FIFA yakatalia mbali rufaa ya Suarez
Shirikisho la soka Duniani FIFA limekatalia mbali rufaa ya mshambulizi wa Uruguay Luiz Suarez
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili25 Jun
Suarez kuchunguzwa na FIFA
9 years ago
BBCSwahili06 Nov
Rufaa ya Mourinho yatupiliwa mbali
11 years ago
BBCSwahili25 Jun
FIFA:Suarez akabiliwa na marufuku
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/d*xx8iAX09WVcLliQZnruMPIMbElWs1-AmnNklDhYVhgyX32nv5IyMNL6BX0a931w3PP1zyMNdRbgrzOjOGanl73dGvuZhsf/PISTORIUS.jpg?width=650)
RUFAA YA OSCAR PISTORIUS YATUPILIWA MBALI
10 years ago
GPLRUFAA YA PONDA YATUPILIWA MBALI, KESI YAKE YAAHIRISHWA
9 years ago
BBCSwahili02 Dec
Bility akata rufaa uamuzi wa kumzuia kuwania Fifa
9 years ago
Mtanzania04 Dec
Bility akata rufaa ya kumzuia kuwania urais FIFA
ZURICH, USWIS
RAIS wa Shirikisho la Soka la Liberia, Musa Bility, amekata rufaa kwenye mahakama ya kutatua mizozo ya michezo (Cas), kwa kumzuia kugombea urais wa Shirikisho la Soka Duniani, Fifa.
Rais huyo alizuiwa kuwania kugombea nafasi hiyo na kamati ya uchaguzi ya Fifa kwa madai kwamba hakupita vigezo vya maadili.
Hata hivyo, Bility ameishangaa kamati hiyo kwa maelezo yake ambapo amedai kuwa haijatenda haki, ila kutakuwa na mipango ambayo imepangwa ili kutaka kumharibia.
“Uamuzi wa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8YwVf5QdBWU/VA4VlweaehI/AAAAAAAGiJc/tSQgL92LDkA/s72-c/download.jpg)
sakata la emmanuel Okwi kusajiliwa na simba: Yanga kukata rufaa fifa kupinga maamuzi ya tff
![](http://2.bp.blogspot.com/-8YwVf5QdBWU/VA4VlweaehI/AAAAAAAGiJc/tSQgL92LDkA/s1600/download.jpg)
Uongozi wa klabu ya Yanga umesema utapinga maamuzi ya kamati ya Sheria na Hadhi ya Wachezaji kuhusiana na maamuzi yake ya kumtangaza mchezaji wake, Emmanuel Okwi kuwa huru.Sam Mapande amesema kuwa hawajaridhishwa na maamuzi hayo ambayo yanakinzana na shitaka zima la mchezaji huyo. Mapande amesema kuwa kamati ya TFF imeamua sakata la Okwi kinyume na malalamiko yao kwani hakukuwa na lalamiko la...
5 years ago
CHADEMA Blog13 Feb
Mahakama ya Rufaa kutoa uamuzi rufaa ya Jamhuri dhidi ya Mbowe na Matiko