Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Shule 250 za serikali kuunganishwa na intaneti

 Waziri wa Mawasiliano, Sayansi na Teknolojia, Profesa Makame Mbarawa SERIKALI kupitia Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote imesaini mkataba na Kampuni za Mawasiliano kwa ajili ya kuziunganisha shule 250 za Serikali na intaneti pamoja na kuanzisha vituo 25 vya kuwafundishia walimu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

SHULE YA MSINGI MLIMANI YAUNGANISHWA NA MTANDAO WA INTANETI


Baadhi ya wanafunzi wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Mlimani iliyopo Wilayani jijini Dar es Salaam wakijifunza somo la kompyuta baada ya kuunganishwa na mtandano wa Intaneti bure kwa msaada wa Vodacom Foundation wakati wa uzinduzi wa huduma hiyo uliofanyika shuleni hapo leo na kuzinduliwa na Ofisa Mkuu wa Mtandao wa kampuni hiyo,Alec Mulonga(hayupo pichani).Vodacom imeanzisha mkakati wa kuleta mabadiliko kwa jamii ya Tanzania katika kupitia Teknolojia.
Ofisa Mkuu wa Mtandao wa Vodacom...

 

9 years ago

Vijimambo

TICS YAPANDA MITI 250 SHULE YA SEKONDARI KURASINI

Kutoka kushoto kwenda kulia – Mkurugenzi wa kitengo cha Uhandisi wa Tanzania International Container Terminal Services Ltd (TICS) Cornelius Kwadijk, Mkurugenzi wa Maendeleo, Donald Talawa, Meneja rasilimali watu, Sadick Abdalla na Mwalimu mkuu wa shule ya sekondari ya Kurasini Florentine Assenga wakipanda miti katika shule hiyo jijini Dar es Salaam jana. Miche hiyo 250, mbolea na udongo wa kuistawisha imetolewa na TICS katika kampeni yake yenye kauli mbiu ya GO Green.Waalimu wa shule ya...

 

10 years ago

Dewji Blog

Tigo na Huawei zatoa msaada wa Kompyuta 10 na huduma ya Intaneti kwa Shule ya msingi Chuda Mkoani Tanga

8

Mkurugenzi wa Tigo kanda ya Pwani, Goodluck Charles akikabidhi msaada wa Kompyuta zenye intaneti ya bure ya Tigo kwa  Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Chuda Mkoani Tanga Bw. Omari Masukuzi hiyo ni moja kati ya kompyuta 10 zilitolewa na kampuni ya Tigo pamoja na Huawei kwa shule hiyo. Wanaoshuhudia wa pili toka kulia ni Mkuu wa Mkoa wa Tanga Mhe.Magalula Said Magalula, Meneja wa Mawasiliano kwa Umma wa Huawei  Jin Liguo na kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Tanga Mhe.Abdallah Suleiman.

7

Wanafunzi...

 

10 years ago

Vijimambo

Royal Women Group wakabidhi msaada wa madawati 50 na vitabu 250 kwa Shule ya Msingi Bombambili

- Waliguswa na wanafunzi kusoma wakiwa wamekaa chini- Meya Silaa apokea vifaa hivyo na kutaka wengine kuiga mfano wa RWG- Shule bado ina upungufu wa madawati 100, - Vyumba 7 zaidi vya madarasa vyahitajika na matundu 24 ya vyoo- Shule pia haina nyumba hata moja ya mwalimuMeya wa Manispaa ya Kinondoni, Jerry Silaa, amewataka Watanzania kwa ujumla kuacha mambo ya siasa katika masuala ya maendeleo, ikiwa ni pamoja na kulalamika bila kushiriki kuisaidia serikali yao.Ameyasema hayo wakati...

 

9 years ago

Dewji Blog

TICS wapanda miti 250 katika shule ya Sekondari Kurasini katika kampeni ya GO Green!

2Waalimu wa shule ya sekondari ya Kurasini wakiwa na viongozi wa TICS kabla ya kuanza zoezi la kupanda miche 250 kwenye eneo la shule hiyo jijini Dar es Salaam jana. Miche hiyo, mbolea na udongo wa kuistawisha imetolewa na TICS katika kampeni yake yenye kauli mbiu ya GO Green.

1Kutoka kushoto ni  Mkurugenzi  wa kitengo cha Uhandisi wa Tanzania International Container Terminal Services Ltd (TICS) Cornelius Kwadijk, Mkurugenzi wa Maendeleo, Donald Talawa, Meneja rasilimali  watu, Sadick Abdalla...

 

10 years ago

Dewji Blog

Matumizi mabaya ya fedha za umma, serikali yapoteza bilioni 250/-

Mkurugenzi wa Utetezi na Maboresho wa Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC), Harold Sungusia (kushoto), akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari Dar es Salaam leo asubuhi kwa niaba ya Mkurugenzi Mtendaji wa kituo hicho, Dk. Helen Kijo-Bisimba, wakati akitoa taarifa juu ya mwenendo na hatua za kisheria kwa viongozi wa umma wanaokiuka maadili.Katikati ni Mkurugenzi wa Ujengaji Uwezo na Uwajibikaji wa LHRC, Imelda Urrio na kulia ni Ofisa Programu Dawati la Waangalizi Watendaji...

 

5 years ago

CCM Blog

KAMPUNI YA BARRICK YAILIPA SERIKALI BILIONI 250, WAZIRI WA FEDHA AHUTUBIA HAFLA HIYO


Na Farida Ramadhani na Josephine Majura
KAMPUNI ya Barrick imeilipa Tanzania dola milioni 100, sawa na takriban sh. bilioni 250, ikiwa ni sehemu ya malipo ya dola milioni 300 ambazo Kampuni hiyo ya Madini ilikubali kulipa kama fidia ya kodi.
Mfano wa Hundi ya kiasi hicho cha fedha imekabidhiwa na Meneja Mkazi wa Kampuni ya Barrick, Bw. Hilaire Diarra kwa Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Isdor Mpango, kwa niaba ya Serikali, Jijini Dodoma leo Mei 26, 2020.
Akizungumza baada ya kupokea...

 

11 years ago

BBCSwahili

Familia kuunganishwa tena Korea

Watu wa familia zilizotenganishwa wakati wa vita vya Korea miaka 60 iliyopita kuunganishwa tena.

 

11 years ago

BBCSwahili

Jamaa za Korea kuunganishwa tena leo

Makumi ya watu wakongwe kutoka Korea Kusini wanaelekea Kaskazini kukutana tena na jamaa zao waliotenganishwa na vita vya Korea.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani