FLORA MBASHA: NAKUSHUKURU WEWE UNAYENIOMBEA KUNIUNGA MKONO KATIKA HUDUMA YANGU
Nina kila sababu ya kukushukuru wewe mdau wangu ambaye umekuwa bega kwa bega nami katika kuiombea huduma yangu hii ya uimbaji. Ninakushukuru sana maana nimeona matunda kutokana na maombi yako. Mungu azidi kukubariki na kukulinda katika shughuli zako za kila siku pamoja na familia yako.
Flora Mbasha
Maombi yako yamefanyika baraka katika kazi yangu hii mpya ambayo iko sokoni kwa sasa inayoenda kwa jina la NIPE NGUVU YA KUSHINDA. Nimemuona Mungu akinipa Nguvu za kushinda katika maisha yangu,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HfIXzVrPfI3uOtXrrNbf5IpZqXZIu-V6PZSjijdbBhggcJP-2EP1bbbVdpd*TVyG2uu1q*vqTaLpW-D-KROImfZgpJoZBJQ8/flora_mbasha5.jpg)
FLORA MBASHA AKIRI: MWANANGU SI WA MBASHA!
10 years ago
Habarileo22 Jun
Mwandosya: Lowassa asisite kuniunga mkono
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi Maalumu, Profesa Mark Mwandosya amemuomba mgombea mwenzake katika kinyang’anyiro cha kutafuta ridhaa ya kuteuliwa kuwa mgombea kupitia CCM, Edward Lowassa asisite kumuunga mkono kama walivyofanya watangaza nia wengine ili mambo yaishe mapema.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-giQBJDM2wM8/VL9qpB2hv0I/AAAAAAADWPU/t6rahjXgMtg/s72-c/Flora-Mbasha-Xmass-Card.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8W5ARlmXvRmkiNyONmKW6b8GJXPfuWsHT2UPvgV2OmQsf92vBYrWl2lYy9hJm8nAqfk8zwAk1bdUivUq*BxO1X9VUQg7BbdC/FLORA.jpg)
FLORA MBASHA AVAMIWA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vcB-R4TFh6pEZNpG8oVy6Fk3RXjSsCr4jdT9auMRfTZzcrjVF4ITcPCjp46jb3Uku9J4bG8102MHbtI23X0B4qJFSRCsJAvW/flora.jpg)
MBASHA, FLORA WAPATANA
10 years ago
Mtanzania05 Feb
Gwajima, Flora Mbasha wafunguka
Elias Msuya na Fredy Azzah, Dar es Salaam
SIKU chache baada ya picha za mtoto mchanga kusambazwa katika mitandao ya kijamii na kudai kuwa ni za mtoto wa mwimbaji wa nyimbo za Injili nchini, Flora Mbasha kuwa amezaa na Mchungaji Kiongozi wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima hatimaye wawili hao wamefunguka.
Hatua hiyo imekuja miezi saba tangu wawili hao walipoingia katika mgogoro wa ndoa yao hali iliyosababisha mume wa Flora, Emmanuel Mbasha kufikishwa mahakamani kwa kosa la...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fF4HFdlaoO6EvQ2FsNvKrJwvFKNHe*pniHgRlQII6ZVQR5EWGbFZAlxkCjGWlHayPQaEHNoAoudp9ypAbk0rPJNa5P6CjVQ8/mbasha.jpg)
FLORA MBASHA AIBU MARA 3
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/EwLJgW6X-wU28LmN1CeXJ3RKZg6jASv7IGFP5ajHG44cCPKRB7IinGZnNwqM5NMEq7y0zHKu43HOaBNVvY4IIE6VomHLiwvj/MAMAWEMA.jpg?width=650)
FLORA MBASHA, KUMBUKA MAANDIKO!
9 years ago
Vijimambo10 Oct
Mbasha: Siwezi kumsamehe Flora
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/02/mbasha.jpg)
Mwimbaji wa nyimbo za Injili, Emmanuel Mbasha.
Brighton MasaluSiku chache baada ya mwimbaji wa nyimbo za Injili, Flora Mbasha kufuta kesi ya kudai talaka mahakamani na kudai kuwa bado ana ‘mapenzi’ na mumewe, Emmanuel Mbasha ameibuka na kujiapiza kuwa kutokana na ukali wa mateso aliyoyapitia wakati wa kesi yake, kamwe hawezi kumsamehe mwanamke huyo.
![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/mbashaaaa.jpg)
Akizungumza na Ijumaa kwa njia ya simu, Jumatano ya wiki hii siku moja baada ya Flora kuamua kufuta...