Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Full video ya Edward Lowassa alivyotangaza kujiunga na UKAWA

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MHE.EDWARD LOWASSA AKARIBISHWA RASMI KUJIUNGA NA UKAWA.,MGOMBEA URAIS KUTANGAZWA AGOSTI 4

 Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi Mhe.James Mbatia (pichani kati) akizungumza mbele ya Waandishi wa Habari mapema leo mchana kwenye makao makuu ya chama cha CUF jijini Dar,akiwa sambamba na baadhi ya viongozi wengine wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA),pichani kushoto ni Mwenyekiti wa chama cha CHADEMA,Mhe,Freeman Mbowe,Mwenyekiti wa Taifa wa chama cha CUF-Prof.Ibrahim Lipumba na wa pili kulia ni Mwenyekitiwa chama cha NLD Dkt.Emmanuel Makaidi.Katika mkutano huo ulizungumzia...

 

9 years ago

IPPmedia

UKAWA presidential candidate Edward Lowassa


Quartz
UKAWA presidential candidate Edward Lowassa
IPPmedia
Chadema presidential candidate Edward Lowassa has finally become vocal over his anti-corruption stance, after nearly a month of silence over the issue his political rivals would use as a weapon to counter his moves to the State House. Lowassa, who ...
WhatsApp is now the primary platform for political trash talk in Tanzania's ...Quartz
Tanzania: campaign gets ugly with 3 weeks to pollsGhanaWeb
Candidate boards bus in attempts of 'shading'...

 

10 years ago

GPL

JACQUELINE WOLPER AMFUATA EDWARD LOWASSA UKAWA!

Shani ramadhani Liwalo na liwe! Kinara wa sinema za Kibongo, Jacqueline Wolper Massawe ameahidi kuambatana na waziri mkuu wa zamani ambaye ni Mbunge wa Monduli kwa leseni ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Edward Ngoyai Lowassa kwenye safari yake ya kuhamia kwenye muungano wa vyama vya upinzani vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa). ...Soma zaidi===>http://bit.ly/1VIouKY ...

 

10 years ago

Mwananchi

Lowassa atangaza rasmi kujiunga na Ukawa

Aliyekuwa waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa ametangaza rasmi leo kuhama CCM

 

10 years ago

Africanjam.Com

FORMER PRIME MINISTER EDWARD LOWASSA OFFICIALLY JOINED OPPOSITION "UKAWA"

The top leadership of the opposition coalition today officially opened the way for former Prime Minister Edward Lowassa to join the coalition popularly known as Ukawa. Mr Freeman Mbowe (Chadema), Prof Ibrahim Lipumba (CUF), James Mbatia (NCCR-Mageuzi) and Emmanuel Makaidi of NLD told a joint press conference in Dar es Salaam that Mr Lowassa and other Tanzanians were welcome to join efforts to bring change in the country by removing CCM from power.
Their declaration suggests the political...

 

9 years ago

StarTV

Mgombea Urais UKAWA Edward Lowassa asisitiza kutumia TEKNOHAMA

Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kinachoungwa mkono na  Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA Edward Lowassa amesema Sera yake anayoitumia ya Elimu kwanza si kwa mfumo uliopo sasa bali atabadilisha mfumo mzima na kuufanya kuwa wa TEKNOHAMA.

Amedai teknolojia hiyo ataifanya iweze kuwafikia wananchi kwa wepesi kwa kutumia rasilimali zilizopo kama Gesi asilia, madini ,vyanzo vya utalii na fedha zilizopo kwa kuwa anaamini Serikali bado ina pesa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani