Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DOKTA AMFUNGIA BABA’KE NDANI MIAKA 4!

Deogratius Mongela na Chande Abdallah Haya ni madai mazito! Pamoja na kukanusha kwa nguvu zote, bado dokta wa  upasuaji wa Hospitali ya Wilaya ya Temeke, Dar aliyetajwa kwa jina moja la Twalib, anadaiwa kumfungia ndani baba yake mzazi, Harub Fitina akimuweka pamoja na kuku na sungura huku akipata mateso ya kunyimwa chakula na huduma nyingine za kibinadamu kwa miaka minne sasa, Ijumaa Wikienda limeibua mazito. ....Soma...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Global Publishers

Mchungaji amfungia mwanaye ndani miaka 12

IMG_1239Timotheo anayedaiwa kufungiwa ndani na wazazi wake kwa miaka 12.

Na Mwandishi Wetu, UWAZI
SINGIDA: Mchungaji wa Kanisa la Pentekoste katika Kijiji cha Itaga mkoani Singida, David Mtipa (59) na mkewe, Maria Phillip (45), wanasota katika Gereza la Singida baada ya kushindwa masharti ya dhamana kufuatia kufikishwa mahakamani Ijumaa iliyopita kwa madai ya kumfungia ndani kwa miaka 12, mtoto wao, Timotheo (30).

Watuhimiwa hao walipandishwa kizimbani kwa madai ya kushindwa kumpatia huduma muhimu...

 

11 years ago

Mwananchi

UKATILI: Amfungia mtoto katika banda la mbuzi kwa miaka 10

>Juni 21 ilikuwa ni siku ya kawaida kwa Mama Nancy mkazi wa Narok nchini Kenya, lakini ilifichua siri nzito ya mtoto aliyefichwa kwa miaka kumi katika banda la mbuzi.

 

10 years ago

Dewji Blog

Mtoto wa miaka 9 aozeshwa na baba yake kwa mwanaume mwenye miaka 60

 Untitled

Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9).

Untitled 1

Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9) akiwa amepozi.

2 (2)

Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9) akizungumza jana na Msaidizi wa Kisheria wa Kataa ya Makuyuni Kijiji cha Makuyuni Wilaya ya Monduli Mkoa wa Arusha na Ofisa Maendeleo ya Jamii wa Kataa hiyo, Ruthi Mashambo (kulia).

3

Mtoto Ester Meliyo Lukumay (9) akizungumza jana na Msaidizi wa Kisheria wa Kataa ya Makuyuni Kijiji cha Makuyuni Wilaya ya Monduli Mkoa wa Arusha na Ofisa Maendeleo ya Jamii wa Kataa hiyo,...

 

11 years ago

Mwananchi

Baba wa miaka 54 aoa mtoto wa miaka minane

Polisi Wilaya ya Bunda, wanamshikilia baba mwenye umri wa miaka 54 kwa tuhuma kuoa mwanafunzi wa kike wa umri wa miaka minane.

 

10 years ago

GPL

BABA WA KIM NDANI YA VIDEO YA KANYE

Bruce Jenner ‘Caityln’. New York, Marekani
HABARI ya mjini kwa sasa ni juu ya baba wa kufikia wa mwanamitindo, Kim Kardashian aliyejibadilisha jinsia na kuwa mwanamke, Bruce Jenner ‘Caityln’ kuingizwa kwenye video ya wimbo mpya wa Kanye West. Chanzo kinaweka wazi kuwa kwa muda mrefu baba wa Caityln alikuwa akitamani kuonekana kama binti katika video za wanamuziki hasa kwa video zote zijazo za Kanye....

 

10 years ago

BBCSwahili

Baba amtupa mwanawe ndani ya maji

Mwanaume mmoja amefikishwa mahakamani kwa kosa la mauaji baada ya polisi kudai kuwa alimtupa mtoto wake mwenye umri wa miaka 5 kutoka juu ya daraja mjini St Petersburg.

 

11 years ago

Habarileo

Baba afungia ndani watoto 4 miezi 10

MWANAMUME mmoja mkazi wa Kijiji cha Msimba wilayani Uvinza, Kigoma, anashikiliwa na Polisi akidaiwa kufungia watoto wake wanne ndani ya nyumba na kuwashindisha njaa kwa takribani miezi 10.

 

11 years ago

GPL

WEMA AMFUNGIA DIAMOND, ASHINDWA KUMZIKA MZEE GURUMO

Stori: Musa Mateja na Shakoor Jongo
HAYA yanaweza kuwa ni mambo ya malovee! Kuna madai kwamba Mbongo Fleva Nasibu Abdul ‘Diamond’ alishindwa kushiriki zoezi la kuuaga mwili wa mwanamuziki mkongwe Tanzania, marehemu Muhidin Mwalimu Mohamed Gurumo ‘Maalim Gurumo’ kwa sababu alifungiwa asitoke ndani na mwandani wake madam Wema Sepetu, Ijumaa linakudadavulia. Wema Sepetu na Diamond wakiwa faragha. ...

 

10 years ago

GPL

MTITU AMJUA BABA YAKE AKIWA NA MIAKA 17

Na Mwandishi Wetu/Uwazi MKONGWE kunako filamu Bongo, William Mtitu amefunguka ya moyoni kuwa tangu amezaliwa alikuwa hamjui baba yake mzazi, Mtitu na amekuja kumjua akiwa tayari ametimiza miaka 17. Mwigizaji wa Bongo Muvi, William Mtitu akiwa na mwanaye Jane. Akizungumza na…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani