Filamu ya ‘Homecoming’ kutinga sokoni mwezi ujao
NA MWANDISHI WETU
FILAMU inayozungumzia masuala ya rushwa ya ‘Homecoming’, baada ya kukamilika itaanza kuonyeshwa katika kumbi mbalimbali za sinema kuanzia mwezi ujao.
Muongozaji na mwandishi wa filamu hiyo, Seko Shamte, alisema filamu hiyo iliyoandaliwa na kampuni ya Alkemist Media inaonyesha namna vijana walivyo katika hatari kubwa ya kushiriki rushwa kutokana na ushawishi wa mazingira yanayowazunguka na namna wanavyoshindwa kukwepa vishawishi hivyo.
“Wazo la filamu hiyo lilianzia mwaka...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-lnN28vSSBQk/Vl7kurTIPZI/AAAAAAAAMBs/BGjut54I3NU/s72-c/download.jpg)
MASTAA KIBAO NDANI YA FILAMU YA HOMECOMING, KUTINGA SOKONI MWEZI HUU
![](http://2.bp.blogspot.com/-lnN28vSSBQk/Vl7kurTIPZI/AAAAAAAAMBs/BGjut54I3NU/s640/download.jpg)
Mwongozaji mahiri wa filamu ya Homecoming inayotarajiwa kuingia sokoni hivi karibuni, Seko Shamte. Filamu hiyo iliyotengenezwa na kampuni ya Alkemist Media ina ujumbe wa kuhusiana na vishawishi vya rushwa pamoja na athari zake kwa wafanyakazi na jamii kwa ujumla.
9 years ago
Dewji Blog03 Dec
Mastaa kibao ndani ya filamu ya Homecoming, kutinga Cinema kisha sokoni mwezi huu
![](http://2.bp.blogspot.com/-lnN28vSSBQk/Vl7kurTIPZI/AAAAAAAAMBs/BGjut54I3NU/s640/download.jpg)
Mwongozaji mahiri wa filamu ya Homecoming inayotarajiwa kuingia sokoni hivi karibuni, Seko Shamte. Filamu hiyo iliyotengenezwa na kampuni ya Alkemist Media ina ujumbe wa kuhusiana na vishawishi vya rushwa pamoja na athari zake kwa wafanyakazi na jamii kwa ujumla.
Crew nzima pamoja na baadhi ya waigizaji
Moja kati ya kamera kali zilizotumika
Kazi ikiendelea location.
Na Mwandishi Wetu
WASANII mahiri wameshiriki kwenye filamu ya Homecoming inayotarajiwa kuingia sokoni hivi...
9 years ago
Bongo530 Dec
Picha: Uzinduzi wa filamu ya ‘Homecoming’ waitikisa Dar
![_K0A2157](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/K0A2157-300x194.jpg)
Mastaa na viongozi mbalimbali wa serikali akiwemo, Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Moses Nnauye Jumanne hii walipamba uzinduzi wa filamu ya ‘Homecoming’ uliofanyika katika ukumbi wa Century Cinema jijini Dar es Salaam.
Waziri Nape akihojiwa
Akizungumza na Bongo5 jana baada ya kuwasili katika ukumbi wa Mlimani City, Nape aliwapongeza waandaji wa filamu hiyo huku akiwataka kuendelea na utaratibu huo ili kukuza sanaa pamoja na kukuza vipato vya wasanii.
“Hii ni hatua nzuri...
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4i1w6W-bFmE/U7MBkgH5VuI/AAAAAAAFt_4/haAWClKy-xo/s72-c/images.jpg)
WAZIRI MKUU: OMBEENI TAIFA NA UCHAGUZI MKUU UJAO - Askofu Niwemugizi ataka UKAWA warudi bungeni mwezi ujao, asema siyo ombi
![](http://2.bp.blogspot.com/-4i1w6W-bFmE/U7MBkgH5VuI/AAAAAAAFt_4/haAWClKy-xo/s1600/images.jpg)
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amewaomba viongozi wa dini kote nchini na wananchi waungane pamoja ili kuombea uchaguzi mkuu wa viongozi wakuu wa Rais, wabunge na madiwani unaotarajiwa kufanyika mwakani.
Ametoa wito huo leo mchana (Jumanne, Julai mosi, 2014) wakati akizungumza na maelfu ya waumini na viongozi mbalimbali waliohudhuria ibada ya Jubilei ya miaka 25 ya Askofu Mkuu wa Jimbo Katoliki la Iringa, Mhashamu Tarsicius Ngalalekumtwa katika uwanja wa Kichangani wa Kanisa Kuu la Kihesa.
"Maaskofu...
9 years ago
Bongo504 Dec
Chilo, Kijo,Abby Plaatjes waigizaji filamu ya ‘HomeComing’
![Homecoming+official](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/12/Homecoming-official-300x194.jpg)
Mzee Chilo, Daniel Kijo, Hashim Kambi, Abby Plaatjes pamoja na mastaa wengine wanakuja na filamu iitwayo ‘HomeComing’ inayozungumzia athari za rushwa.
Filamu hiyo iliyotengenezwa na kampuni ya Alkemist Media ina ujumbe wa kuhusiana na vishawishi vya rushwa pamoja na athari zake kwa wafanyakazi na jamii kwa ujumla.
Kijo ambaye anafahamika zaidi katika tasnia ya habari aliwahi kutangaza kwenye kipindi cha Daladala kinachorushwa na Star TV, katika filamu hii ameigiza kama mhusika mkuu akitumia...
10 years ago
Dewji Blog27 Oct
Msanii Lulu aitambulisha filamu yake mpya iitwayo Mapenzi ya Mungu, filamu yaingia sokoni leo
Msanii wa Sanaa ya Maigizo Nchini, Elizabeth Michael almaarufu kama Lulu akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa alipokuwa akiitambulisha filamu yake Mpya iitwayo MAPENZI YA MUNGU ambayo amewashirikisha Flora Mtegoha au Mama Kanumba na Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya Linah Sanga.
Msanii Wa Maigizo Nchini, Elizabeth Michael almaarufu kama Lulu akiitambulisha filamu yake Mpya iitwayo MAPENZI YA MUNGU leo mbele ya wanahabari (hawapo pichani).,Kulia ni Mmoja kati wa...
10 years ago
Habarileo19 Jun
Ugawaji wa majimbo ya uchaguzi mwezi ujao
UGAWAJI wa majimbo mapya ya uchaguzi yanatarajia kutangazwa mapema mwezi ujao na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).
10 years ago
Habarileo12 Feb
Zabuni barabara za juu mwezi ujao
ZABUNI ya ujenzi wa barabara za juu jijini Dar es Salaam inatarajiwa kutangazwa mwezi ujao.
10 years ago
Habarileo15 Jan
Hatima walioadhibiwa CCM mwezi ujao
HATIMA ya makada sita wa CCM walioadhibiwa mwanzoni mwa mwaka jana wakihusishwa kuanza mapema harakati za kuusaka urais wa Tanzania kabla ya wakati uliopangwa na chama hicho tawala, sasa itajulikana mwezi ujao.