Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Friday, Sept. 4, 2015: Gun background checks, drone dangers, leave handouts to ...


Friday, Sept. 4, 2015: Gun background checks, drone dangers, leave handouts to ...
Bangor Daily News
In regards to the Aug 31 article about a program providing students with free supplies, I find it confusing that a child whose family can afford a safari in Tanzania takes advantage of free shoes and boots and school supplies. Hopefully there is not a ...

Bangor Daily News

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Top jobs for this week Friday July 9th, 2015-Wednesday July 16th 2015

vacancies

COMPANY NAME            JOB LINK

1.Elite Career Choices    http://www.brightermonday.co.tz/jobs/assistant-quality-control-manager

2.Bank of Tanzania (BoT)   http://www.brightermonday.co.tz/jobs/estate-officer-iii

3. Sugar Board of Tanzania http://www.brightermonday.co.tz/jobs/assistant-human-resources-administration-officer-ii-1-post

4. AGP Tax & Accounting Consultants http://www.brightermonday.co.tz/jobs/itsocial-media-specialist

5. Meyer Enterprises Limited...

 

9 years ago

Vijimambo

Flashback Pride Fm Sept 20 2015 na Mubelwa Bandio

Photo Credits: lostpedia.wikia.com
FLASHBACK ni kipindi kutoka PRIDE FM Mtwara Tanzania,kinachokupatia fursa ya kusikiliza miziki iliyotamba katika miaka iliyopita.
Kipindi hiki hutayarishwa na kutangazwa na Mussa Yusuph kila Jumapili kuanzia saa nane kamili mchana mpaka kumi kamili jioni kwa majira ya Afrika Mashariki.
Wiki hii (kama ilivyokuwa kwa wiki mbili zilizopita), kipindi kimetayarishwa kutoka KILIMANJARO STUDIO zilizopo Beltsville MD na Mubelwa Bandio KARIBU

 

9 years ago

Michuzi

Kipindi cha JUKWAA LANGU Sept 28 2015 (FULL)

Kipindi hiki hukujia kila JUMATATU, kujadili mambo mbalimbali na zaidi kuhusu UCHAGUZI MKUU WA TANZANIA 2015Hiki ni kipindi kilichosikika Septemba 28, 2015Kutoka Tanzania tuliungana na Liberatus Mwang'ombe. Mgombea ubunge jimbo la Mbarali kwa tiketi ya CHADEMAStudioni alikuwepo Dj Luke Joe, na kwa njia ya simu tukaungana na wasikilizaji wengi ndani na nje ya MarekaniKARIBU

 

9 years ago

Vijimambo

[AUDIO]: Kipindi cha JUKWAA LANGU Sept 14 2015

Kipindi hiki hukujia kila JUMATATU, kujadili mambo mbalimbali na zaidi kuhusu UCHAGUZI MKUU WA TANZANIA 2015
Hii ni sehemu ya pili ya kipindi kilichosikika Septemba 14, 2015
Kutoka Tanzania tuliungana na Jonathan Samiya na Nyakia, ambaye ni mmoja wa wakuu wa Itifaki wa kampeni za Dr Magufuli
Studioni alikuwepo Dj Luke Joe, Clare Ng'owo, Ali Badawy na Shamis Abdulla
Kwenye line tulikuwa na Jeff Msangi, Dr Patrick Nhigula na Arthur

 

9 years ago

Vijimambo

Maonyesho ya ndege za kivita Washington DMV Sept 19, 2015

Picha kwa hisani ya Vijimambo na Kwanza Production
Maonyesho hayo yasiyo na kiingilio, yaliambatana na maadhimisho ya miaka 100 ya jeshi la maji nchini hapa. Maonyesho ya ndege za kivita na vifaa vingine kutoka majeshi ya Marekani, yamefanyika leo na kuhudhuriwa na maelfu ya watazamaji.
 Askari miavuli wakishuka kwa aina yake
 Mmoja wa askari wa mwavuli akishuka katika ufunguzi wa maonyesho hayo
 F-22 Raptor

 F-22 a.k.a Raptor na Mustang zikifanya onyesho la pamoja
 F-22 a.k.a Raptor ikisalimu...

 

9 years ago

Michuzi

Maonesho ya ndege za kivita Washington DMV Jana Sept 19, 2015

Picha kwa hisani ya Vijimambo na Kwanza Production Maonyesho hayo yasiyo na kiingilio, yaliambatana na maadhimisho ya miaka 100 ya jeshi la maji nchini hapa.Maonyesho ya ndege za kivita na vifaa vingine kutoka majeshi ya Marekani, yamefanyika leo na kuhudhuriwa na maelfu ya watazamaji. Askari miavuli wakishuka kwa aina yake Mmoja wa askari wa mwavuli akishuka katika ufunguzi wa maonyesho hayo.Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

9 years ago

Vijimambo

Flashback ya Pride Fm Sept 13 2015 na Mubelwa Bandio na DJ Luke Joe

Photo Credits: lostpedia.wikia.com
FLASHBACK ni kipindi kutoka PRIDE FM Mtwara Tanzania,kinachokupatia fursa ya kusikiliza miziki iliyotamba katika miaka iliyopita.
Kipindi hiki hutayarishwa na kutangazwa na Mussa Yusuph kila Jumapili kuanzia saa nane kamili mchana mpaka kumi kamili jioni kwa majira ya Afrika Mashariki.
Wiki iliyopita (kama ilivyokuwa kwa wiki iliyotangulia), kipindi kilitayarishwa na kutangazwa toka KILIMANJARO STUDIO zilizopo Beltsville MD na Mubelwa Bandio na mgeni wa wiki,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani