubaliano yanalenga kuinua sekta ya kilimo na kurahisisha upatikanaji wa matrekta hapa nchini. Wa kwanza kulia ni Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Chakula na Ushirika Yamungu Kayandabila.
Waziri wa Kilimo na Maendeleo Vjijini...
10 years ago
Mwananchi14 Oct
Nguvu ya ziada inahitajika kukuza elimu nchini
9 years ago
MichuziRAIS JK APOKEA TUZO YA KUKUZA NA KUTHAMINI UTAFITI NCHINI