Mchungaji amfungia mwanaye ndani miaka 12
Timotheo anayedaiwa kufungiwa ndani na wazazi wake kwa miaka 12.
Na Mwandishi Wetu, UWAZI
SINGIDA: Mchungaji wa Kanisa la Pentekoste katika Kijiji cha Itaga mkoani Singida, David Mtipa (59) na mkewe, Maria Phillip (45), wanasota katika Gereza la Singida baada ya kushindwa masharti ya dhamana kufuatia kufikishwa mahakamani Ijumaa iliyopita kwa madai ya kumfungia ndani kwa miaka 12, mtoto wao, Timotheo (30).
Watuhimiwa hao walipandishwa kizimbani kwa madai ya kushindwa kumpatia huduma muhimu...
Global Publishers
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/VittCBMQg0LWK*AH0-3UYu5BnmbyM0P5RteGecQUFfzWv8Zwfmghx4FUESlfXzD*I0ijJ6B3iTdHxuWkGIHh6krcqydyKfZZ/backpagewikienda.gif?width=650)
DOKTA AMFUNGIA BABA’KE NDANI MIAKA 4!
9 years ago
Habarileo16 Dec
Mchungaji, mkewe wamfungia ndani mtoto kwa miaka 12
POLISI mkoani Singida inamshikilia Mchungaji wa Kanisa la Pentekoste Itaja na mkewe kwa tuhuma za kumfungia ndani ya chumba mtoto wao mlemavu wa viungo kwa miaka 12 bila kutoka nje.
11 years ago
Mwananchi02 Jul
UKATILI: Amfungia mtoto katika banda la mbuzi kwa miaka 10
9 years ago
Dewji Blog16 Dec
Mchungaji wa kanisa akamatwa kwa tuhuma ya kumficha ndani mtoto wake kwa miaka 12
Kijana mkazi wa kijiji cha Itaja tarafa ya Mgori wilayani Singida, Timotheo David (30), akiwa amelazwa wodi namba nne hospitali ya mkoa wa Singida baada ya kuletwa na jeshi la polisi siku mbili zilizopita. Inadaiwa kuwa Timotheo baada ya kuugua Malaria kali mwaka 2003 na kuchanganyikiwa akili, alifungiwa ndani chumbani toka wakati huo hadi juzi alipotolewa na polisi na kuletwa hospitalini. Kwa mujibu wa Kaimu Mganga mfawidhi hospitali ya mkoa, Dk.Napaiya Petro, Timotheo hana ugonjwa wo wote...
10 years ago
Habarileo07 Sep
Mchungaji afa na miaka 114, mjane ana miaka 30
MCHUNGAJI Samuel Sadela (114), wa Kanisa la Gospel Apostolic huko Nigeria aliyehubiri kwa miaka 82 amefariki dunia na kuacha mjane mwenye umri wa miaka 30 aitwaye Christina aliyemuoa miaka saba iliyopita.
9 years ago
GPLFLORA, MWANAYE NDANI YA FILAMU!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rFFi-SX8PjWtQ4*9ufTcQyS6KcX91tK56-OIsxv6oWeXK4Orwb0BaaJY482y24iP6S3e4O1LX8gi64ZDoC-cs9PKe0JeR-MG/mbaroni.jpg)
MAMA MBARONI KWA KUMFUNGIA MWANAYE NDANI
11 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-IGfeaQzOI3k/UyctQNp1CrI/AAAAAAAFUNw/W203hI1QEMU/s72-c/unnamed+(75).jpg)
Baba adaiwa kumuua mwanaye wa miaka 8 mkoani Njombe
![](http://2.bp.blogspot.com/-IGfeaQzOI3k/UyctQNp1CrI/AAAAAAAFUNw/W203hI1QEMU/s1600/unnamed+(75).jpg)
Njombe SACP Fulgence Ngonyani Na Edwin Moshi, Njombe Jeshi la polisi mkoani Njombe linamshikilia Bw. Yusufu Sadick Mkalile (33) kwa tuhuma za kumuua mtoto wake wa kumzaaa mwenyewe kwa kumziba pua na mdomo. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa kwa waandishi wa habari na Kamanda wa polisi mkoa wa Njombe SACP Fulgence Ngonyani imesema kuwa mtuhumiwa alitenda mauaji hayo Machi 16 mwaka huu majira ya saa 03:20 asubuhi, ambapo alimziba pua na mdomo mwanaye huyo aitwaye...
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/K6CBBOJeKwGTS0ZgROdMFlYt2d5g4yO*O*Bj8UltWCoaHKU1Iuye34lPD0VeCu7DkxfUBelPfmrNMq8ECAy3Juh*MyCm*kic/Mchungaji.jpg?width=650)
MCHUNGAJI JELA MIAKA 30