Yanga, Azam zaenda mafichoni
Wiki mbili kabla ya Yanga na Azam kukutana kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii, Agosti 22, timu hizo zimelikimbia jiji na kwenda mafichoni ili kunoa makucha yao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Raia Tanzania13 Jul
Hofu ya Kagame; Yanga yaingia mafichoni
CLARA ALPHONCE Dar
MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga leo wanatarajia kuingia kambi ya maficho kujiandaa na mechi ya ufunguzi ya Michuano ya Kagame inayotarajia kuanza rasmi Jumamosi hii katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam dhidi ya Gor Mahia ya Kenya.
Yanga ambao walianza mazoezi yake rasmi mwezi uliopita nane kujiandaa na michuano hiyo, ilikuwa inafanya mazoezi huku wachezaji wakitokea nyumbani.
Mpaka sasa Yanga imecheza michezo minne ya kirafiki kujiandaa na...
10 years ago
Mtanzania15 May
Rais wa Burundi mafichoni
Waaandishi Wetu, Bujumbura na Dar
WAKATI makundi hasimu ya askari nchini Burundi yakipambana vikali kugombea kuudhibiti mji mkuu wa nchi hiyo, Bunjumbura, Rais Pierre Nkurunzinza yuko mafichoni kusikojulikana.
Hayo yamefahamika huku kukiwa na utata na mkanganyiko mkubwa kuhusu mafanikio ya jaribio la mapinduzi lililoongozwa na Meja Jenerali Godefroid Niyombare.
Jenerali Niyombare ambaye pia ni balozi wa zamani wa Burundi nchini Kenya alitimuliwa ukuu wa usalama na Nkrunzinza Februari mwaka...
9 years ago
Habarileo03 Nov
Ni Yanga na Azam
MBIO za kukalia kiti cha uongozi wa Ligi Kuu Tanzania Bara, sasa zimebaki kuwa za timu mbili za Yanga na Azam FC, ambao wamekuwa wakibadilishana katika nafasi ya kwanza na pili.
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
Aden Rage aibuka ‘mafichoni’
WAKATI ikiwa si shwari ndani ya klabu ya Simba, hatimaye Mwenyekiti wake, Ismail Aden Rage ‘Tutu Vengere’ jana aliibuka jijini Dar es Salaam na kujinasibu kuwa yeye ni ‘mwanaume wa...
9 years ago
Mwananchi04 Dec
Familia ya Mawazo yaishi mafichoni
9 years ago
TheCitizen23 Aug
Yanga down Azam on penalties
10 years ago
Tanzania Daima09 Nov
Yanga, Azam moto
TIMU za Yanga na Azam, jana zilizinduka katika mbio za Ligi Kuu Tanzania bara, baada ya kuibuka na ushindi zikitoka kufungwa mechi zilizopita katika viwanja vya ugenini. Wakati Yanga wakilimwa...
11 years ago
Tanzania Daima09 Apr
Ni vita Yanga, Azam
KIVUMBI cha Ligi Kuu Tanzania Bara, kinatarajiwa kuendelea tena leo katika viwanja viwili kwa timu ya Yanga kuwakaribisha Kagera Sugar katika Uwanja wa Taifa, jijini Dar es Salaam. Wakati Yanga...