Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mzee Kambi: Tasnia Ina Waigizaji ‘Wamakamo Yake’ Wachache

Staa wa filamu Hashim Kambi, ambaye anafanya vizuri katika tasnia hiyo kwa miaka 10 sasa, amekiri kuwepo na uchache wa waigizaji wa makamo yake katika tasnia hiyo, hali iliyotengenezwa na imani potofu kuwa uigizaji ni uhuni katika kipindi cha nyuma.

Hashim amesema kuwa, binafsi alishawishiwa kuanza kuigiza baada ya nafasi za uhusika wa watu wazima katika filamu kuwa zinafanywa na watoto, hivi sasa kukiwa na watu wazima wasiozidi watano katika tasnia hiyo nzima.

Hashim Kambi amesema kuwa...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

JK aomboleza kifo cha aliyekuwa mmoja wa magwiji wa Tasnia ya Utangazaji nchini Mzee Godfrey Mngodo

7A622D00-E6E7-4347-A206-CBCD3C13A372_w640_r1_s

Marehemu Mzee Godfrey Mngodo enzi za uhai wake.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salamu za rambirambi kuomboleza kifo cha aliyekuwa mmoja wa magwiji wa Tasnia ya Utangazaji nchini Mzee Godfrey Mngodo ambaye alifariki dunia, Ijumaa, Septemba 11, 2015 mjini Dar es Salaam.

Katika salamu zake za rambirambi kwa Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo, Dkt. Fenella Mukangara, Rais Kikwete amesema kuwa amesikitishwa na taarifa za kifo cha...

 

9 years ago

Mtanzania

Mzee Chilo, Kijo, Hashim Kambi ndani ya ‘Homecoming’

Kijo na ChiloNA MWANDISHI WETU

MASTAA wengi wa Bongo Movie wamekutanishwa katika filamu mpya ya ‘Homecoming’, inayotarajiwa kuingia sokoni hivi karibuni, huku ikilenga kubadilisha soko la mauzo ya filamu za Tanzania.

Baadhi ya mastaa hao walioshiriki katika filamu hiyo ni pamoja na Daniel Kijo, aliyekuwa akitangaza kipindi cha Daladala kinachorushwa na televisheni ya Star TV, Ahmed Olotu ‘Mzee Chilo’, Hashim Kambi, Susan Lewis ‘Natasha’ na Abby Plaatjes, aliyewahi kuwa mmoja wa washiriki wa Big Brother...

 

10 years ago

Bongo Movies

Mzee Kambi: Nilikaa Miaka Saba Bila Mwanamke

Mwigizaji mkongwe wa filamu nchini, Hashim Kambi ‘Mzee Kambi’ alikuwa mvumilivu na kuishi bila mwanamke kwa muda wa miaka saba mpaka alipoamua kuoa mwezi wa kumi mwaka huu.

Akipiga stori na GPL, Mzee Kambi alisema kwa muda wote huo alikuwa akishughulika zaidi na kazi kwani tayari ana watoto wakubwa na hakuona haja ya kuwa na mwanamke hadi alipoamua kumuoa mchumba wake ambaye ni raia wa Burundi aliyemtaja kwa jina moja la Hadija.

“Namshukuru Mungu kwamba amenipa mke mwema, uzuri ni kwamba...

 

10 years ago

Mwananchi

Mwandosya amuita Lowassa kambi yake

Dodoma. Profesa Mark Mwandosya, ambaye anawania kuteuliwa na CCM kugombea urais, amemtaka Edward Lowassa kujiunga na kambi yake kwa kuwa makada wengine wanne kwenye mbio hizo wanamuunga mkono.

 

5 years ago

Michuzi

TAEC:MIONZI INA FAIDA KUBWA NA SIYO MADHARA PEKE YAKE



Profesa Lazaro Busagala,Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Nguvu ya nchini (TAEC) akizungumza na washiriki wa mafunzo ya usimamizi wa usalama wa mionzi yaliyofanyika Makao makuu ya Tume hiyo Jijini Arusha.
Mmoja wa washiriki wa mafunzo hayo ya siku tano kutoka Serengeti Breweries mafunzo ya usimamizi wa usalama wa mionzi yaliyofanyika Makao makuu ya Tume hiyo Jijini Arusha.

Mmoja wa washiriki wa mafunzo ya mafunzo ya usimamizi wa usalama wa mionzi yaliyofanyika Makao makuu ya Tume hiyo Jijini...

 

11 years ago

GPL

ETI WANANDOA, MBONA KILA MTU SIMU YAKE INA PASSWORD?

NI matumaini yangu kwamba mu wazima kabisa na mnaendelea vyema na majukumu yenu ya kila siku kama kawaida. Mimi mzima, nashukuru Mungu kanifanya kuwa kati ya wale wanaoendelea kuvuta hewa yake bila malipo yoyote. Mpenzi msomaji wangu, tatizo la simu za mkononi kuwa chanzo cha migongano ndani ya ndoa limekuwa sugu katika siku za hivi karibuni. Si kitu cha ajabu kusikia wanandoa wameachana, wamenuniana au hata kupigana kisa kikiwa...

 

9 years ago

Mwananchi

Hivi ndivyo mzee Masele alivyoporwa ardhi yake

Mzee Faustine Masele (78) anafahamu umuhimu na thamani ya ardhi anayomiliki. Fikra zake zilikuwa kuwarithisha watoto wake au kuiuza kwa bei ya soko. Mipango hiyo haipo tena. Analia. Analalamika. Wajanja wameichukua ardhi yake.

 

10 years ago

Michuzi

Mzee Kingunge atoa yake ya moyoni mjini Dodoma leo

MWANASIASA mkongwe nchini, mzee Kingunge Ngombale Mwiru, amekionya Chama Cha Mapinduzi (CCM), kutofanya dhihaka ya kumpendekeza kada yoyote kuwa mgombea wake wa urais kwenye uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu, kwani kwa kufanya hivyo kitaanguka.
Akizungumza na waandishi wa habari mjini Dodoma leo Jumatano Julai 8, 2015, Kingunge ambaye ameshawahi kushika nyadhifa mbalimbali serikalini na ndani ya chama hicho alisema “ninatishwa na watu wanaotumia nguvu nyingi kwelikweli...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani