Gavana akimbiza usalama wake Nigeria
Mashambulio ya risasi yamlazimisha gavana wa jimbo la Adamawa kazkazini mwa Nigeria kukimbiza usalama wake.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili20 Feb
Gavana wa benki Nigeria atimuliwa
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-M1khfgd4leU/Xpp_EjP7GaI/AAAAAAALnTA/Sc09fOgPU3cZZBsjkrBmcjPXlhxffa5BACLcBGAsYHQ/s72-c/sonko-1.jpg)
GAVANA APINGWA JUU YA MPANGO WAKE WA KUTUMIA POMBE KAMA KITAKASA KOO
![](https://1.bp.blogspot.com/-M1khfgd4leU/Xpp_EjP7GaI/AAAAAAALnTA/Sc09fOgPU3cZZBsjkrBmcjPXlhxffa5BACLcBGAsYHQ/s400/sonko-1.jpg)
Na Leandra Gabriel, Michuzi TV
LICHA ya Shirika la Afya Duniani kusema wazi kuwa pombe haiwezi kupigana dhidi ya virusi vya Corona (Covid-19) na kuwashauri watu wapunguze matumizi yake Gavana wa Mji mkuu wa Nairobi, nchini Kenya Mike Sonko kupitia mkutano wake na waandishi wa habari uliofanyika mapema jumanne valithibitisha matumizi ya pombe katika Kupambana na virusi hivyo kwa kile alichoeleza kuwa pombe aina ya Hennessy ni kitakasa koo "throat sanitizer." CNN imeripoti.
Sonko ...
10 years ago
BBCSwahili25 Mar
Hali ya usalama nchini Nigeria
11 years ago
BBCSwahili17 May
Usalama wa Nigeria kuangaziwa Ufaransa
10 years ago
BBCSwahili20 Jul
Nigeria: afisa wa usalama apekuliwa
11 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-6ATbl8yJSuw/U8UAApObM7I/AAAAAAAF2TA/fS-1KQFAXjc/s72-c/unnamed..jpg)
Vodacom yazidi kujikita kulinda Usalama wa wafanyakazi wake
Vodacom ambao ni washindi wa tuzo ya Usalama na Afya Mahala pa Kazi inayotambuliwa na Mamlaka ya Usalama na Afya Mahala pa Kazi (OSHA) imezindua kampeni hiyo ikiwa ni mwendelezo wa jitihada mbalimbali inazozichukua katika kuhakikisha usalama wa wafanyakazi wake...
11 years ago
Uhuru Newspaper07 Aug
Ofisa Usalama kizimbani kwa mauaji ya bosi wake
NA FURAHA OMARY
OFISA Usalama wa Taifa, Mohammed Kazembe, anayetuhumiwa kumuua bosi wake, amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, kwa shitaka la mauaji, akiwa hoi hajiwezi.
Kazembe (33), alifikishwa mahakamani hapo jana asubuhi, akiwa amebebwa na watu wawili huku mguu wake wa kushoto ukiwa umefungwa bandeji kutoka kwenye kisigino hadi ugokoni na mkononi alikuwa na njia ya kuwekea dripu ya maji.
Mshitakiwa huyo, mkazi wa Mwananyamala, ambaye hakuwa na uwezo wowote wa...
9 years ago
Mtanzania28 Dec
Adele akimbiza kwenye chati za Billboard
NEW YORK, MAREKANI
NYOTA wa muziki nchini Uingereza, Adele Adkins, anamaliza mwaka kwa kushika nafasi ya kwanza katika chati za Billboard kwa wiki nne.
Katika chati hiyo kulikuwa na albamu 200 ambazo zilikuwa zinashindanishwa, lakini Adele amefanikiwa kushika nafasi ya kwanza kwenye ushindani huo kwa wiki nne.
Mkali huyo wa sauti amesema ni furaha kwake kuona kazi zake zikikubalika na idadi kubwa ya watu duniani na ndiyo maana ameweza kukaa kwa muda mrefu ambapo sio kawaida kutokana na...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-uKnyDJPhpJo/Xp7-5SLOMUI/AAAAAAALnuU/JZppuSorC64zGNQ-M6CjmBxMieJbRgGEQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG-20200421-WA0045.jpg)
DAWASA YAHAKIKISHA USALAMA KWA WAFANYAKAZI WAKE KUJIKINGA NA COVID-19
Dawasa wamechukua tahadhari hiyo kwa kuwapatia wafanyakazi wake wakiwemo mafundi wa maeneo mbalimbali vifaa vya kuwakinga ikiwemo Barakoa ili wavae muda wote wakiwa katika majukumu yao.
Hatua hiyo ni muhimu katika kutii agizo la serikali kwa kuvaa barakoa ili kuweza kujikinga, kupunguza...