Meneja redio Shabelle yuko mafichoni’
Uhuru wa vyombo vya habari bado ni mtihani ulimwenguni,kiasi cha meneja kujificha kama digidigi.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog29 Apr
Fanyeni redio zenu zitamanike, wamiliki redio jamii waambiwa
Mwezeshaji wa warsha ya Viongozi wa vituo vya redio jamii ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Asasi ya kuwawezesha wajasiriamali wadogo na wakati (ASMET), Bw. Ramadhan Ahungu akiendesha mafunzo ya masoko na mpango biashara kwa viongozi wa redio jamii nchini wakati kuhitimisho la warsha ya awamu ya kwanza ya mradi wa Shirika la Maendeleo la Sweden (SIDA) wa kuzipa uwezo Redio hizo katika matumizi ya Tehama na Mawasiliano iliyoratibiwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu Sayansi na...
10 years ago
Mtanzania15 May
Rais wa Burundi mafichoni
Waaandishi Wetu, Bujumbura na Dar
WAKATI makundi hasimu ya askari nchini Burundi yakipambana vikali kugombea kuudhibiti mji mkuu wa nchi hiyo, Bunjumbura, Rais Pierre Nkurunzinza yuko mafichoni kusikojulikana.
Hayo yamefahamika huku kukiwa na utata na mkanganyiko mkubwa kuhusu mafanikio ya jaribio la mapinduzi lililoongozwa na Meja Jenerali Godefroid Niyombare.
Jenerali Niyombare ambaye pia ni balozi wa zamani wa Burundi nchini Kenya alitimuliwa ukuu wa usalama na Nkrunzinza Februari mwaka...
11 years ago
Tanzania Daima18 Dec
Aden Rage aibuka ‘mafichoni’
WAKATI ikiwa si shwari ndani ya klabu ya Simba, hatimaye Mwenyekiti wake, Ismail Aden Rage ‘Tutu Vengere’ jana aliibuka jijini Dar es Salaam na kujinasibu kuwa yeye ni ‘mwanaume wa...
10 years ago
Mwananchi08 Aug
Yanga, Azam zaenda mafichoni
9 years ago
Mwananchi04 Dec
Familia ya Mawazo yaishi mafichoni
10 years ago
Raia Tanzania13 Jul
Hofu ya Kagame; Yanga yaingia mafichoni
CLARA ALPHONCE Dar
MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga leo wanatarajia kuingia kambi ya maficho kujiandaa na mechi ya ufunguzi ya Michuano ya Kagame inayotarajia kuanza rasmi Jumamosi hii katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam dhidi ya Gor Mahia ya Kenya.
Yanga ambao walianza mazoezi yake rasmi mwezi uliopita nane kujiandaa na michuano hiyo, ilikuwa inafanya mazoezi huku wachezaji wakitokea nyumbani.
Mpaka sasa Yanga imecheza michezo minne ya kirafiki kujiandaa na...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/lihD20i2jrzMttmixaVPrvmSEYetsgJHH7NQwTs7UK3WfB-CzokPPt8nfTRNNpfk47tSlEqih*h0N3NbKvCQRCT6*aHqN042/1.jpg)
GAIDI JIHADI JOHN ASEMEKANA KUKIMBILIA MAFICHONI LIBYA
10 years ago
Mwananchi25 Jun
Mungu yuko kanisani
10 years ago
Mwananchi12 Aug
Daktari: Mbowe yuko salama