Mwandosya amuita Lowassa kambi yake
Dodoma. Profesa Mark Mwandosya, ambaye anawania kuteuliwa na CCM kugombea urais, amemtaka Edward Lowassa kujiunga na kambi yake kwa kuwa makada wengine wanne kwenye mbio hizo wanamuunga mkono.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies03 Feb
VIJIMAMBO: Dada yake Diamond, Esma Awagonganisha Wema na Zari, Moja Amuita WIFI Mwingine MKWE!!
Siku ya jana ilikuwani siku ya kuzaliwa ya mwanadada Esma ambae ni dada wa msanii mkubwa wa Bongo Fleva hapa nchini, Diamond Platnumz. Kama unavyojua tena mambo mitandaoni
Alianza mwanadada Zari, ambae ni mpenzi wa sasa wa Diamond, kumtumia Esma ujume wa kumtakia furaha kwenye siku yake ya kuzaliwa na kumuita Esma kama WIFI. Watu wakaichukulia poa kwani ni kweli wifi yake.
“Happy bday to my lovely wifi @esmaplatnum. Love you doll”-Aliandika Zari na kuweka picha ya Esma
Baada ya saa...
10 years ago
Bongo530 Nov
Wema ampongeza Diamond, amuita ‘kaka’, Zari achukua nafasi yake rasmi, amsindikiza kwenye #CHOAMVA14
10 years ago
Habarileo22 Jun
Mwandosya: Lowassa asisite kuniunga mkono
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais, Kazi Maalumu, Profesa Mark Mwandosya amemuomba mgombea mwenzake katika kinyang’anyiro cha kutafuta ridhaa ya kuteuliwa kuwa mgombea kupitia CCM, Edward Lowassa asisite kumuunga mkono kama walivyofanya watangaza nia wengine ili mambo yaishe mapema.
10 years ago
Vijimambo25 Jun
Kambi ya Edward Lowassa yatikiswa.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Lowassa-25June2015.jpg)
Tukio hilo lilitokea saa 4:45 usiku wa kuamkia jana.
Manga ambaye pia ni mfanyabiashara maarufu wa Tanzanite huko Mirerani, mkoani humu ni mmoja kati ya marafiki wakubwa wa Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa, ambaye ametangaza nia ya kuomba ridhaa ya CCM kumteua kuwa...
10 years ago
Mwananchi19 Jul
Kambi ya Lowassa sasa rasmi Chadema
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Sl1cV7R1XlY/VL1C4Bg_ExI/AAAAAAAG-WE/BMehwqhRXkY/s72-c/unnamed%2B(31).jpg)
PROFESA MWANDOSYA AHITIMISHA ZIARA YAKE YA KIKAZI NCHINI SUDAN
![](http://2.bp.blogspot.com/-Sl1cV7R1XlY/VL1C4Bg_ExI/AAAAAAAG-WE/BMehwqhRXkY/s1600/unnamed%2B(31).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-Uhz4nxGXQlE/VL1C4M1ahlI/AAAAAAAG-WI/d_46uhrMjSU/s1600/unnamed%2B(32).jpg)
Walio mstari...
9 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-glYEsG9dUoM/ViPJ27foXCI/AAAAAAAAbfQ/rkIZeDImlxw/s72-c/OTH_6156.jpg)
LOWASSA AWEKA KAMBI MBEYA, AUNGURUMA VIWANJA VYA RWANDA-,NZOVWE
![](http://2.bp.blogspot.com/-glYEsG9dUoM/ViPJ27foXCI/AAAAAAAAbfQ/rkIZeDImlxw/s640/OTH_6156.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-SydmWXoXvbQ/ViPJxHhjDQI/AAAAAAAAbfI/J2I9MCYf6N8/s640/OTH_6174.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-4EvVajv5D78/ViPKvz1e3PI/AAAAAAAAbfY/B8tpjkwlMeY/s640/OTH_6357.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-agyIQQxTAOM/ViPK5FaCXfI/AAAAAAAAbfg/4OS-z6gSE4g/s640/OTH_6350.jpg)
10 years ago
Bongo Movies29 May
Mzee Kambi: Tasnia Ina Waigizaji ‘Wamakamo Yake’ Wachache
Staa wa filamu Hashim Kambi, ambaye anafanya vizuri katika tasnia hiyo kwa miaka 10 sasa, amekiri kuwepo na uchache wa waigizaji wa makamo yake katika tasnia hiyo, hali iliyotengenezwa na imani potofu kuwa uigizaji ni uhuni katika kipindi cha nyuma.
Hashim amesema kuwa, binafsi alishawishiwa kuanza kuigiza baada ya nafasi za uhusika wa watu wazima katika filamu kuwa zinafanywa na watoto, hivi sasa kukiwa na watu wazima wasiozidi watano katika tasnia hiyo nzima.
Hashim Kambi amesema kuwa...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-sX4oikrju1A/VXWdl8qUwhI/AAAAAAAAvW4/G_LJUNW6jJY/s72-c/LE%2BMSHUWA%2BLIVE.jpg)
Lemutuz 'Kambi ya Urais ya LOWASSA Hamko Vizuri au Mgombea Wenu ni Bogas..Jipangeni Tena Upya'
![](http://1.bp.blogspot.com/-sX4oikrju1A/VXWdl8qUwhI/AAAAAAAAvW4/G_LJUNW6jJY/s640/LE%2BMSHUWA%2BLIVE.jpg)
LE MUTUZ LIVE STRAIGHT TALK:- morning guys kuna wanaotafsiri kwamba namchukia mgombea wao kumbe Mimi ninakata FACTS mti wenye matunda ndio unaorushiwa maweso wafuasi wake jifunzeni hoja the FACT is a leading Candidate supposedly hawezi kuogopa Debate infact yeye ndiye aliyetakiwa kupigania Debate ziwe nyingi kusudi Taifa tumuelewe vizuri kwamba Hakuiba Richmond kulikuwa na njama za kutaka cheo chake ndio maana aliwaachia good now asimame kwenye debate atuhakikishie kwamba akipata Uraisi...