Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Familia ya Mawazo yaishi mafichoni

Zikiwa zimepita siku nne tangu aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha  Demokrasia na Maendeleo  (Chadema) Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo kuzikwa kijijini kwake Chikobe, Kaimu Katibu Mkuu wa chama hicho, Salum Mwalimu amesema  wamelazimika kuitorosha familia yake ili kunusuru maisha yao baada ya watu wasiojulikana kuvamia  nyumbani kwake,  kufanya fujo na kujaribu kuvuruga kaburi lake kwa kutawanya udongo.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Familia yaishi chooni ni baada ya nyumba yao kuezuliwa na upepo wilayani Hai, Kilimanjaro

 Aziza Mohamed(55)akiwa na mjukuu wake katika choo ambacho hivi sasa wamekigeuza kuwa makazi baada ya mvua iliyoambatana na upepo mkali kuezua nyumba yake wilayani Hai.  Aziza Mohamed(55)akiwa na mjukuu wake katika choo ambacho hivi sasa wamekigeuza kuwa makazi baada ya mvua iliyoambatana na upepo mkali kuezua nyumba yake wilayani Hai.
 Nyumba ambayo familia ya Aziza Maohamed ilikuwa ikiishi awali kabla ya kuezuliwa na upepo mkali ulioambatana na mvua katika kitongoji cha Kijweni...

 

9 years ago

CHADEMA Blog

Ukawa kuchanga Mil 33.9 kusaidia familia ya Mawazo

WABUNGE wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wamepanga kuchanga Sh. 33.9 milioni kwa ajili ya kusaidia familia ya aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Mkoani wa Geita, Alfonce Mawazo. Anaandika Dany Tibason … (endelea).Fedha, hizo zimepatika baada ya wabunge 113 wa Ukawa kuchangishana kiasi Sh. 300,000 kila mmoja ambazo zitakabidhiwa familia

 

10 years ago

Mtanzania

Rais wa Burundi mafichoni

rais nkurunzinzaWaaandishi Wetu, Bujumbura na Dar

WAKATI makundi hasimu ya askari nchini Burundi yakipambana vikali kugombea kuudhibiti mji mkuu wa nchi hiyo, Bunjumbura, Rais Pierre Nkurunzinza yuko mafichoni kusikojulikana.

Hayo yamefahamika huku kukiwa na utata na mkanganyiko mkubwa kuhusu mafanikio ya jaribio la mapinduzi lililoongozwa na Meja Jenerali Godefroid Niyombare.
Jenerali Niyombare ambaye pia ni balozi wa zamani wa Burundi nchini Kenya alitimuliwa ukuu wa usalama na Nkrunzinza Februari mwaka...

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga, Azam zaenda mafichoni

Wiki mbili kabla ya Yanga na Azam kukutana kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii, Agosti 22, timu hizo zimelikimbia jiji na kwenda mafichoni ili kunoa makucha yao.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Aden Rage aibuka ‘mafichoni’

WAKATI ikiwa si shwari ndani ya klabu ya Simba, hatimaye Mwenyekiti wake, Ismail Aden Rage ‘Tutu Vengere’ jana aliibuka jijini Dar es Salaam na kujinasibu kuwa yeye ni ‘mwanaume wa...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Hofu ya Kagame; Yanga yaingia mafichoni

CLARA ALPHONCE Dar

MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga leo wanatarajia kuingia kambi ya maficho kujiandaa na mechi ya ufunguzi ya Michuano ya Kagame inayotarajia kuanza rasmi Jumamosi hii katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam dhidi ya Gor Mahia ya Kenya.

Yanga ambao walianza mazoezi yake rasmi mwezi uliopita nane kujiandaa na michuano hiyo, ilikuwa inafanya mazoezi huku wachezaji wakitokea nyumbani.

Mpaka sasa Yanga imecheza michezo minne ya kirafiki kujiandaa na...

 

10 years ago

BBCSwahili

Meneja redio Shabelle yuko mafichoni’

Uhuru wa vyombo vya habari bado ni mtihani ulimwenguni,kiasi cha meneja kujificha kama digidigi.

 

10 years ago

GPL

GAIDI JIHADI JOHN ASEMEKANA KUKIMBILIA MAFICHONI LIBYA

Jihad John (kulia) akionekana kwenye video ya ISIS akiwa na mfanyakazi wa utoaji misaada wa Uingereza, David Haines, kabla hajamuua. Picha za Jihadi John ambaye anasemekana kukimbilia Libya baada ya ISIS kubaini kwamba ametambulika kwa maadui zake. GAIDI Mohamed Emwazi maarufu kama Jihadi John ambaye ni mpiganaji wa kundi la Kiislam la ISIS anasemekana amekimbilia mafichoni Libya baada ya kufahamika utambulisho wake na kufuatia...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani