EMMANUEL NA HAPPY WAMEREMETA
Bwana na Bi. harusi wakiingia kwenye ukumbi wa Best Western Lanham, Maryland siku ya Jumamosi April 4, 2015 kusherehekea harusi yao iliyohudhuria na ndugu,jamaa na marafiki kutoka sehemu mbalimbali ikiwemo Tanzania.
Bwana na Bi. harusi wakiingia ukumbini huku wakipigiwa vigeregere.
Ndug, jamaa na marafiki wakiwashangilia huku wengine wakipata ukodak moment baada ya maharusi kufika meza kuu.
Maharusi wakiwa meza kuu.
Maharusi na wapambe wao.
Maharusi wakichukua chakula.
Maharusi wakila chakula.
Bi....
Vijimambo
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboHARUSI YA EMMANUEL NA HAPPY CAPITOL HEIGHTS, MARYLAND
11 years ago
MichuziALVIN NA SUSAN WAMEREMETA
Alvin akivisha pete Susan kwenye harusi yao iliyofanyika siku ya Jumamosi Aug 2, 2014 kwenye ukumbi wa Noah's uliopo Fairview ma kuhudhuriwa ndugu, jamaa na marafiki kutoka kila kona ya Dunia.
10 years ago
VijimamboFEISAL NA CHERRYSE WAMEREMETA
11 years ago
Michuzi15 Jun
wadau zuberi na asha wameremeta
Sherehe za harusi ya Bw. Zuberi Hamis Khalid na Asha Shaban Maji katika ukumbi wa Marquee wa Serena Hotel jijini Dar es salaam Jumamosi Juni 14, 2014
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-Bht5MjHKzV8/Ux2muPb1z_I/AAAAAAAFSsI/cUlU_JTiQtw/s72-c/unnamed.jpg)
wadau sereki na zainab wameremeta
![](http://3.bp.blogspot.com/-Bht5MjHKzV8/Ux2muPb1z_I/AAAAAAAFSsI/cUlU_JTiQtw/s1600/unnamed.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-twACV6AXhuc/Ux2mxlHM_XI/AAAAAAAFSsQ/RCmH0feLzo4/s1600/unnamed+(2).jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-oKLJi838WkM/Ux2mzr7D04I/AAAAAAAFSsY/l05bZc41ZME/s1600/unnamed+(9).jpg)
11 years ago
GPLAZIZ HASHIM, ZAINAB WAMEREMETA
11 years ago
GPLWANANDOA COSMAS NA ROSE WAMEREMETA
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6llrmIG7_Dk/VUZQssEVUXI/AAAAAAAAHJw/TBRfeCUmjPg/s72-c/3.jpg)
ADAM MZEE NA LILIAN WAMEREMETA
![](http://3.bp.blogspot.com/-6llrmIG7_Dk/VUZQssEVUXI/AAAAAAAAHJw/TBRfeCUmjPg/s1600/3.jpg)
Adam Mzee ni mtumishi wa Chama Cha Mapinduzi Makao Makuu ,Idara ya Itikadi na Uenezi,na ni mmiliki wa blog maarufu ya Kamerayangu na Lilian ni mtumishi wa NMB Makao Makuu.
![](http://2.bp.blogspot.com/-_Qz953lcNm0/VUZQsl_RllI/AAAAAAAAHJ0/jVt1YHOw-RY/s1600/IMG-20150503-WA0031.jpg)
10 years ago
VijimamboBARAKA BITARIHO NA EDITH MCHOMVU WAMEREMETA
Baraka Betariho na Edith Mchomvu wameremeta baada ya kufunga ndoa ndani ya Chapel Church of Christ Upper Darby, PA. Na kufuatiwa na sherehe ndani ya ukumbi wa St Demetrios Greek Orthodox Church huko huko Philadelphia U.S.A.
Bibi harusi akiwa ng'aring'ari
Bwana harusi na ukodak moment.
Vijana wakismile mbele ya ukodak full kuvunja kabati