Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Fukwe za Rio de Janeiro ni chafu.

Kamati kuu ya Kimataifa ya Olimpiki imesema kuwa uchafuzi wa bahari ni moja ya vikwazo vya maandalizi ya Olympik Rio de Jeneiro

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Sheraton Hotel Rio De Janeiro Welcomes Zuriel Oduwole as Argentina Team Arrives there too

As part of her three continent and five nation special project tour in support of Girls Education, Zuriel a few days ago arrived in Rio De Janeiro from Sao Paulo - Brazil. The General Manager of Sheraton Hotel & Resorts Rio, Marcelo Moretti was glad to personally welcome his youngest VIP guest the flagship property, perched right on the edge of the South Atlantic Ocean.  Carrying her 'tour Brazuca footballs' that would accompany her on the 5 nation visit including Ethiopia, Nigeria, South...

 

10 years ago

Mwananchi

Fukwe tano bora duniani

Fukwe ni kivutio kizuri cha utalii. Mara nyingi sehemu hizi huwa ni mahususi kwa kupumzika na kuburudika.

 

11 years ago

Mwananchi

Sherehe zinaendelea fukwe za Copacabana

Fainali za Kombe la Dunia 2014 zilizoanza Juni 12 na kushirikisha timu 32 hivi sasa zimefikia patamu kwani baadhi ya timu zimesonga mbele hatua ya 16 bora huku nyingine zikiaga fainali hizo.

 

11 years ago

Mwananchi

Fukwe za Tanzania uchochoro wa dawa za kulevya

>Wakati vita ya kupambana na biashara ya dawa za kulevya ikiendelea nchini, wasafirishaji wa dawa hizo wameanza kutumia fukwe ndogondogo za bahari nchini kuziingiza kutoka Mashariki ya mbali, gazeti hili limebaini.

 

10 years ago

GPL

RIHANNA AJIACHIA FUKWE ZA HAWAII, MAREKANI

Mwanamuziki, Robyn Rihanna Fenty (27) 'Rihanna' akitembea akiwa kashika glasi ya juisi  katika fukwe za Hawaii, Marekani  jana Jumapili. Rihanna akijiachia na marafiki zake katika fukwe hizo. Kushoto ni rafiki yake wa karibu Melissa Forde.…

 

10 years ago

Mwananchi

FORODHANI : Fukwe ya mapochopocho visiwani Zanzibar

Kwa wale wanaopenda kula vyakula vya baharini au vile vyenye mahadhi ya Kizanzibari, Forodhani ndiyo mahali pake, ni sehemu tulivu iliyo kwenye ufukwe wa Bahari ya Hindi, lakini iliyotengenezwa kwa mandhali ya bustani kwa watu kustarehe na kupata vyakula.

 

11 years ago

Mwananchi

UTALII: Bayi sasa inapamba fukwe za Ziwa Nyasa

Wilaya ya Nyasa mkoani Ruvuma imebarikiwa kuwa na fukwe za asili ambazo hazifanani na fukwe nyingine zozote duniani.

 

5 years ago

Michuzi

RC CHALAMILA ABAINI KINACHOKWAMISHA MAENDELEO YA UTALII FUKWE ZA ZIWA NYASA

RC Chalamila abaini kinachokwamisha maendeleo ya utalii fukwe za Ziwa Nyasa Mkuu wa Mkoa (RC) wa Mbeya, Albert Chalamila wiki hii alifanya ukaguzi wa Fukwe za Ziwa Nyasa, hususan eneo la fukwe za Matema wilayani Kyela kwa lengo la kubaini changamoto zinazokwamisha maendeleo ya Sekta ya Utalii katika eneo hilo.
Chalamila alieleza jinsi ambavyo barabara iliyojengwa kwa maagizo ya Rais John Magufuli kutoka Kyela Mjini hadi fukwe za Matema, iliyogharimu Sh. 65 bilioni ilivyoongeza fursa ya ukuaji...

 

5 years ago

Michuzi

WAZIRI ZUNGU ASHIRIKI USAFI WA FUKWE ZA BAHARI JIJINI DAR ES SALAAM

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Muungano na Mazingira Mh. Mussa Zungu ameawagiza Wakurugenzi wa Manispaa za Ilala na Kinondoni kuhakikisha fukwe zote zilizopo katika Manispaa zao zinasafishwa na  kufanyiwa usafi kila mara na kukusanya uchafu wote uliokusanywa katika maeneo ya fukwe. Ameyasema hayo wakati aliposhiriki usafi wa kusafisha fukwe za bahari eneo la Salander Bridge jijini Dar es Salaam.
Aliongeza kuwa anawashukuru sana kikundi cha utunzaji wa mazingira cha Save the Coast kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani