Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Francois Nguema:Rais katili aliyeabudu uchawi-2

Francois Macias Nguema, alikuwa rais wa kwanza wa Guinea ya Ikweta kuanzia Oktoba 12, hadi Agosti 3, 1979. Nguema anakumbukwa kwa mengi katika utawala wake, lakini kubwa ni tabia yake ya kuamini ushirikina.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS UFARANSA FRANCOIS HOLLANDE JIJINI PARIS

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili katika Ikulu ya Ufaransa maarufu kama Champs L’Elysee jijini Paris Jumatano jioni Januari 28, 2015 kuonana na mwenyeji wake Rais Francois Hollande. Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na mwenyeji wake Rais Francois Hollande katika Ikulu ya Ufaransa maarufu kama Champs L’Elysee jijini Paris Jumatano jioni Januari 28, 2015.Rais Jakaya Mrisho Kikwete na ujumbe wake wakiwa katika mazungumzo na mwenyeji wake kuonana na mwenyeji wake Rais Francois Hollande...

 

10 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AKUTANA NA RAIS WA UFARANSA FRANCOIS HOLLANDE JIJINI PARIS

  Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwasili katika Ikulu ya Ufaransa maarufu kama Champs L’Elysee jijini Paris Jumatano jioni Januari 28, 2015 kuonana na mwenyeji wake Rais Francois Hollande.…

 

11 years ago

Michuzi

MHE. RAIS TEODORO NGUEMA MBASONGO AZUNGUMZA NA KAMATI YA MABALOZI WA NCHI ZA AFRIKA, KARIBIANI NA PASIFIKI (ACP)

 Mhe. Rais Teodoro Nguema Mbasongo (katikati)  wa Guinea ya Ikweta  akiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Kamati ya Mabalozi wa ACP baada ya kuzungumza na Kamati ya Mabalozi. Mhe Rais Mbasongo amesisitiza umuhimu wa nchi za ACP kushirikiana kujenga uchumi na kufanya biashara.  Akimkaribisha Rais huyo kuzungumza na Kamati ya Mabalozi wa ACP  Balozi wa Tanzania Ubelgiji na Mwenyekiti kamati Balozi Dr. Diodorus Kamala  (wa pili kulia) amesema nchi za ACP zinapaswa kuhakikisha  Mikataba...

 

10 years ago

GPL

UCHAWI! UCHAWI! HAKIMU AFIA MAHAKAMANI

Stori: Makongoro Oging’ na Haruni Sanchawa
HAYA ndiyo majanga! Hali ya hewa ilibadilika ghafla katika Mahakama ya Mwanzo Ukonga, Dar kufuatia Mheshimiwa Hakimu Rogart Venance Alphonce (54) kuugua ghafla, kudondoka na kutokwa povu mdomoni na puani, hatimaye kufariki dunia! Inauma sana! Marehemu Hakimu Rogart Venance Alphonce enzi za uhai wake. Tukio hilo la kusikitisha na lililoibua vilio kwa watumishi wa mahakama hiyo...

 

10 years ago

Vijimambo

UCHAWI:1 NINI MAANA YA UCHAWI?


Al Azhari ambaye nimtungaji wa kamusimaarafu ya kiarabu iitwayo“LisanulArab” amesema:“Neno “Uchawi”, kwakiarabu “As Sihr”, maanayake ni kitendo chakujikurubisha na shetani nakwa msaada wake(shetani)”, na akasema piakuwa; “Uchawi nikulibadilisha jambo mbali nauhakika wake, nako nikuwadhihirishia watu jambolisilo la kweli wakalionakuwa ni la kweli.”Ama Sahaba Ibni Abbas(Radhiya Llaahu ‘anhu)amesema:"Uchawi ni kuidhirisha batilikatika sura ya haki."Hayo ni katika kamusi zalugha.Amma katika...

 

10 years ago

Michuzi

Francois Botha na rais wa chama cha ngumi cha dunia cha WBF, Howard Goldberg kuwasili nchini tayari kwa kusimamia pambano la masumbwi machi 27

 Bingwa wa zamani wa dunia wa uzito wa juu, Francois Botha na rais wa chama cha ngumi cha dunia cha WBF, Howard Goldberg wanatarajiwa kuwasili nchini kesho Machi 23, tayari kwa  kusimamia pambano la Mohamed Matumla Jr na Wang Xiu Hua wa China. 
Botha atawasili nchi kwa mara ya pili kwa mualiko maalumu wa Kampuni ya Hall Of Fame inayoandaa mapambano ya ngumi ndani na nje ya nchi. Nguli huyo wa masumbwi anatarajiwa kuwasili saa 12 jioni na ndege ya Shirika la ndege la Afrika Kusini sambamba na...

 

9 years ago

Global Publishers

Dunia katili!

IMG_0969Mtoto Sabrina akiwa na majeraha usoni baada ya kumwagiwa maji ya moto na jirani kisa TV.

Na Makongoro Oging’
UBINADAMU umeisha! Ni ajabu lakini ni kweli imetokea! Mtoto Sabrina (7), mkazi wa Tabata Msimbazi, Dar anakabiliwa na maumivu makali kufuatia majeraha yaliyotokana na kumwagiwa maji ya moto na mwanamke anayesemekana ni jirani yao.

Tukio hilo la kushangaza lilijiri saa sita mchana wa Desemba 6, mwaka huu wakati mtoto huyo alipokuwa akiangalia kupitia dirishani, kipindi cha watoto...

 

10 years ago

GPL

Beki katili: Tambwe aling'ata kidole

Straika wa Yanga, Amissi Tambwe akigombana na beki wa Ruvu Shooting, George Michael.
Sweetbert Lukonge na Said Ally
SIKU chache baada ya tukio la kumkaba straika wa Yanga, Amissi Tambwe katika mechi ya Ligi Kuu Bara, hatimaye beki wa Ruvu Shooting, George Michael maarufu kwa jina la Beki Katili, amefunguka na kusema kuwa, sababu kubwa ya kumkaba Tambwe ni kwa kuwa mpinzani wake huyo alimng’ata kwenye kidole. Ofisa...

 

11 years ago

GPL

SHIGONGO: HOMA YA INI NI UGONJWA KATILI LAZIMA TUUTOKOMEZE

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Global Publishers & General Enterprises Ltd, Eric Shigongo. Na  Mwandishi Wetu
MKURUGENZI Mtendaji wa Kampuni ya Global Publishers & General Enterprises Ltd, Eric Shigongo, ametoa wito kwa Watanzania wote kuungana katika kampeni ya kuutokomeza ugonjwa wa homa ya ini ambao kitaalamu unajulikana kama Hepatitis B. Global Publishers, imeanza rasmi kampeni za kuitokomeza hepatitis B ambazo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani