Fainali za ‘The Jump Off Michano’ kufanyika Jumamosi hii
Fainali ya shindano la The Jump Off Michano lililoandaliwa na kituo cha redio cha Times FM zitafanyika Jumamosi hii kwenye viwanja vya Dar Live jijini Dar es Salaam. Shindano hilo limedumu kwa kipindi cha miezi mitatu. “Shindano la The Jump Off Michano lilikusanya vijana zaidi ya 32O ambao wanafanya muziki wa rap pekee,” mtangazaji wa […]
Bongo5
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hpMD5afDfdaHBxnQ*baeuRV4eDcMlZLmBNZlD8yH-nrxFQTonPUjwxmiMYGhyyW3MOVkn4Ueb5RPvLJa*Ts1Rz7hbPuXrlLu/06.jpg?width=650)
ROBO FAINALI DANSI 100% KUFANYIKA JUMAMOSI
11 years ago
Michuzi27 Mar
FAINALI YA KUMTAFUTA ‘MWANAMKE WA MWAKA’ KUFANYIKA DODOMA JUMAMOSI
KAMPUNI ya Global Publishers Ltd ambao ni waandaaji wa shindano la kumtafuta mwanamke bora wa mwaka ambaye mchango wake wa maendeleo kwa jamii umewazidi wenzake, imethibitisha fainali hizo kufanyika keshokutwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-A7RB6sx6XZ0/VBGZJ4I5KHI/AAAAAAAGi6I/iCbKtvtFnDY/s72-c/001.SAMSUNG.jpg)
Nusu fainali Dansi 100% kufanyika Don Bosco Jumamosi
![](http://1.bp.blogspot.com/-A7RB6sx6XZ0/VBGZJ4I5KHI/AAAAAAAGi6I/iCbKtvtFnDY/s1600/001.SAMSUNG.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-BIRZre5Rrr8/VBGZJ8j-kUI/AAAAAAAGi6M/pAQbTpjoUio/s1600/002.SAMSUNG.jpg)
11 years ago
GPLFAINALI YA KUMTAFUTA ‘MWANAMKE WA MWAKA’ KUFANYIKA DODOMA JUMAMOSI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bYocnjXOIXUjPk9WKqgEl-6grWonJsg24Tghxm64SBkmy9QeFTsrqzSiv5HDDkJvvb7alqIJ6ADm7ye*6x9t3wsJcytA0BNA/001.SAMSUNG.jpg)
NUSU FAINALI DANSI 100% KUFANYIKA DON BOSCO JUMAMOSI
10 years ago
Bongo502 Oct
Fainali za Dance100% kutimua vumbi Jumamosi hii
9 years ago
Bongo509 Oct
Fainali za shindano la Dansi 100% ni Jumamosi hii
9 years ago
Dewji Blog25 Nov
Pop Up Bongo kufanyika Jumamosi hii Triniti Oysterbay Dar
![](http://1.bp.blogspot.com/-hFJp_lVmeIc/VlP8Zq0exnI/AAAAAAAAL80/LWjmojgQGi8/s640/Mbili.jpg)
Nuya Essence.
![](http://3.bp.blogspot.com/-_INDtSQ1jpE/VlP8aQISA6I/AAAAAAAAL88/HJngUSr5Hfo/s640/Moja.jpg)
Founder of Branoz Collection Bahati Abraham with customers.
![](http://4.bp.blogspot.com/-SqT2ohdtK54/VlP8bXkLpfI/AAAAAAAAL9E/KM6BASJWO2s/s640/nne.jpg)
Secret Habits Seller servings customers.
![](http://4.bp.blogspot.com/--C0fLaJhH3k/VlP8ZTwD8lI/AAAAAAAAL8w/Sbsq9VsD_6c/s640/Tatu.jpg)
Pediah John, Founder of PSJ Brand with customers.
Na Mwandishi Wetu
WASANII mbalimbali wa muziki na maigizo pamoja na wadau wengine wa biashara watajumuika pamoja Triniti, Oysterbay katika tamasha la biashara za bidhaa mbalimbali, Pop Up Bongo.
Tamasha hilo linalofanyika kila baada ya miezi mitatu ni la siku moja na mwaka huu litafanyika tarehe 28 likiwa chini ya...
9 years ago
Bongo527 Nov
Instagram Party kufanyika Jumamosi hii, Escape One Mikocheni, Dar
![Ag_upG8RHDvxtgw049D3N_4KnhUuVGyYi-ODr2rgwrDk](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Ag_upG8RHDvxtgw049D3N_4KnhUuVGyYi-ODr2rgwrDk-300x194.jpg)
KAMPUNI ya Freconic Ideaz, imeandaa tamasha la burudani la ‘Instagram party’ litakalofanyika Jumamosi hii maeneo ya Escape One, Mikocheni jijini Dar es Salaam likiwa na lengo la kuwakumbusha wapenzi wa muziki, mavazi na misemo ya kizamani.
Mkurugenzi Mtendaji wa Freconic ideaz, Fred Ngimba akifafanua jambo alipokuwa anaongea na waandishi wa habari Ijumaa hii katika fukwe za Escape One kuhusu kukamilika kwa maandalizi ya tamasha kubwa la burudani litakalofanyika jumamosi hii tarehe 28...