Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Familia ya mateka yasihi Al Qaeda kumwachilia.

Marekani imeeleza kuwa ilijaribu kumwokoa raia wake mzaliwa wa Uingereza Luke Somers, anayeshikiliwa mateka na al-Qaeda nchini Yemen.

Rais Barack Obama aliidhinisha kikosi cha kumwokoa Luke, mwezi uliopita.

“Kwa masikito, Luke hakuwepo, japokuwa mateka kutoka mataifa mengine walikuwepo na waliokolewa,” Baraza la Usalama la Taifa, limesema.

Mtu anayejitambulisha kama Luke Somers, ambaye alitekwa mwaka 2013, ameonekana katika video, akisema maisha yake yako hatarini na anaomba msaada.

Video...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

UN yasihi Sudan Kusini kuacha vita

Ban Ki-moon awaomba viongozi wa Sudan Kusini kuacha kupigana

 

9 years ago

BBCSwahili

Iran yaitaka Nigeria kumwachilia kiongozi wa Kishia

Iran imeitaka Nigeria kumwachilia huru kiongozi wa Kishia Sheikh Ibrahim al Zakzaky aliyekamatwa baada ya vurugu kutokea kati ya wafuasi wa kundi lake na wanajeshi mwezi uliopita.

 

11 years ago

Michuzi

Kipindi cha familia kutoka Jamii Productuion...BAJETI KATIKA FAMILIA (Pt II)

Photo credits: moneymanagement.org Karibu katika kipindi cha FAMILIA kutoka Jamii Production. Katika kipindi hiki, tumeingia katika sehemu ya pili ya mjadala kuhusu BAJETI KATIKA FAMILIA ambapo mbali na historia ya bajeti, pia tumesisitizwa kuhusu umuhimu wake, namna ya kulitekeleza na mengine mengi. Wachangiaji studio walikuwa ni Amos Cherehani ambaye ni mtaalamu wa masuala ya fedha, Denzel Musumba na Mubelwa Bandio KARIBU UUNGANE NASI

 

9 years ago

Michuzi

WAFANYAKAZI WA MGODI WA BUZWAGI WASHEREKEA SIKU YA FAMILIA NA FAMILIA ZAO.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii aliyekuwa Kahama.BUZWAGI imeanzisha mkakati wa kukuza na kuboresha hali ya utendaji kazi kwa wafanyakazi wake kwa kuanzisha utaratibu wa kuwakutanisha wafanyakazi wa mgodi huo na familia zao mara moja kwa mwaka katika siku maalumu ya familia ambayo hutoa fursa kwa familia za wafanyakazi wa mgodi huo kuweza kujionea namna ambavyo shughuli za uchimbaji wa madini hufanyika na hivyo kuwa mabalozi wazuri wa kampuni kwa ujumla.
Mwaka huu wafanyakazi wa kampuni...

 

10 years ago

Fawwaz Gets Life For '98 Embassy Bombings

Al Qaeda operative al


New York Daily News
Al Qaeda operative al-Fawwaz gets life for '98 embassy bombings
CNN
New York (CNN) A former al Qaeda operative was sentenced Friday to life in prison for his involvement in the 1998 U.S. embassy bombings in Kenya and Tanzania -- closing the last pending U.S. trial in the attacks that killed 224 people. The sentencing of ...
Al Qaeda terrorist Khaled al-Fawwaz sentenced to life in prison for embassy ...New York Daily News

all 4

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa Al Qaeda ameuawa

Jeshi la Marekani linasema kuwa kiongozi mmoja wa kundi la kigaidi la al-Qaeda, ameuwaua katika shambulio la angani lililotekelezwa na ndege za kijeshi za Marekani nchini Syria.

 

11 years ago

BBC

Al-Qaeda in 2014: Where does it stand in the world?

How Bin Laden's organisation has dispersed around the world

 

11 years ago

BBCSwahili

Al qaeda na jeshi la Yemen, wapambana

wapiganaji wa kundi la al-Qaeda wamewaua watu sita katika mapigano na vikosi vya serikali kaskazini mwa jimbo la Abyan.

 

10 years ago

BBCSwahili

Kiongozi wa Al-Qaeda auawa Pakistan

Kiongozi mwandamizi wa kundi la Al Qaeda anayeshukiwa kupanga kulipuwa treni mijini New York na London ameuawa nchini Pakistan

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani