Eneo la ajali ya Sumry Singida limeshaua 50
Wakati miili 15 ya marehemu waliofariki dunia kwa kugongwa na basi katika Kijiji cha Utaho mkoani Singida ikizikwa juzi, imeelezwa kuwa eneo hilo limekithiri kwa ajali hadi kuwatisha wanakijiji.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi06 May
Sumry yatoa ubani wa Sh 5.5M ajali Singida
Uongozi wa Kampuni ya Mabasi ya Sumry ya Sumbawanga, Rukwa umetoa ubani wa Sh5.5 milioni kwa familia za ndugu na jamaa waliofariki dunia kutokana na ajali ya moja ya mabasi yake iliyotokea Aprili 28 katika Kijiji cha Utaho, Wilaya ya Ikungi, Singida.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
GLOBAL NEWS: AJALI MBAYA YA BASI LA SUMRY ILIYOPOTEZA MAISHA YA WATANZANIA MKOANI SINGIDA
AJALI mbaya ya basi la Sumry iliyopoteza roho za Watanzania huko mkoani Singida mwanzoni mwa wiki hii. Watu 19 mpaka sasa wameripotiwa kupoteza maisha kutokana na ajali hiyo. Ungana na mtangazaji wako Joseph Shaluwa kutoka Global TV Online, kuona hali ilivyokuwa eneo la ajali…
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/6LjPLZ8wv3cUdI0ytZtKjnGKlPJilJINpl3ZCfTDcnhzhgejDg4z1xN09zF2U8at0wHtqrzAY-S4TWiL0dT6k3pW7WADJjnp/freemason.jpg?width=650)
FREEMASON NYUMA YA AJALI YA BASI LA SUMRY
Stori: MWANDISHI WETU IMANI ya kuabudu inayotiliwa shaka duniani ya Freemason imetajwa kuwa nyuma ya pazia la ajali mbaya ya Basi la Sumry iliyotokea katika Kijiji cha Ulyampiti mkoani Singida mwanzoni mwa wiki iliyopita na kusababisha vifo vya watu 19, wakiwemo polisi wa usalama barabarani wanne. Basi la Sumry lililopata ajali mbaya iliyotokea katika Kijiji cha Ulyampiti mkoani Singida mwanzoni mwa wiki iliyopita. Habari za...
11 years ago
Michuzi30 Apr
BASI LA SUMRY LAUA WATU 1( WAKATI WAKISITIRI MAITI ILIYOGONGWA NA GARI SINGIDA.
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/zSaPxWsKXfQnP_rz2cFLYndr134Dze4FNZsmYL6Nv3mndXZwS2NMYLv-SGEDJlBvl9NhHS1U3ryBQX_DQ5mFQVw7dmr7Uu6UlPDX4137x1YabIcpC82RJQ=s0-d-e1-ft#http://www.habarileo.co.tz/images/resized/images/sumry_300_183.jpg)
WATU 19 wakiwemo askari Polisi wanne wamepota maisha katika ajali ya barabarani, wakati basi linalomilikiwa na Kampuni ya Sumry, lilipopamia watu hao wakati wakimsitiri mtembea kwa miguu, aliyekufa kwa kugongwa na gari lisilofahamika. Ajali hiyo ilitokea usiku wa kuamkia jana katika Kijiji cha Utaho, kilometa 20 nje ya Mji wa Singida katika Barabara Kuu ya Singida Dodoma.
Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Singida, Kamishina Msaidizi Mwandamizi, Geofrey Kamwela, alisema jana kuwa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mL7vEimd6q0SlC7VLXZ5CCeKTFaQFkfZutVRZr2nYI89fIipNvFnY1LYt50wKU18TSAUaOnepfOMS4Pw0idZ141adIpmA1ru/ajali3.jpg?width=650)
AJALI YA BASI LA SUMRY ILIYOUA WATU 19 WAKIWEMO ASKARI WANNE WA JESHI LA POLISI
Basi la kampuni ya Sumry lenye namba za usajili, T 799 BET lililouwa watu 18 mkoani Singida. Gari la polisi likiwa limepakia maiti zaidi ya kumi zikipelekwa hospitali ya mkoa wa Singida kwa ajili ya kuhifadhiwa na kutambuliwa.…
5 years ago
CCM BlogSINGIDA YAADHIMISHA MIAKA 43 YA CCM KWA KISHINDO, YATOA MSIMAMO ENEO LINASTAHILI KUJENGWA MAKAO MAKUU YA HALMASHAURI YA SINGIDA VIJIJINI
Na Godwin Myovela, Singida
Baada ya mvutano mkubwa ambao umekuwepo baina ya madiwani, viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na viongozi wa Serikali kuhusu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/vD-hYj2mu0RuBBafIJDkkE9J9sEYeuLIimTmXZUx8Mchxhre3rzcnpPSLdjZydRRaQwkgkA-A2wUGKkflEkAcaq4O8deqLi1/IMG20140901WA00081.jpg)
AJALI YA GARI ENEO LA TAZARA
Gari aina ya Toyota Landcruiser VX lenye namba za usajili T540 APN lililopinduka maeneo ya Tazara. Polisi akilitazama gari lililopata ajali eneo la tukio. Pichani juu na chini Wananchi wakishuhudia kwa karibu zaidi ajali mbaya iliyotokea maeneo ya Tazara.…
10 years ago
GPLAJALI YATOKEA ENEO LA BAMAGA, DAR
Gari aina ya Nissan Navara lenye namba za usajili T 900 CEH likiwa eneo la Bamaga, Mwenge jijini Dar baada ya kugongana na daladala aina ya Coaster lenye namba za usajili T 869 AZU linalofanya safari zake kati ya Mwenge - Kariakoo jioni hii. Daladala aina ya Coaster lenye namba za usajili T 869 AZU…
11 years ago
Tanzania Daima19 Jun
Maiti yakaa eneo la ajali saa 21
MWILI wa Idd Shamba aliyefariki dunia kwa ajali ya barabarabi katika Kijiji cha Engaruka wilayani hapa, imekaa barabarani kwa zaidi ya saa 21 ikisubiri polisi na daktari kufika eneo la...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania