serengeti breweries yazindua kilaji kipya cha platinum
![](http://1.bp.blogspot.com/-WpiEj55I2fk/U4l17Nz22mI/AAAAAAAFmsc/mDxDrI5WTwg/s72-c/0L7C0227.jpg)
Wadau wakifurahia uzinduzi wa kilaji kipya cha Serengeti Platinum katika kiota cha maraha cha Escape 1 Mikocheni Mlalakuwa jijini Dar es salaam usiku wa kuamkia leo
Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL),Ephraim Mafuru (kulia) akiungana na wadau kukaribisha kilaji hicho kipya
Fashifashi za uzinduzi wa kilaji kipya. Chupa hiyo ilishushwa na helikopta
Vijana wa THT wakinogesha hafla hiyo
Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL),Ephraim Mafuru...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuziintroducing kiota kipya cha maraha na kilaji cha "Break Point Carnivore" Kinondoni, jijini Dar es salaam
11 years ago
Mwananchi29 May
Kivutio kipya cha utalii Serengeti
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ZNDNEZ8qpIw/VAR85d_-BLI/AAAAAAAGZ-0/2zci2Bn9fYU/s72-c/New%2BPicture%2B(1).png)
Elihuruma Ngowi joins Serengeti Breweries Ltd
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZNDNEZ8qpIw/VAR85d_-BLI/AAAAAAAGZ-0/2zci2Bn9fYU/s1600/New%2BPicture%2B(1).png)
At Vodacom, he worked in various departments from Customer Care to Marketing and finally with Sales & Distribution Department where he held key positions, most notably as Product Marketing Manager, Devices & Alternative Channels Manager and Franchise Operations Manager respectively. He is also...
10 years ago
Daily News26 Jan
Serengeti Breweries vows more support to Police Force
Daily News
SERENGETI Breweries Limited (SBL) has pledged continued support to the Police Force to ensure community policing thrives. Speaking during a party to usher in the year 2015 at Kilwa Road Police Barracks over the weekend, SBL's Director of Corporate ...
10 years ago
Vijimambo13 Dec
MANISPAA YA KINONDONI YAZINDUA HUDUMA YA BURE YA INTERNETI KWENYE KITUO KIPYA CHA DALADALA CHA SIMU2000
![](https://4.bp.blogspot.com/-wJv_GGAc-Ls/VIvoHinBNPI/AAAAAAAAsCQ/9xL20rGX1d4/s1600/7.%2BMtandao%2Bkatika%2Bsimu%2Bbaada%2Bya%2Bkuzinduliwaa.jpg)
Akizindua huduma hiyo, jana, Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yussuf Mwenda alisema, mtandao wa WiFi umeunganishwa kwenye kituo hicho kupitia mkongo wa mawasiliano kupitia Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL).
Mwenda alisema, mtandao huo utakuwepo usiku na...
10 years ago
Michuzi13 Dec
MANISPAA YA KINONDONI YAZINDUA HUDUMA YA BURE YA INTERNETI KWENYE KITUO KIPYA CHA DALADALA CHA SINZA
![](https://4.bp.blogspot.com/-wJv_GGAc-Ls/VIvoHinBNPI/AAAAAAAAsCQ/9xL20rGX1d4/s1600/7.%2BMtandao%2Bkatika%2Bsimu%2Bbaada%2Bya%2Bkuzinduliwaa.jpg)
Akizindua huduma hiyo, jana, Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yussuf Mwenda alisema, mtandao wa WiFi umeunganishwa kwenye kituo hicho kupitia mkongo wa mawasiliano kupitia Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL).
Mwenda alisema, mtandao huo utakuwepo usiku na...
11 years ago
GPLGAPCO YAZINDUA KILAINISHI KIPYA CHA PIKIPIKI
11 years ago
MichuziGAPCO YAZINDUA KILAINISHA KIPYA CHA PIKIPIKI
Akizungumza na waandishi wa Habari wakati wa uzinduzi huo, Mkurugenzi Mkuu wa Gapco, Bwana. Macharia Irungu alisema, “Utafiti umetuonyesha kwa sasa watumiaji wamiliki wengi wa pikipiki wanalazimishwa kutembelea gereji mara mbili kwa mwezi kwa ajili ya...
10 years ago
MichuziE FM 93.7 yazindua kipindi kipya cha Sports Headquarter
Kitakuwa kinaruka Jumatatu mpaka Ijumaa saa tatu Asubuhi mpaka saa sita mchana. Hii no katika historia...