Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FLORA MKIOANA MASTAA MNADUMISHA UAMINIFU

Stori: Mayasa Mariwata
STAA wa sinema za Kibongo, Flora Mvungi amesema maisha ya kuoana staa kwa staa yanadumisha uaminifu na ndiyo maana anajisikia furaha kuolewa na Hamis Baba ‘H-Baba’, staa wa Bongo Fleva. H-Baba na mkewe Flora Mvungi wakilishana keki wakati wa bethidei ya H-Baba hivi karibuni. Akipiga stori na Stori 3, Flora alisema maisha anayoishi yeye ni tofauti sana na maisha wanayoishi wanandoa wengine,...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

KUMBUKUMBU YA FLORA (MAPENDO YA FLORA)

TUNAPOADHIMISHA MIAKA MIWILI YA KUMBUKUMBU

YA KIFO CHA MPENDWA WETU

FLORA FLOWIN MKANULA

(1993 – 2013)

___________________________________


Tunaona ni vema kumshukuru MUNGU hasa kwa mapendo aliyotushirikisha kupitia maisha ya FLORA, nasi tukabakiwa kwa namna ya pekee tunamuenzi kwa matukio mbalimbali hasa kupitia Misa Takatifu katika kanisa kuu la Mtakatifu Joseph Jimbo Kuu la Dar es Salaam. Siku ya tarehe 10/09/2015, saa 12.30 asubuhi.  Baada ya hapo tunazuru makaburi ya Kinondoni.Sote tuzidi...

 

10 years ago

GPL

ISHU YA MASTAA KUJIUZA CATHY AWALAUMU MASTAA WA KIUME

Na Mayasa Mariwata
MKONGWE kwenye tasnia ya filamu Bongo, Subrina Rupia ‘Cathy’ amewalaumu vikali mastaa wa kiume Bongo kuwa ndiyo chanzo kikubwa cha tasnia kutawaliwa na mastaa wa kike wanaojiuza. Mkongwe kwenye tasnia ya filamu Bongo, Subrina Rupia ‘Cathy’ Akizungumzia kuhusiana na kuwepo kwa madai ya wasanii wa kike Bongo Movie kujiuza, Cathy alisema hawezi kuweka wazi kama anawajua wahusika au...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uaminifu huboresha mapenzi

KARIBU mpenzi msomaji wa safu ya Urafiki na Mahusiano, ili tuweze kwenda sambamba kuhusiana na mada tunayoizungumzia leo ya kuboresha mahusiano. Katika mahusiano yeyote yale, iwe kwenye ndoa au la,...

 

10 years ago

BBCSwahili

Dubai inatisha kwa uaminifu

Dubai imejinyakulia sifa ya kipekee katika kupima Imani za jamii kwa pochi iliyoangushwa mtaani,na mara ikarejeshwa kwa mhusika .

 

11 years ago

Tanzania Daima

‘Viongozi wa dini wamepoteza uaminifu’

ASKOFU Mkuu wa Kanisa la Victorious la mjini Moshi, Sixbert Mkelemi, amesema hivi sasa viongozi wa dini wanafanyiwa upekuzi katika viwanja vya ndege tofauti na miaka ya nyuma kutokana na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Uaminifu, nidhamu huleta mafanikio

KATIKA maisha hakuna njia ya mkato ya mafanikio. Uwezekano wa kufanikiwa upo, thawabu ipo lakini mpaka uwe na uhitaji huo. Ili ufanikiwe, yakupasa ufanye kazi kwa bidii, kwani ni muhimu...

 

10 years ago

Vijimambo

KWA NINI UAMINIFU UMEPUNGUA?


HABARI zenu wadau wa safu hii. Tumekutana tena kujadiliana mambo yetu ya kikubwa wakati huu mwaka unapokatika. Wengine wanafunga hesabu kwa faida na wengine wanajikusanyia madeni.

Maisha ya kimapenzi kila siku yana mapya, wanandoa wanaweza kukaa mwezi mzima bila kuzungumza, lakini siku moja isiyo na jina wanajikuta wanapendana upya na kupiga stori kana kwamba hakuna kilichotokea jana yake.

Siku hizi kutoka nje ya ndoa tumekupa jina jipya, tunasema amechepuka badala ya kubaki njia kuu. Juzijuzi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Punda watuzwa kwa uaminifu na bidii

Punda wawili wamepatiwa tuzo na mwanasiasa mmoja wakielezwa kuwa na uaminifu kuliko binadamu

 

10 years ago

Mwananchi

Fundi anayetengeneza baiskeli kwa uaminifu (2)

Kabla ya kujitosa kwenye ushonaji wa viatu, Bupe aliwahi kujikita zaidi kwenye ajira ya ufundi baiskeli katika eneo la Machimbo, Jet-Lumo iliyopo Gongo la Mboto ikiwa ni sehemu ya kujiimarisha zaidi kiuchumi baada ya kuyumba kwa shughuli zake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani