GAPCO YAZINDUA KILAINISHI KIPYA CHA PIKIPIKI
Mohamed Mpinga na Macharia Irungu wakizindua kilainishi cha Relstar Alpha 4T jijini Dar es Salaam. Mohamed Mpinga na Macharia Irungu wakishangilia baada ya uzinduzi huo.…
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
MichuziGAPCO YAZINDUA KILAINISHA KIPYA CHA PIKIPIKI
Akizungumza na waandishi wa Habari wakati wa uzinduzi huo, Mkurugenzi Mkuu wa Gapco, Bwana. Macharia Irungu alisema, “Utafiti umetuonyesha kwa sasa watumiaji wamiliki wengi wa pikipiki wanalazimishwa kutembelea gereji mara mbili kwa mwezi kwa ajili ya...
10 years ago
Vijimambo13 Dec
MANISPAA YA KINONDONI YAZINDUA HUDUMA YA BURE YA INTERNETI KWENYE KITUO KIPYA CHA DALADALA CHA SIMU2000
![](https://4.bp.blogspot.com/-wJv_GGAc-Ls/VIvoHinBNPI/AAAAAAAAsCQ/9xL20rGX1d4/s1600/7.%2BMtandao%2Bkatika%2Bsimu%2Bbaada%2Bya%2Bkuzinduliwaa.jpg)
Akizindua huduma hiyo, jana, Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yussuf Mwenda alisema, mtandao wa WiFi umeunganishwa kwenye kituo hicho kupitia mkongo wa mawasiliano kupitia Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL).
Mwenda alisema, mtandao huo utakuwepo usiku na...
10 years ago
Michuzi13 Dec
MANISPAA YA KINONDONI YAZINDUA HUDUMA YA BURE YA INTERNETI KWENYE KITUO KIPYA CHA DALADALA CHA SINZA
![](https://4.bp.blogspot.com/-wJv_GGAc-Ls/VIvoHinBNPI/AAAAAAAAsCQ/9xL20rGX1d4/s1600/7.%2BMtandao%2Bkatika%2Bsimu%2Bbaada%2Bya%2Bkuzinduliwaa.jpg)
Akizindua huduma hiyo, jana, Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yussuf Mwenda alisema, mtandao wa WiFi umeunganishwa kwenye kituo hicho kupitia mkongo wa mawasiliano kupitia Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL).
Mwenda alisema, mtandao huo utakuwepo usiku na...
10 years ago
MichuziE FM 93.7 yazindua kipindi kipya cha Sports Headquarter
Kitakuwa kinaruka Jumatatu mpaka Ijumaa saa tatu Asubuhi mpaka saa sita mchana. Hii no katika historia...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-WpiEj55I2fk/U4l17Nz22mI/AAAAAAAFmsc/mDxDrI5WTwg/s72-c/0L7C0227.jpg)
serengeti breweries yazindua kilaji kipya cha platinum
![](http://1.bp.blogspot.com/-WpiEj55I2fk/U4l17Nz22mI/AAAAAAAFmsc/mDxDrI5WTwg/s1600/0L7C0227.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-zhgP7vafn8A/U4l17puMkYI/AAAAAAAFmsk/sdqzL3zzd-I/s1600/0L7C0236.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-bSxmhCavdws/U4l1-X7w9TI/AAAAAAAFmsw/daHltJ6AHcs/s1600/0L7C0238.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-VRElfUZqOLM/U4l2BByGmyI/AAAAAAAFms8/CgkwO-oK-rM/s1600/0L7C0257.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-bfV-_5RXGhc/U4l2CNkDkcI/AAAAAAAFmtI/AsMga_R8BK8/s1600/0L7C0266.jpg)
10 years ago
Michuzi04 Feb
MULTICHOICE YAZINDUA KING’AMUZI KIPYA CHA DStv HD
![DSC_0100](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2015/02/DSC_0100.jpg)
Meneja Uhusiano wa MultiChoice Tanzania, Barbara Kambogi (Katikati) akifafanua jambo kwenye mkutano na wanahabari (hawapo pichani), wakati wa hafla fupi ya uzinduzi wa king'amuziki kipya cha DStv HD leo jijini Dar. Kulia ni kwake ni Meneja uendeshaji wa Multichoice Tanzania, Ronald Shelukindo na kushoto ni Meneja Masoko wa Multichoice Tanzania, Furaha Samalu.(Picha na Zainul Mzige wa modewjiblog)
Na Andrew ChaleKAMPUNI ya MultiChoice Tanzania wasambazaji wa ving’amuzi vya DStv,...
10 years ago
MichuziTDL YAZINDUA KINYWAJI KIPYA CHA KIMATAIFA, FYFE'S SCOTCH WHISKY KATIKA SOKO LA TANZANIA
Akizungumza katika hafla ya uzinduzi wa kinywaji hicho Dar es Salaam jana, Mkurugenzi Mtendaji wa TDL, David Mgwassa alisema Fyfe's ni kinywaji maridhawa kinachoandaliwa kikamilifu kikiwa na radha murua na ya kipee.
"Ubora wa kinywaji hiki unatokana na umahiri mkubwa wa waandaaji na pia unatokana kimea na nafaka bora...
10 years ago
Dewji Blog22 Aug
Kampuni ya Tanzania Distilleries Ltd (TDL) yazindua kinywaji kipya cha kimataifa, Fyfe’s Scotch Whisky katika soko la Tanzania
Mkurugenzi mtendaji wa TDL David Mgwasa akielezea na kutoa ufafanuzi wa Kinywaji kipya aina ya Fyfe’s.Kampuni ya Tanzania distilleries ltd (tdl) Juzi Tarehe 20 mwezi wa 8 2014 imefanya uzinduzi wa kinywaji chake kipaya aina ya Fyfe’s katika hoteli ya Serena, Kinywaji hicho ambacho uhalisia wake na uzindikaji ni wa nchini scotland.Mkurugenzi wa TDL David Mgwasa amewaomba waTanzania kukipokea kinywaji hicho kwenye soko la vimiminika kwani kina ubora wa hali ya juu na kimetengenezwa kwa...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-47uDqh2mhII/VHOZ3PtVCaI/AAAAAAABFyA/fyyBnU5cqnI/s72-c/003.jpg)
GAPCO YAZINDUA KADI MAALUM ZA SAFARI ZITAKAZOWEZESHA DEREVA KUPATA UNAFUU WA BEI YA MAFUTA KATIKA VITUO VYOTE, TANZANIA
![](http://1.bp.blogspot.com/-47uDqh2mhII/VHOZ3PtVCaI/AAAAAAABFyA/fyyBnU5cqnI/s1600/003.jpg)