Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Meneja redio Shabelle yuko mafichoni’

Uhuru wa vyombo vya habari bado ni mtihani ulimwenguni,kiasi cha meneja kujificha kama digidigi.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Fanyeni redio zenu zitamanike, wamiliki redio jamii waambiwa

DSC_0088

Mwezeshaji wa warsha ya Viongozi wa vituo vya redio jamii ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Asasi ya kuwawezesha wajasiriamali wadogo na wakati (ASMET), Bw. Ramadhan Ahungu akiendesha mafunzo ya masoko na mpango biashara kwa viongozi wa redio jamii nchini wakati kuhitimisho la warsha ya awamu ya kwanza ya mradi wa Shirika la Maendeleo la Sweden (SIDA) wa kuzipa uwezo Redio hizo katika matumizi ya Tehama na Mawasiliano iliyoratibiwa na Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu Sayansi na...

 

10 years ago

Mtanzania

Rais wa Burundi mafichoni

rais nkurunzinzaWaaandishi Wetu, Bujumbura na Dar

WAKATI makundi hasimu ya askari nchini Burundi yakipambana vikali kugombea kuudhibiti mji mkuu wa nchi hiyo, Bunjumbura, Rais Pierre Nkurunzinza yuko mafichoni kusikojulikana.

Hayo yamefahamika huku kukiwa na utata na mkanganyiko mkubwa kuhusu mafanikio ya jaribio la mapinduzi lililoongozwa na Meja Jenerali Godefroid Niyombare.
Jenerali Niyombare ambaye pia ni balozi wa zamani wa Burundi nchini Kenya alitimuliwa ukuu wa usalama na Nkrunzinza Februari mwaka...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Aden Rage aibuka ‘mafichoni’

WAKATI ikiwa si shwari ndani ya klabu ya Simba, hatimaye Mwenyekiti wake, Ismail Aden Rage ‘Tutu Vengere’ jana aliibuka jijini Dar es Salaam na kujinasibu kuwa yeye ni ‘mwanaume wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Yanga, Azam zaenda mafichoni

Wiki mbili kabla ya Yanga na Azam kukutana kwenye mchezo wa Ngao ya Jamii, Agosti 22, timu hizo zimelikimbia jiji na kwenda mafichoni ili kunoa makucha yao.

 

9 years ago

Mwananchi

Familia ya Mawazo yaishi mafichoni

Zikiwa zimepita siku nne tangu aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha  Demokrasia na Maendeleo  (Chadema) Mkoa wa Geita, Alphonce Mawazo kuzikwa kijijini kwake Chikobe, Kaimu Katibu Mkuu wa chama hicho, Salum Mwalimu amesema  wamelazimika kuitorosha familia yake ili kunusuru maisha yao baada ya watu wasiojulikana kuvamia  nyumbani kwake,  kufanya fujo na kujaribu kuvuruga kaburi lake kwa kutawanya udongo.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Hofu ya Kagame; Yanga yaingia mafichoni

CLARA ALPHONCE Dar

MABINGWA wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Yanga leo wanatarajia kuingia kambi ya maficho kujiandaa na mechi ya ufunguzi ya Michuano ya Kagame inayotarajia kuanza rasmi Jumamosi hii katika Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam dhidi ya Gor Mahia ya Kenya.

Yanga ambao walianza mazoezi yake rasmi mwezi uliopita nane kujiandaa na michuano hiyo, ilikuwa inafanya mazoezi huku wachezaji wakitokea nyumbani.

Mpaka sasa Yanga imecheza michezo minne ya kirafiki kujiandaa na...

 

10 years ago

GPL

GAIDI JIHADI JOHN ASEMEKANA KUKIMBILIA MAFICHONI LIBYA

Jihad John (kulia) akionekana kwenye video ya ISIS akiwa na mfanyakazi wa utoaji misaada wa Uingereza, David Haines, kabla hajamuua. Picha za Jihadi John ambaye anasemekana kukimbilia Libya baada ya ISIS kubaini kwamba ametambulika kwa maadui zake. GAIDI Mohamed Emwazi maarufu kama Jihadi John ambaye ni mpiganaji wa kundi la Kiislam la ISIS anasemekana amekimbilia mafichoni Libya baada ya kufahamika utambulisho wake na kufuatia...

 

10 years ago

Mwananchi

Mungu yuko kanisani

Uendapo kanisani, la kwanza magoti chini, Chini weka kwa imani, akurehemu Manani, Manani ya kanisani, kusamehe waumini, Waumini muamini,  Mungu yuko kanisani.  

 

10 years ago

Mwananchi

Daktari: Mbowe yuko salama

Siku moja baada ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Freeman Mbowe kuugua ghafla akiwa kwenye maandaamano na kuwahishwa hospitali ya Taifa Muhimbili, imebainika kuwa hali hiyo imesababishwa na kufanya kazi kwa muda mrefu bila kupumzika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani