Familia ya mateka yasihi Al Qaeda kumwachilia.
Marekani imeeleza kuwa ilijaribu kumwokoa raia wake mzaliwa wa Uingereza Luke Somers, anayeshikiliwa mateka na al-Qaeda nchini Yemen.
Rais Barack Obama aliidhinisha kikosi cha kumwokoa Luke, mwezi uliopita.
“Kwa masikito, Luke hakuwepo, japokuwa mateka kutoka mataifa mengine walikuwepo na waliokolewa,” Baraza la Usalama la Taifa, limesema.
Mtu anayejitambulisha kama Luke Somers, ambaye alitekwa mwaka 2013, ameonekana katika video, akisema maisha yake yako hatarini na anaomba msaada.
Video...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili22 Dec
9 years ago
BBCSwahili04 Jan
Iran yaitaka Nigeria kumwachilia kiongozi wa Kishia
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-2xjDsWd1Ulk/Uw3nACVvonI/AAAAAAAAGxE/JrWbDTdRPnM/s72-c/written-budget.jpg)
Kipindi cha familia kutoka Jamii Productuion...BAJETI KATIKA FAMILIA (Pt II)
![](http://4.bp.blogspot.com/-2xjDsWd1Ulk/Uw3nACVvonI/AAAAAAAAGxE/JrWbDTdRPnM/s1600/written-budget.jpg)
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-oXuSRhFkZKg/VgYmTxTna4I/AAAAAAAAU_8/bg4zJrFA94w/s72-c/1.jpg)
WAFANYAKAZI WA MGODI WA BUZWAGI WASHEREKEA SIKU YA FAMILIA NA FAMILIA ZAO.
Mwaka huu wafanyakazi wa kampuni...
10 years ago
Fawwaz Gets Life For '98 Embassy Bombings15 May
Al Qaeda operative al
New York Daily News
CNN
New York (CNN) A former al Qaeda operative was sentenced Friday to life in prison for his involvement in the 1998 U.S. embassy bombings in Kenya and Tanzania -- closing the last pending U.S. trial in the attacks that killed 224 people. The sentencing of ...
Al Qaeda terrorist Khaled al-Fawwaz sentenced to life in prison for embassy ...New York Daily News
all 4
10 years ago
BBCSwahili22 Jul
Kiongozi wa Al Qaeda ameuawa
11 years ago
BBC![](http://news.bbcimg.co.uk/media/images/75657000/jpg/_75657589_75653604.jpg)
Al-Qaeda in 2014: Where does it stand in the world?
11 years ago
BBCSwahili06 Jul
Al qaeda na jeshi la Yemen, wapambana
10 years ago
BBCSwahili06 Dec
Kiongozi wa Al-Qaeda auawa Pakistan