DOKTA AMFUNGIA BABA’KE NDANI MIAKA 4!

Deogratius Mongela na Chande Abdallah Haya ni madai mazito! Pamoja na kukanusha kwa nguvu zote, bado dokta wa upasuaji wa Hospitali ya Wilaya ya Temeke, Dar aliyetajwa kwa jina moja la Twalib, anadaiwa kumfungia ndani baba yake mzazi, Harub Fitina akimuweka pamoja na kuku na sungura huku akipata mateso ya kunyimwa chakula na huduma nyingine za kibinadamu kwa miaka minne sasa, Ijumaa Wikienda limeibua mazito. ....Soma...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Global Publishers22 Dec
Mchungaji amfungia mwanaye ndani miaka 12
Timotheo anayedaiwa kufungiwa ndani na wazazi wake kwa miaka 12.
Na Mwandishi Wetu, UWAZI
SINGIDA: Mchungaji wa Kanisa la Pentekoste katika Kijiji cha Itaga mkoani Singida, David Mtipa (59) na mkewe, Maria Phillip (45), wanasota katika Gereza la Singida baada ya kushindwa masharti ya dhamana kufuatia kufikishwa mahakamani Ijumaa iliyopita kwa madai ya kumfungia ndani kwa miaka 12, mtoto wao, Timotheo (30).
Watuhimiwa hao walipandishwa kizimbani kwa madai ya kushindwa kumpatia huduma muhimu...
11 years ago
Mwananchi02 Jul
UKATILI: Amfungia mtoto katika banda la mbuzi kwa miaka 10
10 years ago
Dewji Blog24 Aug
Mtoto wa miaka 9 aozeshwa na baba yake kwa mwanaume mwenye miaka 60

Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9).
Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9) akiwa amepozi.
Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9) akizungumza jana na Msaidizi wa Kisheria wa Kataa ya Makuyuni Kijiji cha Makuyuni Wilaya ya Monduli Mkoa wa Arusha na Ofisa Maendeleo ya Jamii wa Kataa hiyo, Ruthi Mashambo (kulia).
Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9) akizungumza jana na Msaidizi wa Kisheria wa Kataa ya Makuyuni Kijiji cha Makuyuni Wilaya ya Monduli Mkoa wa Arusha na Ofisa Maendeleo ya Jamii wa Kataa hiyo,...
11 years ago
Mwananchi09 Jan
Baba wa miaka 54 aoa mtoto wa miaka minane
10 years ago
GPL
BABA WA KIM NDANI YA VIDEO YA KANYE
10 years ago
BBCSwahili08 Jan
Baba amtupa mwanawe ndani ya maji
11 years ago
Habarileo15 Sep
Baba afungia ndani watoto 4 miezi 10
MWANAMUME mmoja mkazi wa Kijiji cha Msimba wilayani Uvinza, Kigoma, anashikiliwa na Polisi akidaiwa kufungia watoto wake wanne ndani ya nyumba na kuwashindisha njaa kwa takribani miezi 10.
11 years ago
GPL
WEMA AMFUNGIA DIAMOND, ASHINDWA KUMZIKA MZEE GURUMO
10 years ago
GPL
MTITU AMJUA BABA YAKE AKIWA NA MIAKA 17