FREEMASON NYUMA YA AJALI YA BASI LA SUMRY
![](http://api.ning.com:80/files/6LjPLZ8wv3cUdI0ytZtKjnGKlPJilJINpl3ZCfTDcnhzhgejDg4z1xN09zF2U8at0wHtqrzAY-S4TWiL0dT6k3pW7WADJjnp/freemason.jpg?width=650)
Stori: MWANDISHI WETU IMANI ya kuabudu inayotiliwa shaka duniani ya Freemason imetajwa kuwa nyuma ya pazia la ajali mbaya ya Basi la Sumry iliyotokea katika Kijiji cha Ulyampiti mkoani Singida mwanzoni mwa wiki iliyopita na kusababisha vifo vya watu 19, wakiwemo polisi wa usalama barabarani wanne. Basi la Sumry lililopata ajali mbaya iliyotokea katika Kijiji cha Ulyampiti mkoani Singida mwanzoni mwa wiki iliyopita. Habari za...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q0SlC7VLXZ5CCeKTFaQFkfZutVRZr2nYI89fIipNvFnY1LYt50wKU18TSAUaOnepfOMS4Pw0idZ141adIpmA1ru/ajali3.jpg?width=650)
AJALI YA BASI LA SUMRY ILIYOUA WATU 19 WAKIWEMO ASKARI WANNE WA JESHI LA POLISI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
GLOBAL NEWS: AJALI MBAYA YA BASI LA SUMRY ILIYOPOTEZA MAISHA YA WATANZANIA MKOANI SINGIDA
11 years ago
Michuzi30 Apr
BASI LA SUMRY LAUA WATU 1( WAKATI WAKISITIRI MAITI ILIYOGONGWA NA GARI SINGIDA.
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/zSaPxWsKXfQnP_rz2cFLYndr134Dze4FNZsmYL6Nv3mndXZwS2NMYLv-SGEDJlBvl9NhHS1U3ryBQX_DQ5mFQVw7dmr7Uu6UlPDX4137x1YabIcpC82RJQ=s0-d-e1-ft#http://www.habarileo.co.tz/images/resized/images/sumry_300_183.jpg)
WATU 19 wakiwemo askari Polisi wanne wamepota maisha katika ajali ya barabarani, wakati basi linalomilikiwa na Kampuni ya Sumry, lilipopamia watu hao wakati wakimsitiri mtembea kwa miguu, aliyekufa kwa kugongwa na gari lisilofahamika. Ajali hiyo ilitokea usiku wa kuamkia jana katika Kijiji cha Utaho, kilometa 20 nje ya Mji wa Singida katika Barabara Kuu ya Singida Dodoma.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Singida, Kamishina Msaidizi Mwandamizi, Geofrey Kamwela, alisema jana kuwa...
11 years ago
Mwananchi01 May
Eneo la ajali ya Sumry Singida limeshaua 50
11 years ago
Mwananchi06 May
Sumry yatoa ubani wa Sh 5.5M ajali Singida
11 years ago
Mwananchi01 Apr
Sasa tuseme ajali za mabasi zimetosha ajali hizi basi
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Iumatxx-0jxasPBDdULT*gW5lzGeZagJNlTrdFsVCYK2yaY5H9b1TsRKyuHL6MCxvtDlKyaVFMTA-ivL4gXFfuOlNtMv6K9Y/IMG20140805WA0004.jpg)
AJALI YA BASI BUNDA
10 years ago
Mtanzania12 Mar
Ajali ya basi yaua 42 Iringa
WATU 42 wamefariki dunia na wengine 22 kujeruhiwa vibaya baada ya basi walilokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na lori lililokuwa limebeba mbao.
Ajali hiyo ilitokea jana asubuhi katika eneo la Changalawe, Mafinga mkoani Iringa.
Mmoja wa mashuhuda wa ajali hiyo aliiambia MTANZANIA kwamba basi hilo namba T438 CDE, mali ya Kampuni ya Majinjah Express lilikuwa likitoka Mbeya kwenda Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa shuhuda huyo basi hilo liligongana na lori hilo lililokuwa likitoka Iringa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/J9FGucqSAtHJQbN51R5097aEYomqk76mqD4RosJ5tP8lDOFqF0TKK7XOrpa9iyqCUMAYiOMmj0CfkIlaQPlIOLY8asg5acI*/breakingnews.gif)
AJALI YA BASI YAUA 20 DODOMA