Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FLORA, MWANAYE NDANI YA FILAMU!

Staa wa filamu na muziki, Flora Mvungi ‘H.Mama’ akiwa na mwanaye. Gladness Mallya STAA wa filamu na muziki, Flora Mvungi ‘H.Mama’ amecheza filamu moja na mtoto wake aitwaye Tanzanite, akisema anafanya hivyo ili kuonesha kipaji alichonacho. Akipiga stori na gazeti hili, Flora alisema baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu akilea, sasa amerudi rasmi na kazi yake hiyo inaitwa Mtegoni, aliyosema itasisimua wengi. Katika filamu...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Mchungaji amfungia mwanaye ndani miaka 12

IMG_1239Timotheo anayedaiwa kufungiwa ndani na wazazi wake kwa miaka 12.

Na Mwandishi Wetu, UWAZI
SINGIDA: Mchungaji wa Kanisa la Pentekoste katika Kijiji cha Itaga mkoani Singida, David Mtipa (59) na mkewe, Maria Phillip (45), wanasota katika Gereza la Singida baada ya kushindwa masharti ya dhamana kufuatia kufikishwa mahakamani Ijumaa iliyopita kwa madai ya kumfungia ndani kwa miaka 12, mtoto wao, Timotheo (30).

Watuhimiwa hao walipandishwa kizimbani kwa madai ya kushindwa kumpatia huduma muhimu...

 

10 years ago

GPL

MAMA MBARONI KWA KUMFUNGIA MWANAYE NDANI

Stori: Haruni Sanchawa
Tukisema dunia imekwisha,tutakuwa hatujafanya makosa maana matukio ya utesaji, unyayasaji na ukatili kwa watoto wachanga yamekuwa yakichukua kasi  kubwa ndani ya jamii. Mtuhumiwa Bhoke Steven (21) anayedaiwa kumfungia ndani mwanaye anayejulikana kwa jina la Steven Amos (miezi 10). Hivi karibuni mama mmoja, Bhoke Steven (21) (pichani), mkazi wa Kitunda, wilayani Ilala, Dar es Salaam amejikuta matatani...

 

11 years ago

GPL

H-BABA, MKEWE FLORA MVUNGI NDANI YA GLOBAL TV ONLINE

STAA wa Bongo Fleva, Hamis Ramadhan a.k.a H. Baba na mkewe Flora Mvungi muda huu wapo ndani ya GLOBAL TV ONLINE. JE, WEWE MSOMAJI WETU UNGEPENDA WAJIBU MASWALI YAPI?

 

9 years ago

Michuzi

KUMBUKUMBU YA FLORA (MAPENDO YA FLORA)

TUNAPOADHIMISHA MIAKA MIWILI YA KUMBUKUMBU

YA KIFO CHA MPENDWA WETU

FLORA FLOWIN MKANULA

(1993 – 2013)

___________________________________


Tunaona ni vema kumshukuru MUNGU hasa kwa mapendo aliyotushirikisha kupitia maisha ya FLORA, nasi tukabakiwa kwa namna ya pekee tunamuenzi kwa matukio mbalimbali hasa kupitia Misa Takatifu katika kanisa kuu la Mtakatifu Joseph Jimbo Kuu la Dar es Salaam. Siku ya tarehe 10/09/2015, saa 12.30 asubuhi.  Baada ya hapo tunazuru makaburi ya Kinondoni.Sote tuzidi...

 

10 years ago

Bongo Movies

JB Kuja na Filamu ya ‘Watani wa Jadi’ Wazee Tupu Ndani

Muigizaji na muongozaji wa filamu ambae pia anamiliki kampuni yake ya utenegezaje wa filamu ya Jerusalem, Jacob Stephen ‘JB’ amesema kwasasa wanafanya kazi mpya inayoitwa Watani wa Jadi ambayo itasheheni waigizaji wazee ambao ni wakali kwenye tasnia.

“New Project Yetu Inaitwa Watani Wa Jadi,Cast; Mzee Chimbeni Herry, Mzee Halikuniki,Mzee Chepuo,Bi Hindu Na Msichana Mmoja Bado Sijampata.Ni Movie Ya Wazee Tuone Swaga Zao.Itafanyika Zanzibar Kuanzia Wiki Ijayo”. JB alieleza.

Ngoja tuisubiri...

 

10 years ago

Bongo Movies

Filamu Mpya: Wolper , King Majuto Ndani ya ‘Huba’

Filamu  mpya iliyochezwa na wakali wa Bongo Movies   Wolper, Mzee Majuto na wengine wengi, inayokwenda kwa jina la HUBA kuingia sokoni wiki hii, 23.04.05.

Filamu ya Huba ni filamu inamzungumzia kijana alieachiwa mali na wazazi wake na yeye kuanza kuzitumia vibaya,kijana huyo alikua anaishi nyumba moja na babu yake ambaye ndio mzee Majuto.

Kijana alikua na tabia ya kubadili wasichana ndio akazama kwenye penzi la Wolper na kuzani Wolper anapenzi la dhati kwake kumbe amefata pesa tu.

Hii sio...

 

10 years ago

GPL

FILAMU YA MPANGO MBAYA KUZINDULIWA NDANI YA UKUMBI WA MLIMANI CITY


MPANGO MBAYA ni filamu iliyochezwa na washiriki 10 waliofanikiwa kuingia katika Fainali ya shindano la Tanzania Movie Talents (TMT) msimu wa kwanza 2014 na kushirikisha baadhi ya waigizaji mahiri kutoka katika kiwanda cha Filamu Tanzania. Filamu ya Mpango Mbaya ni filamu ambayo imetengenezwa kwa viwango vya hali ya juu huku ikikidhi viwango vya kimataifa na ni filamu ambayo ina ubora wa hali ya juu kuanzia ubora wa picha,...

 

10 years ago

Michuzi

Bodi ya Filamu Nchini yatoa wito kwa wamiliki wa Filamu kuweza kuwasilisha Filamu.

Lorietha Laurence -Maelezo.
Katibu Mtendaji wa Bodi ya Filamu , Joyce Fisoo  ametoa wito kwa kampuni za Filamu nchini kuwasilisha filamu zao ili ziweze kuhakikiwa na kulipiwa  kwa kupata kibali cha kuingia sokoni  kama sheria ya filamu ya mwaka 1976 kifungu namba 4 inavyoeleza.
Akizungumza  katika ofisi za Bodi leo jijini Dar es Salaam, Fisoo ameipongeza  kampuni ya Al-Riyamy Production  ambayo imeweza kutimiza wajibu wake na kulipia filamu 134 ambazo zimepata kibali cha kupatiwa stamp za  TRA...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani