Francis Miyeyusho: Uswazi kunaharibu wanamichezo
Kutokana na mchezo wa ngumi kuonekana kuwa mgumu na kuhitaji watu wakakamavu, wenye nguvu na uvumilivu, asilimia kubwa ya wachezaji wake wamekuwa wakitokea maeneo ya uswahilini ‘uswazi’.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi17 Nov
Francis Miyeyusho ‘Chichimawe’
Mchezo wa ngumi ni miongoni mwa michezo iliyovuna idadi kubwa ya mashabiki ambao mara nyingi wamekuwa wakifurika katika kumbi mbalimbali nchini kushuhudia mabondia wanavyotupiana makonde klwa umahiri wa hali ya juu.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-WFbszeaREpw/VJyk9UrkYNI/AAAAAAAG518/BY34JsmIy9c/s72-c/fadhili%2Bcartoons..jpg)
11 years ago
Bongo528 Jul
The Refix: Chege — Uswazi Take Away (Ptod Lamar)
Producer Lamar anaendelea na Project yake ya kuzirudia nyimbo za Bongo na kuzitengeneza katika mahadhi ya dance hii Version ya wimbo wa “Uswazi Take Away” kutoka kwa Chege
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/V0siS8-FppA5xhmXWQp*K2Gce9B27piAx0w8OfmwyUK4Qmix8HdIp0eM0o7yE*c49FQTzvUZTTOB4B514ss5TKah7mHSIVww/1.gif?width=650)
Jaja, Coutinho wapewa nyumba Uswazi
Mshambuliaji wa Yanga SC, Geilson Santana ‘Jaja’. Na Mwandishi Wetu
WACHEZAJI wawili wa Yanga, raia wa Brazil, wameushangaza uongozi wa klabu hiyo baada ya kusema wanataka kuishi eneo la Kariakoo jijini Dar es Salaam. Kiungo Andrey Coutinho na mshambuliaji Geilson Santana ‘Jaja’, wameuambia uongozi wa Yanga wasingependa kuishi sehemu ambazo zinajumuisha matajiri au zinazoonekana za...
10 years ago
GPLUSIKU WA USWAZI NA WASWAZI NI NOMAAA DAR LIVE
Kundi la Umeme wakifanya yao stejini. Kala Pina akikumbushia ngoma za kitambo.…
10 years ago
GPL28 Dec
11 years ago
Mwananchi05 Apr
Miyeyusho ayayushwa
Pambano la bondia Francis Miyeyusho na Ronald Pontillas wa Ufilipino lililokuwa lifanyike leo limeahirishwa hadi Aprili 12, kutokana na sababu ambazo ziko juu ya uwezo wa waandaaji.
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Miyeyusho ‘ayeyushwa’
>Serikali imelifuta rasmi pambano la ngumi la ubingwa wa dunia kati ya Francis Miyeyusho na Victor Chernous kutoka Ukraine.
11 years ago
Mwananchi04 Mar
Miyeyusho kumvaa Mfilipino
Bondia Francis Miyeyusho amebadilishiwa mpinzani na sasa atazichapa na Ronald Pontillas wa Philippines badala ya Viktor Chernous wa Ukraine.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania