Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ferdinand azungumza kuhusu marehemu mkewe

Aliyekuwa Nahodha wa timu ya soka ya Uingereza Rio Ferdinand amezungumza kwa mara ya kwanza tangu kifo cha mkewe kilichosababishwa na saratani

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

BBCSwahili

Mume achomwa kwa kumkumbuka marehemu mkewe

Mwanamume aliyechomwa kwa kumkumbuka marehemu mke wake amesema haoni haya tena kuwa alichomwa na maji moto

 

10 years ago

BBCSwahili

Nkurunziza azungumza kuhusu uchaguzi

Marekani na jumuiya ya Ulaya wote wameitisha kuahirishwa kw a uchaguzi wa Burundi kufuatia wiki kadhaa za ghasia zinazopinga ugombeaji wa Pierre Nkurunziza

 

11 years ago

Mwananchi

Putin azungumza na Rouhani kuhusu Syria

Rais Vladmir Putin wa Urusi amefanya mazungumzo na Rais wa Iran, Hassan Rouhani kuhusu mpango wa nyuklia wa Iran na mkutano wa kimataifa wa amani wa Geneva 2.

 

10 years ago

Africanjam.Com

WEMA SEPETU AZUNGUMZA KUHUSU KUGOMBEA UBUNGE SINGIDA

Miss Tanzania 2006 na muigizaji wa filamu, Wema Abraham Sepetu leo June 16 kupitia kipindi cha Ala za Roho ya Clouds FM amefunguka kuhusiana na kuchukua fomu ya ubunge wa viti maalumu mkoani Singida pamoja na ishu ya kutoka na boyfriend wa msanii Linah.
Akizungumza na Diva Loveness wa Ala za Roho alisema..
”Sasa hivi niko singida kwenye maandalizi ya kuchukua fomu kwasababu nagombea ubunge wa viti maalumu mkoa wa singida, kwa hiyo nimekuja huku kuja katika kuamasisha vijana wajitokeze...

 

9 years ago

Michuzi

JAJI MTAAFU LUBUVA AZUNGUMZA KUHUSU UCHAGUZI MKUU 25/10/2015

Baadhi ya waandishi wa habari  wakimsikiliza   Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) Jaji Mstaafu Damian  Lubuva kuhusu  alipokuwa akizungumzia masuala mbalimbali ya Uchaguzi Mkuu, ikiwemo kusisitiza mwisho wa kampeni za uchaguzi huo kuwa ni leo saa 12: 00 jioni.  Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi(NEC) Jaji Mstaafu Damian  Lubuva  akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dares Salaam kuhusu masuala mbalimbali  ya Uchaguzi Mkuu, ikiwemo kusisitiza mwisho wa kampeni  za...

 

10 years ago

Mwananchi

Lowassa azungumza kwa ufupi na waandishi wa habari kuhusu jina lake kukatwa

Lowassa azungumza kwa ufupi na waandishi wa habari kuhusu jina lake kukatwa

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani