Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fainali za ‘The Jump Off Michano’ kufanyika Jumamosi hii

Fainali ya shindano la The Jump Off Michano lililoandaliwa na kituo cha redio cha Times FM zitafanyika Jumamosi hii kwenye viwanja vya Dar Live jijini Dar es Salaam. Shindano hilo limedumu kwa kipindi cha miezi mitatu. “Shindano la The Jump Off Michano lilikusanya vijana zaidi ya 32O ambao wanafanya muziki wa rap pekee,” mtangazaji wa […]

Bongo5

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

ROBO FAINALI DANSI 100% KUFANYIKA JUMAMOSI

Vijana wanaounda Kundi la Mob Squad  Kutoka Wilaya ya Temeke wakionyesha umahiri wao katika shindano la Dance miamia hivi karibuni,liloandaliwa na East Africa TV na kudhaminiwa na  Vodacom Tanzania.
Baadhi ya mashabiki waliofurika katika mashindano hayo hivi karibuni. Kinyang’anyiro cha mashindano yanayokuwa kwa kasi hapa nchini ya Dance 100% yanayoandaliwa  na kituo cha televisheni cha East ...

 

11 years ago

Michuzi

FAINALI YA KUMTAFUTA ‘MWANAMKE WA MWAKA’ KUFANYIKA DODOMA JUMAMOSI

Meneja Mkuu wa kampuni ya Global Publishers Ltd, Abdallah Mrisho, akielezea mchakato wa kumpata 'Mwanamke wa Mwaka' utakavyokuwa. Kushoto ni Mratibu wa Matukio wa Global Publishers, Luqman Maloto.
Wanahabari wakiwa kazini. Luqman Maloto akisistiza jambo kwenye mkutano huo.
KAMPUNI ya Global Publishers Ltd ambao ni waandaaji wa shindano la kumtafuta mwanamke bora wa mwaka ambaye mchango wake wa maendeleo kwa jamii umewazidi wenzake, imethibitisha fainali hizo kufanyika keshokutwa...

 

10 years ago

Michuzi

Nusu fainali Dansi 100% kufanyika Don Bosco Jumamosi

Meneja wa huduma na bidhaa wa Vodacom Tanzania,Liginiku Milinga(kulia)akiwaonesha waandishi wa habari(hawapo pichani)Simu aina ya Samsung E1205 yenye tochi na redio yenye thamani ya shilingi 25,000 tu.Zitakazopatikana katika Nusu fainali ya Dance 100 itakayofanyika jumamosi Don Bosco Oysterbay jijini Dar es Salaam,pamoja nae kushoto ni Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania Matina Nkurlu,Kikundi kitakachoshinda katika shindano hilo kitajinyakulia kitita cha shilingi Milioni 5. Meneja...

 

11 years ago

GPL

FAINALI YA KUMTAFUTA ‘MWANAMKE WA MWAKA’ KUFANYIKA DODOMA JUMAMOSI

Mrisho na Maloto wakielezea mchakato wa kumpata mshindi utakavyokuwa. Abdallah Mrisho akizungumza na wanahabari (hawapo pichani) kuhusu tukio hilo.…

 

10 years ago

GPL

NUSU FAINALI DANSI 100% KUFANYIKA DON BOSCO JUMAMOSI‏

Meneja wa huduma na bidhaa wa Vodacom Tanzania,Liginiku Milinga(kulia)akiwaonesha waandishi wa habari(hawapo pichani)Simu aina ya Samsung E1205 yenye tochi na redio yenye thamani ya shilingi 25,000 tu.Zitakazopatikana katika Nusu fainali ya Dance 100 itakayofanyika jumamosi Don Bosco Oysterbay jijini Dar es Salaam,pamoja nae kushoto ni Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania Matina Nkurlu.
Meneja Uhusiano wa Umma wa...

 

10 years ago

Bongo5

Fainali za Dance100% kutimua vumbi Jumamosi hii

FAINALI za shindano la kucheza muziki maarufu kama Dance 100% linalofanyika chini ya uratibu wa Kituo cha East Africa Television ltd na kudhaminiwa na kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania, zitanayika Jumamosi hii ya Oktoba 4, Viwanja vya Don Bosco, Oysterbay jijini Dar es Salaam. Meneja wa Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania, Matina Nkurlu […]

 

9 years ago

Bongo5

Fainali za shindano la Dansi 100% ni Jumamosi hii

Kinyanganyiro cha shindano la kukata na shoka la dansi 100% ambalo limekuwa likiendelea kwa kushirikisha makundi mbalimbali vya sanaa chini ya uandalizi wa kituo cha EATV na kudhaminiwa na Vodacom Tanzania linafikia kileleni hapo kesho ambapo makundi matano(5) yatachuana vikali katika kombe pamoja na kitita cha shilingi milioni tano(5) ziotakazokabidhiwa na wadhamini wakuu wa shindano […]

 

9 years ago

Dewji Blog

Pop Up Bongo kufanyika Jumamosi hii Triniti Oysterbay Dar

Nuya Essence.

Founder of Branoz Collection Bahati Abraham with customers.

Secret Habits Seller servings customers.

Pediah John, Founder of PSJ Brand with customers.

Na Mwandishi Wetu

WASANII mbalimbali wa muziki na maigizo pamoja na wadau wengine wa biashara watajumuika pamoja Triniti, Oysterbay katika  tamasha la biashara za bidhaa mbalimbali, Pop Up Bongo.

Tamasha hilo linalofanyika kila baada ya miezi mitatu ni la siku moja na mwaka huu litafanyika tarehe 28 likiwa chini ya...

 

9 years ago

Bongo5

Instagram Party kufanyika Jumamosi hii, Escape One Mikocheni, Dar

Ag_upG8RHDvxtgw049D3N_4KnhUuVGyYi-ODr2rgwrDk

KAMPUNI ya Freconic Ideaz, imeandaa tamasha la burudani la ‘Instagram party’ litakalofanyika Jumamosi hii maeneo ya Escape One, Mikocheni jijini Dar es Salaam likiwa na lengo la kuwakumbusha wapenzi wa muziki, mavazi na misemo ya kizamani.

Ag_upG8RHDvxtgw049D3N_4KnhUuVGyYi-ODr2rgwrDk
Mkurugenzi Mtendaji wa Freconic ideaz, Fred Ngimba akifafanua jambo alipokuwa anaongea na waandishi wa habari Ijumaa hii katika fukwe za Escape One kuhusu kukamilika kwa maandalizi ya tamasha kubwa la burudani litakalofanyika jumamosi hii tarehe 28...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani