Mwandosya: Lowassa asisite kuniunga mkono
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi Maalumu, Profesa Mark Mwandosya amemuomba mgombea mwenzake katika kinyang’anyiro cha kutafuta ridhaa ya kuteuliwa kuwa mgombea kupitia CCM, Edward Lowassa asisite kumuunga mkono kama walivyofanya watangaza nia wengine ili mambo yaishe mapema.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi07 Jan
FLORA MBASHA: NAKUSHUKURU WEWE UNAYENIOMBEA KUNIUNGA MKONO KATIKA HUDUMA YANGU
![](https://4.bp.blogspot.com/-3AHu4tg2VT4/VKufH8f9iCI/AAAAAAAAA1Q/-zkJ6cpnzQw/s1600/IMG-20141208-WA0001.jpg)
Flora Mbasha
Maombi yako yamefanyika baraka katika kazi yangu hii mpya ambayo iko sokoni kwa sasa inayoenda kwa jina la NIPE NGUVU YA KUSHINDA. Nimemuona Mungu akinipa Nguvu za kushinda katika maisha yangu,...
10 years ago
Habarileo11 Jun
Membe: Nitamuunga mkono Mwandosya
MAWAZIRI wawili wa serikali ya Rais Jakaya Kikwete, Bernard Membe na Profesa Mark Mwandosya ambao wote wanaomba kugombea urais kupitia CCM kuungana katika harakati zao za kuwania kuteuliwa kupeperusha bendera ya chama hicho katika nafasi ya Rais katika Uchaguzi Mkuu baadaye mwaka huu.
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-2q-7e_dnLKU/VapEuhmjw0I/AAAAAAAAWTo/muDEIV_egMQ/s72-c/5.jpg)
KUNDI LA VIJANA LA 4U MOVEMENT LATANGAZA KUUNGA MKONO UKAWA, AWALI LILIKUWA LIKIMUUNGA MKONO LOWASSA
![](http://4.bp.blogspot.com/-2q-7e_dnLKU/VapEuhmjw0I/AAAAAAAAWTo/muDEIV_egMQ/s640/5.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-u3OvjyRbCxE/VapEksThWbI/AAAAAAAAWTM/qz-FPT_yu9s/s640/4U.jpg)
10 years ago
VijimamboPROF. MARK JAMES MWANDOSYA AWASHUKURU WOTE WALIOMUUNGA MKONO KABLA NA BAADA YA KUTANGAZA NIA.
Hiki ndio kipindi tunachopita sasa kama Taifa. Kwa maneno hayo napenda, kwa unyenyekevu mkubwa, kuwashukuru, na kwa dhati kabisa, wale wote mliotuunga mkono kabla na baada ya kutangaza nia, wakati wa na baada ya kuchukua...
10 years ago
Mwananchi27 Jun
Mwandosya amuita Lowassa kambi yake
9 years ago
Raia Mwema07 Nov
Ushindi wa Chadema ni ‘hujuma na mkono’ wa Lowassa
SIRI ya ushindi mkubwa wa kishindo kwa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) katika Uchaguz
Paul Sarwatt
10 years ago
Mwananchi06 Aug
Sau, APPT kumuunga mkono urais Lowassa
10 years ago
Mwananchi26 Jan
Mwinyi ataka Lowassa, Mengi waungwe mkono
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-7tU_8jW3SwM/Vbf8MmSH8WI/AAAAAAAATio/BL7YcUQoGpg/s72-c/Jussa.jpg)
Kwanini naunga mkono kwa Mh Edward Lowassa kukaribishwa UKAWA : Ismail Jussa
![](http://2.bp.blogspot.com/-7tU_8jW3SwM/Vbf8MmSH8WI/AAAAAAAATio/BL7YcUQoGpg/s320/Jussa.jpg)
Baada ya kusoma maoni na mitazamo ya watu mbali mbali, nataka na miye nieleze mtazamo wangu kuhusiana na masuala hayo lakini zaidi nikirudi nyuma katika miaka ya 1991 na...