Flavian Matata apata dili la ubalozi wa utalii Marekani
NA TUNU NASSOR
MWANAMITINDO wa Tanzania anayeishi Jiji la New York, Marekani, Flavian Matata, ameteuliwa kuwa balozi wa utalii nchini Marekani.
Uteuzi huo wa Wizara ya Maliasili na Utalii chini ya Bodi ya Utalii nchini umekuja baada ya Rais Jakaya Kikwete kuzindua tangazo la vivutio vya utalii litalokuwa likirushwa na vyombo vya habari vya kimataifa ambavyo ni Shirika la Habari la Uingereza (BBC) pamoja na CNN.
Akizungumza na waandishi wa habari jana jijini Dar es Salaam, Katibu Mkuu wa...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
9 years ago
Bongo526 Nov
Belle 9 apata dili ya kwanza ya ubalozi wa kampuni hii
![Belle ubalozi2](http://www.bongo5.com/wp-content/uploads/2015/11/Belle-ubalozi2-300x194.jpg)
Wiki iliyopita muimbaji wa Rnb, Belle 9 alipost picha akisaini mkataba ambao kwa wakati ule hakuweka wazi ni wa kitu gani. Lakini sasa ameweka wazi kuwa ulikuwa ni mkataba wa ubalozi wa Owbaz.com.
Mafanikio haya yanakuja baada ya Belle kuanza kufanya kazi chini ya kampuni yake ya Vitamin Music inayosimamia kazi zake zote kwa sasa.
Mafanikio mengine ambayo Belle ameyapata toka abadili mfumo wake wa kufanya kazi ni pamoja na video yake ya ‘Shauri Zao’ kuanza kuchezwa na vituo vya nje...
10 years ago
Bongo Movies15 Mar
Wastara Apata Dili Kufanya Kazi Nchini Marekani
Staa wa Bongo Movie, Wastara Juma amepata shavu la kwenda kufanya kazi nchini marekani akiwa pamoja na mtengenezaji filamu mahiri kabisa hapa Bongo, Timoth Conrad Kachumia.
Japo kuwa hakutaka kueleza ni lini watakwenda nchini humo na kampuni iliyowapa chavu hilo, kupitia ukursasa wake mtandaoni alibandika baadhi ya picha akiwa na watu ambao ndio wame wapa dili hilo na kuandika;
“Ukipata nafasi ya kufanya kazi kimataifa usiichezee,,one mistake hundred goal............kosa la defense ni...
9 years ago
Michuzi08 Sep
Flaviana Matata ateuliwa kuwa Balozi wa hiyari wa Utalii Tanzania nchini marekani
![flavy](http://www.8020fashionsblog.com/wp-content/uploads/2015/09/flavy-650x432.jpg)
9 years ago
MichuziFLAVIANA MATATA ATEULIWA KUWA BALOZI WA UTALII NEW YORK CITY NCHINI MAREKANI
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-9QukCEcOBR4/VNMWdyTa_VI/AAAAAAAHB28/aQs2M_CQ12Q/s72-c/unnamed%2B(2).jpg)
wizara ya MALIASILI NA UTALII YAENDELEA KUTANGAZA VIVUTIO VYA UTALII MAREKANI
![](http://1.bp.blogspot.com/-9QukCEcOBR4/VNMWdyTa_VI/AAAAAAAHB28/aQs2M_CQ12Q/s1600/unnamed%2B(2).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-j7r7uCWsPuk/VNMWePSG52I/AAAAAAAHB3E/9iqTQcT3_vM/s1600/unnamed%2B(3).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-PRhlQc6LAME/VNMWeLsGGmI/AAAAAAAHB3A/oR3FlEbFBxw/s1600/unnamed%2B(4).jpg)
10 years ago
Michuzisupermodel flaviana matata atembelea ubalozi wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa jijini New York
Picha ya chini Flaviana akiwa na maafisa wa ubalozi wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa jijini New York.