Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Familia kuunganishwa tena Korea

Watu wa familia zilizotenganishwa wakati wa vita vya Korea miaka 60 iliyopita kuunganishwa tena.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Jamaa za Korea kuunganishwa tena leo

Makumi ya watu wakongwe kutoka Korea Kusini wanaelekea Kaskazini kukutana tena na jamaa zao waliotenganishwa na vita vya Korea.

 

9 years ago

Bongo5

Picha: Diamond alivyoungana tena na familia yake South

11939678_1015510408471958_1941126011_n

Diamond Platnumz ameungana tena na familia yake nchini Afrika Kusini.

11939678_1015510408471958_1941126011_n

Muimbaji huyo wa Nana aliyeenda nchini humo kwaajili ya maandalizi ya show ya BET Experience Africa, ametumia fursa hiyo kuonana tena na mchumba wake Zari The Bosslady na mwanae, Tiffah.

12256718_1547605398862789_119335777_n

Kupitia Instagram, Diamond ameonesha picha akiwa na familia hiyo wakizunguka kwenye mitaa ya mji (ambao hakutaja ni upi).

12298768_790775771032380_1837771578_n

“I always wanted to be a Good Daddy & Hubby!!!… #FamilyTime katoto kanapenda picha haka eti kanachungulia,”...

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Korea Kusini yafunga shule tena baada ya maambukizi kuongezeka zaidi

Shule ambazo zilikuwa tu zimefunguliwa zimelazimika kufunga tena baada ya maambukizi kuongezeka mno

 

5 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini: Je nini kilichosababisha kulipulia kwa afisi ya mawasiliano na Korea Kusini?

Experts' views on why North Korea has chosen to provoke the South by destroying the liaison office.

 

5 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini na Korea Kusini zafyatuliana risasi baada ya Kim Jong-un kuonekana hadharani

Korea Kusini imesema risasi zimefyatuliwa kwenye mpaka wao, siku moja baada ya Kiongozi wa Korea Kaskazini kuoneakana hadharana.

 

9 years ago

BBCSwahili

Korea Kaskazini yaitishia Korea Kusini

Korea kusini inasema kuwa korea kaskazini imepeleka silaha kwenda kwa mpaka baada ya kutoa vitisho vya kuishambulia

 

10 years ago

Habarileo

Shule 250 za serikali kuunganishwa na intaneti

 Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa SERIKALI kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote imesaini mkataba na Kampuni za Mawasiliano kwa ajili ya kuziunganisha shule 250 za Serikali na intaneti pamoja na kuanzisha vituo 25 vya kuwafundishia walimu.

 

10 years ago

Habarileo

Hospitali kuunganishwa mfumo wa tiba kwa mtandao

SERIKALI ina mpango wa kuziunganisha hospitali zote katika mfumo wa matibabu kwa njia ya mtandao ili wananchi waweze kutibiwa kwa wakati na kwa gharama nafuu. Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa alisema hayo juzi mjini hapa wakati akifungua mkutano wa siku mbili uliohusisha wataalamu wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama), madaktari na wadau mbalimbali. Profesa Mbarawa alisema, mfumo huo utamwezesha mgonjwa ambaye yupo kijijini au hospitali ya mbali...

 

11 years ago

Michuzi

Kipindi cha familia kutoka Jamii Productuion...BAJETI KATIKA FAMILIA (Pt II)

Photo credits: moneymanagement.org Karibu katika kipindi cha FAMILIA kutoka Jamii Production. Katika kipindi hiki, tumeingia katika sehemu ya pili ya mjadala kuhusu BAJETI KATIKA FAMILIA ambapo mbali na historia ya bajeti, pia tumesisitizwa kuhusu umuhimu wake, namna ya kulitekeleza na mengine mengi. Wachangiaji studio walikuwa ni Amos Cherehani ambaye ni mtaalamu wa masuala ya fedha, Denzel Musumba na Mubelwa Bandio KARIBU UUNGANE NASI

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani