Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


FRIDA MTEI NA LAVORN CRYOR WAMEREMETA

Frida Mtei na Lavorn Cryor wakipata picha ya pamoja kwenye sherehe ya harusi yao iliyofanyika siku ya Jumampili Sept 21, 2014 katika ukumbi wa La Fontaine Blue uliopo Lanham, Maryland nichini Marekani na kuhudhuriwa na ndugu, jamaa na marafiki kutoka sehemu mbalimbali akiwemo mama mzazi na ndugu zake Bi. harusi kutoka Tanzania.Bwn. na Bi harusi wakiingia ukumbini kusherehekea harusi yao iliyofanyika siku ya Jumampili Sept. 21, 2014 katika ukumbi wa La Fontaine Blue uliopo Lanham, Maryland...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Frida and Lavorn Wedding - Official photos.

Frida na Lavorn wakipata ukodak moment baada ya kufunga pingu za maisha siku ya Jumapili tarehe 21 September katika mji wa Takoma Park uliopo state ya Maryland USAFrida na Lavorn katika poziFrida na Lavorn pamoja na wapambe wao katika picha ya pamoja
Kwa picha zaidi mtembelee IskaJoJo (www.iskajojostudios.com) Hapa

 

11 years ago

IPPmedia

Dr Frida Mokiti, Chief Regional physician


IPPmedia
Dr Frida Mokiti, Chief Regional physician
IPPmedia
At least 17 people were severely injured when a device believed to be a bomb exploded at Night Park bar, where they were watching a football match on television on Sunday night. Dr Frida Mokiti the Chief Regional physician said eleven people out of the 17 ...

 

9 years ago

Mtanzania

Frida wa BSS: Mazingira yanakwamisha wasichana kushindana

FRIDA AMANI BSSMSHINDI wa tatu katika shindano la Bongo Star Search (BSS) 2015, Frida Aman, amesema mazingira magumu na tamaduni kandamizi ndizo zinazochangia kumkandamiza msichana hasiweze kushindana na wanaume katika kila jambo ikiwemo muziki.

Alisema anaamini mazingira wanayopitia wasichana yangekuwa yanapitiwa na wavulana hali za ushindani zingekuwa sawa, lakini wasichana wengi wanaonekana kushindwa kwenda na kasi ya wavulana kwa kuwa tu mazingira yao yanatofautiana sana.

“Mimi naweza kutaka kujifunza...

 

11 years ago

Michuzi

Ankal uso kwa uso na frida fashion jijini London

 Ankal akiwa na muasisi na mwanzilishi wa Fashion show nchini Tanzania Da' Farida Matata a.k.a Farida Fashion ambaye alianzisha mambo ya fashion show miaka ya 1986 na kuwatoa warembo wengi kitaifa na kimataifa. Hivi sasa anaendesha biashara kibao jijini London ikiwa ni pamoja na mkahawa wa vyakula vya Kiswahili sehemu ya Tottenham Hale wenye jina la hapo juu. Ankal  ametembelea hapo na kupata msosi wa nguvu wa wali wa nazi kwa samaki hapo chini
 Before....  After.....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kutana na Edwin Mtei

Edwin Mtei ni mwasisi na Mwenyekiti wa kwanza wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Katika mfululizo wa simulizi hii, anasimulia maisha yake ya kuchunga mbuzi hadi kuwa gavana wa...

 

11 years ago

Michuzi

ALVIN NA SUSAN WAMEREMETA


 Alvin akivisha pete Susan kwenye harusi yao iliyofanyika siku ya Jumamosi Aug 2, 2014 kwenye ukumbi wa Noah's uliopo Fairview ma kuhudhuriwa ndugu, jamaa na marafiki kutoka kila kona ya Dunia. Susan akimvisha pete Alvin kwenye harusi yao iliyofanyika siku ya Jumamosi Aug 2, 2014 kwenye ukumbi wa Noah's uliopo Fairview ma kuhudhuriwa ndugu, jamaa na marafiki kutoka kila kona ya Dunia.Maharusi wakichum baada kufunga ndoa yao.Maharusi wakitoka nje baada ya ndoa yao kumalizika kuelekea kupata...

 

10 years ago

Vijimambo

EMMANUEL NA HAPPY WAMEREMETA

Bwana na Bi. harusi wakiingia kwenye ukumbi wa Best Western Lanham, Maryland siku ya Jumamosi April 4, 2015 kusherehekea harusi yao iliyohudhuria na ndugu,jamaa na marafiki kutoka sehemu mbalimbali ikiwemo Tanzania.Bwana na Bi. harusi wakiingia ukumbini huku wakipigiwa vigeregere.Ndug, jamaa na marafiki wakiwashangilia huku wengine wakipata ukodak moment baada ya maharusi kufika meza kuu.Maharusi wakiwa meza kuu.Maharusi na wapambe wao.Maharusi wakichukua chakula.Maharusi wakila chakula.Bi....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani